Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,942
- 4,230
Sheria za kodi zinatungwa na nani? Mfumo wa kodi unakuwa shaped na nani?Kwahyo wew hauoni matatizo ya mfumo wa kodi Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria za kodi zinatungwa na nani? Mfumo wa kodi unakuwa shaped na nani?Kwahyo wew hauoni matatizo ya mfumo wa kodi Tz
Mama Samia fuatilia na chukua hatua stahiki.Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao.
Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na sababu zilizopelekea kufunga maduka ni hizo hizo.
Inaelekea Mama Samia mno amewaachia Wizara ya Fedha na TRA na wo wanafanya madudu wapendavyo. Sehemu hii Mama tunahitaji mkeka mpya.
NB
Nimepata hii barua inbox
====
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Asante mama umechukua hatua!Mama Samia fuatilia na chukua hatua stahiki.
Fuatilia vile vile misaada toka Japan na JICA imegotea TRA na Wizara ya Fedha.
Sasa hivi Japan itapeleka misaada Malawi na Zambia wenye uhitaji.
Mama kachukua hatua, Kidata wa TRA, OUT!Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao.
Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na sababu zilizopelekea kufunga maduka ni hizo hizo.
Inaelekea Mama Samia mno amewaachia Wizara ya Fedha na TRA na wo wanafanya madudu wapendavyo. Sehemu hii Mama tunahitaji mkeka mpya.
NB
Nimepata hii barua inbox
====
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Kwamba kwakuwa ni wageni bad it hawana Haki za kulalamika pale wanapofanyiwa sivyo ktk uwekezaji was?Hao mabalozi wanapata wapi mamlaka ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi?
Kidata nje, Kijaji nje!Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao.
Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na sababu zilizopelekea kufunga maduka ni hizo hizo.
Inaelekea Mama Samia mno amewaachia Wizara ya Fedha na TRA na wo wanafanya madudu wapendavyo. Sehemu hii Mama tunahitaji mkeka mpya.
NB
Nimepata hii barua inbox
====
Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
Katika hili kuwaondoa viongozi wa Uwekezaji (Waziri) na TRA(Mkurugenzi Mkuu) mama ameonyesha nia thabiti ya kutatua kero za wawekezaji na wafanyabiashara.Yote kwa yote
Magar mazuri hayalipik kodi.roho inauma sana naendesha namba A sababu ndinga kali ushuru wake mweeh.
Kudos mama Samia.Katika hili kuwaondoa viongozi wa Uwekezaji (Waziri) na TRA(Mkurugenzi Mkuu) mama ameonyesha nia thabiti ya kutatua kero za wawekezaji na wafanyabiashara.
Kwa hili nampa mama Samia kongole.