tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Heshima kwenu wadau.
Nina banda ambalo urefu ni mita 10 na upana ni mita 3.Malengo yangu ni kufuga kuku wa kienyeji 250 wa mayai nikitarget kupata at least tray 7 per day.
Swali,1:je ukubwa wa banda hilo unakidhi haja?
2:Kip niboreshe kutimiza ndoto? THANX
Nina banda ambalo urefu ni mita 10 na upana ni mita 3.Malengo yangu ni kufuga kuku wa kienyeji 250 wa mayai nikitarget kupata at least tray 7 per day.
Swali,1:je ukubwa wa banda hilo unakidhi haja?
2:Kip niboreshe kutimiza ndoto? THANX