Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Salaam wakuu.
Nipo Moshi Mkoani Kilimanjaro. Ninaplan ya kuanza ufugaji wa kuku.
Nimejenga banda la matofali ya kuchoma lenye urefu wa mita 9 kwa mita 4 na kimo cha mita 2.3. Limeezekwa kwa mabati na ukuta nusu wa mbele nimeweka wavu mgumu kwa ajili ya ventilation.
Limesakafiwa vzr na kuzibwa sehemu zote za wazi juu ya paa na maeneo mengine ili kutoruhusu wadudu /viumbe wengine kupenya.
Nimezingushia fensi (iliyowazi juu) kwa mbele yenye urefu wa mita 5 na upanda wa mita 4.
Kwakifupi banda limeshakamilika na limegharimu TZS 1.3 Milioni.
Naombeni ushauri wa aina gani ya kuku naweza kufuga ili nipate faida nzuri.
Mwanzoni nilikuwa na wazo la kufuga kuku wa kienyeji na nitakuwa natotoresha vifaranga kwa incubator yangu yenye uwezo wa kuchukua mayai 200.
Naombeni ushauri ndugu zangu.
Nipo Moshi Mkoani Kilimanjaro. Ninaplan ya kuanza ufugaji wa kuku.
Nimejenga banda la matofali ya kuchoma lenye urefu wa mita 9 kwa mita 4 na kimo cha mita 2.3. Limeezekwa kwa mabati na ukuta nusu wa mbele nimeweka wavu mgumu kwa ajili ya ventilation.
Limesakafiwa vzr na kuzibwa sehemu zote za wazi juu ya paa na maeneo mengine ili kutoruhusu wadudu /viumbe wengine kupenya.
Nimezingushia fensi (iliyowazi juu) kwa mbele yenye urefu wa mita 5 na upanda wa mita 4.
Kwakifupi banda limeshakamilika na limegharimu TZS 1.3 Milioni.
Naombeni ushauri wa aina gani ya kuku naweza kufuga ili nipate faida nzuri.
Mwanzoni nilikuwa na wazo la kufuga kuku wa kienyeji na nitakuwa natotoresha vifaranga kwa incubator yangu yenye uwezo wa kuchukua mayai 200.
Naombeni ushauri ndugu zangu.