Bandari ikiwa mikononi mwa wageni kwa asilimia 100, hatuwezi tena kudhibiti kinachoingia na kinachotoka kwa asilimia 100. Ni hatari kwa usalama wetu!

Bandari ikiwa mikononi mwa wageni kwa asilimia 100, hatuwezi tena kudhibiti kinachoingia na kinachotoka kwa asilimia 100. Ni hatari kwa usalama wetu!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kwa jiografia ya nchi yetu ilivyo, bandari ndio mlango mkubwa wa nchi yetu wa kuingilia na kutoka. Mlango huu ukimkabidhi mgeni kwa miaka 100, hatuwezi tena kudhibiti kwa ukamilifu kitakachokuwa kinaingia na kitakachokuwa kinatoka. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu. Silaha zinaweza kuingizwa nchini kinyemela na zikaishia katika mikono ya magaidi. Siyo siri kwamba nchi za mashariki ya kati ndiko chimbo kubwa sana la ugaidi duniani. Na siyo siri kuwa sehemu kubwa nya magaidi duniani hudai ni waumini wa dini fulani na huwa hawaoni haya kumtaja "mungu" wao na dini yao!

Lakini pia bandari ni mlango mkubwa sana wa kupitishia raslimali kutoka nchini kwenda nje. Hatutaweza kudhibiti nini kinatoka kwa uhakika kama mlango tumemkabidhi mgeni. Mali asili yetu itatoroshwa kwa sana tu!! Mama tunakupenda sana lakini katika hili tunasema HAPANA! Ukilazimisha historia itakuhukumu pamoja na uzao wako!!! Mama Mungu amekupa nyumba (nchi) nzuri yenye kila kitu, halafu unamkabidhi mlango mtu mgeni!!! Mama tunakuheshimu lakini katika hili UMWOGOPE MUNGU!! Dhamana tuliyokupa ni kubwa sana, usiitumie vibaya!! Ukilazimisha kama inavyoelekea naomba ukumbuke kuwa MACHOZI ya Watanzania yana nguvu sana MBELE ZA MUNGU WETU, lazima YATAKUANGUSHA.

Machozi
lazima yatutoke, lakini haya machozi tutayatoa kwa MUNGU, tutashitaki kwa MUNGU. Kwa maana tunashuhudia nchi aliyotupa Mungu kama urithi wetu hapa duniani, inataka kuuzwa MBELE YA MACHO YETU MCHANA KWEUPE!! NINAAMINI MUNGU ATATUSIKIA.
 
Hili liko wazi na tulishalidokeza na tukatoa mfano wa habari iliyoripotiwa Al jaazera namna wajanja walivyotorosha kiasi kikubwa cha dhahabu ya zimbabwe. Imagine unamweka mgeni getini, atatorosha hadi vijiko vya chai.
 
Kwanini tusifanyeni maombi ya siku tatu kuliombea taifa? Toka mzee atutoke sisikii kabisa kiongozi akitamka kuhusu Mungu.
 
Kwa jiografia ya nchi yetu ilivyo, bandari ndio mlango mkubwa wa nchi yetu wa kuingilia na kutoka. Mlango huu ukimkabidhi mgeni kwa miaka 100, hatuwezi tena kudhibiti kwa ukamilifu kitakachokuwa kinaingia na kitakachokuwa kinatoka. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu. Silaha zinaweza kuingizwa nchini kinyemela na zikaishia katika mikono ya magaidi. Siyo siri kwamba nchi za mashariki ya kati ndiko chimbo kubwa sana la ugaidi duniani. Na siyo siri kuwa sehemu kubwa nya magaidi duniani hudai ni waumini wa dini fulani na huwa hawaoni haya kumtaja "mungu" wao na dini yao!

Lakini pia bandari ni mlango mkubwa sana wa kupitishia raslimali kutoka nchini kwenda nje. Hatutaweza kudhibiti nini kinatoka kwa uhakika kama mlango tumemkabidhi mgeni. Mali asili yetu itatoroshwa kwa sana tu!! Mama tunakupenda sana lakini katika hili tunasema HAPANA! Ukilazimisha historia itakuhukumu pamoja na uzao wako!!! Mama Mungu amekupa nyumba (nchi) nzuri yenye kila kitu, halafu unamkabidhi mlango mtu mgeni!!! Mama tunakuheshimu lakini katika hili UMWOGOPE MUNGU!! Dhamana tuliyokupa ni kubwa sana, usiitumie vibaya!! Ukilazimisha kama inavyoelekea naomba ukumbuke kuwa MACHOZI ya Watanzania yana nguvu sana MBELE ZA MUNGU WETU, lazima YATAKUANGUSHA.

