Banda linauzwa Mvuti, Dar

Banda linauzwa Mvuti, Dar

Jiger

Member
Joined
Jun 8, 2023
Posts
26
Reaction score
12
Chumba kimoja na sebule
Ukubwa wa kiwanja 17 kwa 15 mita
Eneo ni Mvuti kutoka stend mpaka kwenye nyumba ni dakika 5-7 ukitembea kwa mguu.
Bei 3.5 milion

IMG_20231012_111210_999.jpg
IMG_20231012_111151_206.jpg
IMG_20231006_110554_943.jpg
 
Vyumba 3
Choo ndani
Sebule
Eneo mvuti kutoka stend mpka kwenye nyumba mita 50 ukitembea kwa mguu dakika 1-2
Bei 14
Umeme ijawekwa nguzo imeita balazani
Ukubwa wa kiwanja 15 kwa 20 mita
IMG_20231011_171323_296.jpg
IMG_20231011_171349_726.jpg
IMG_20231011_171619_289.jpg
IMG_20231011_171549_031.jpg
 
Boma/pagale linauzwa
Vyumba 3
Choo ndani
Sebule
Bei 7.5 milion
Eneo mvuti stende mpka ilipo nyumba ukija kwa mguu dakika 10-15 boda 1000
Eneo la kiwanja 25kwa 25 mita
IMG_20231005_172335_805.jpg
IMG_20231005_172400_365.jpg
IMG_20231005_172431_639.jpg
 
Huyu jamaa ameandika Mvuti utadhani ni sehemu maarufu kama ilivyo Kimara Dar au Kijenge Arusha. Ni kwamba hayuko serious.

Kwa taarifa yako hatujui hata ni mkoa gani. Dakika tano hadi stendi ya gari za kwenda wapi?[emoji849]
 
Huyu jamaa ameandika Mvuti utadhani ni sehemu maarufu kama ilivyo Kimara Dar au Kijenge Arusha. Kwa taarifa yako hatujui hata ni mkoa gani. Dakika tano hadi stendi ya gari za kwenda wapi?[emoji849]
 
Huyu jamaa ameandika Mvuti utadhani ni sehemu maarufu kama ilivyo Kimara Dar au Kijenge Arusha. Kwa taarifa yako hatujui hata ni mkoa gani. Dakika tano hadi stendi ya gari za kwenda wapi?[emoji849]
ni mbele ya chanika au ni mbele ya msongola kama unatokea Mbagala
 
Huyu jamaa ameandika Mvuti utadhani ni sehemu maarufu kama ilivyo Kimara Dar au Kijenge Arusha. Ni kwamba hayuko serious.

Kwa taarifa yako hatujui hata ni mkoa gani. Dakika tano hadi stendi ya gari za kwenda wapi?[emoji849]
Na ungekuwa mnunuzi ungenipigia usitafute kosa kama kitu uwezi ata kumiliki
 
Mzee unauza au unaleta uswahil??
Haina maana kujibizana na watu humu,kwani wamefanya vibaya kuuliza?? Ulichokiandika hakieleweki

Toa direction vyema humu kuna maboss
 
Back
Top Bottom