KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Budaa.....Bandari sio timu ndogo tafadhali,shida yenu kubwa ni kuzoea kuona ligi yenu ya nyumbani pekee mkasahau Kua kuna wengine huko nje wanao uwezo zaidi yenuIla Simba wanatia aibu sana, uwekezaji wote ule lakini wanafungwa na kitimu kama Bandari. Bora hata Yanga wao hatuwategemei kufanya makubwa kwa sababu hawana pesa na maisha ya wachezaji ni ya kuungauunga.
Huu msimu pamoja na uwekezaji mkubwa wa MO lakini Simba watamaliza mikono mitupu. inasikitisha sana, sasa kama sportpesa tu imewashinda sijui watachukua kikombe gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba iko level moja na Simba, Yanga, Gor mahia na Azam?. Hiyo Bandari huwa inashiriki mashindano ya CAF?, inaishia hatua gani?Budaa.....Bandari sio timu ndogo tafadhali,shida yenu kubwa ni kuzoea kuona ligi yenu ya nyumbani pekee mkasahau Kua kuna wengine huko nje wanao uwezo zaidi yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bandari ni kati ya timu bora hapa Kenya Kwa sasa.....usione Kua sababu amemfunga Simba ukadhani Kua Simba ndiye mbovuKwamba iko level moja na Simba, Yanga, Gor mahia na Azam?. Hiyo Bandari huwa inashiriki mashindano ya CAF?, inaishia hatua gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeilalamikia Simba kwa sababu nadhani ndio timu inayotumia pesa nyingi Afrika mashariki. Simba inalipa mishahara mikubwa sana. Inatakiwa ipate matokeo Sawa na uwekezaji wake.Bandari ni kati ya timu bora hapa Kenya Kwa sasa.....usione Kua sababu amemfunga Simba ukadhani Kua Simba ndiye mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha nikupe taswira ya timu za Kenya kulingana na ukubwa wao: (1) Gor mahia (2)Tusker FC (3) Leopards (4)Ulinzi (5)Mathare Utd (6)Bandari FC (7)Sofa PakaKwamba iko level moja na Simba, Yanga, Gor mahia na Azam?. Hiyo Bandari huwa inashiriki mashindano ya CAF?, inaishia hatua gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kuna kitu kingine umesahau hapa.....sidhani kua kuna timu umefika kwenye haya mashindano kwa bahatiNimeilalamikia Simba kwa sababu nadhani ndio timu inayotumia pesa nyingi Afrika mashariki. Simba inalipa mishahara mikubwa sana. Inatakiwa ipate matokeo Sawa na uwekezaji wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo kwa sasa niWacha nikupe taswira ya timu za Kenya kulingana na ukubwa wao: (1) Gor mahia (2)Tusker FC (3) Leopards (4)Ulinzi (5)Mathare Utd (6)Bandari FC (7)Sofa Paka
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah! kwenye mpira hakunaga bahati. Mechi kali ilikua Yanga vs SharksPia kuna kitu kingine umesahau hapa.....sidhani kua kuna timu umefika kwenye haya mashindano kwa bahati
Sent using Jamii Forums mobile app
Sharks nayo ni timu ya mtani na wanajiamini sana..... hiyo ndio sababu game ilikua ya kukata na shokaYeah! kwenye mpira hakunaga bahati. Mechi kali ilikua Yanga vs Sharks
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio utaifa bana, game yako ikiwa chini wengine wanafurahiaMbumbumbu wamelifedhehesha taifa.
Bandari is off to Sportspesa cup final after thwarting Simba sports club 2-1 in their home stadium. Last time some people claimed here that they didn't win the cup because the pitch was bad ( Afraha Stadium). Sasa mmetolewa in your own stadium I wonder what the excuse will be today.View attachment 1004516
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe wew ni shabiki wa yangaKwa Yanga kushindwa juzi na Kariobangi, nilipiga kimya maana sikujua cha kusema, nina kaushabiki fulani kwa Yanga na pia uzalendo kwa Kariobangi.
Sasa kwa hii ya Simba kupakatwa, ni raha tu kwa kwenda mbele....
Sas mkuu unafananisha simba na bandari msimu huu simba ipo ligi ya mabingwa afrika nambie bandari iliingia lini kwenye hiyo hatuaBudaa.....Bandari sio timu ndogo tafadhali,shida yenu kubwa ni kuzoea kuona ligi yenu ya nyumbani pekee mkasahau Kua kuna wengine huko nje wanao uwezo zaidi yenu
Sent using Jamii Forums mobile app