Machozi
lazima yatutoke, lakini haya machozi tutayatoa kwa MUNGU, tutashitaki kwa MUNGU. Kwa maana tunashuhudia nchi aliyotupa Mungu kama urithi wetu hapa duniani, inataka kuuzwa MBELE YA MACHO YETU MCHANA KWEUPE!! NINAAMINI MUNGU ATATUSIKIA.
Tukumbushane kdg, bandadi ni watunza mizigo ru, ila TRA Ndio kwenye mizigo, scana iko chini ya Tra, manifest iko mikononi mwa TRA swala la nini kina kuja kinadhibitiwa na TRA kuhusu usalama wa mizigo usihofu. na kumbuka mkusanyaji wa ushuru ni TRA Bandarini anapokea kiasi kidogo tu ambacha ni port charges . huwezi kutoa hata punje ya mahindi bila odhini ya TRA so tujadili mikataba ila mengine yapo salama
 
Waarabu sio watu wa kuwaamini hata kidogo. Kwanza wana roho baya kuliko race nyingine... Unajua unaweza kuishi na wachina na wazungu vizuri bila shida yeyoye wakiwa ugenini

Ila wahindi na waarabu ni jamii ya watu wenye roho baya duniani halafu wabaguzi sana hawa.
 
Tukumbushane kdg, bandadi ni watunza mizigo ru, ila TRA Ndio kwenye mizigo, scana iko chini ya Tra, manifest iko mikononi mwa TRA swala la nini kina kuja kinadhibitiwa na TRA kuhusu usalama wa mizigo usihofu. na kumbuka mkusanyaji wa ushuru ni TRA Bandarini anapokea kiasi kidogo tu ambacha ni port charges . huwezi kutoa hata punje ya mahindi bila odhini ya TRA so tujadili mikataba ila mengine yapo salama
TUSIDANGANYANE!! TRA anasubiri aliyeingiza mzigo ajitokeze kwake na documents zake ndio TRA afanyie kazi!! TRA hawezi kujua kwenye meli kuna nini. Ukiletwa mzigo wa silaha kwa mfano, mpokeaji ni bandari, na TRA atafichwa ni nini hicho!! Anayeupokea mzigo physically ni bandari. TRA anategemea uaminifu wa bandari, na mwizi au mtu mwovu siku zote si mwaminifu!!

Jiulize, kama madawa ya kulevya yanaweza kuingia nchini wakati bandari iko mikononi mwetu kwa asilimia 100, je itakuwaje kama haitakuwa mikononi mwetu kwa asilimia 100!!. Lakini pia watu wetu wanahongeka sana tu!!

Unachokisema wewe ni sawa na mtu mwenye nyumba kubwa na ina vyumba vingi na vitu vingi, lakini mlango wa kuingilia akamkabidhi mgeni. Halafu unamwambia mgeni kitu chochote utakachoingiza au kutoa lazima umwonyeshe mtumishi wangu (TRA). Je unategemea siku akiamua kuingiza sumu ya kukuua wewe mwenye nyumba atamwonyesha mtumishi wako kuwa ameingiza sumu? Ni akili matope tu inayoweza kukabidhi mlango wa nyumba kwa mgeni, halafu ikaamini kuwa usalama utakuwapo!!. Hatuongelei kutoa bali tunaongelea KUTOROSHA!! Mtoroshaji ukimkabidhi mlango wa nyumba yako, utakuwa umemrahisishia sana kazi ya kutorosha vitu vya nyumbani kwako, na kuingiza nyumbani kwako vitu usivyovihitaji!!!​
 
Kinachonisikitisha ni watanzania wenzetu na baadhi ya wabunge wetu kuamua kujitoa ufahamu na kutetea kitu ambacho hata dhamiri zao hazikubaliani nao. Mradi huu unapitishwa kwa gharama kubwa sana ya rushwa!! Usione watu wanajitoa ufahamu siyo bure ni KITU KIKUBWA wamepokea!! Siyo kitu kidogo kama kile ambacho wale ndugu zetu wanaovaa mavasi meupe barabarani hupewa!!
 
Hii itakuwa ni aibu ya mwaka!! Viongozi wetu wenyewe wanaamua kutugeuka wakiwa na macho makavu kabisa!!! Ni afadhali tukawa maskini (kama ikibidi japo, Tanzania si maskini hata kidogo), kuliko kuuza kile ambacho Mungu alitupa!!
 
Kwa jiografia ya nchi yetu ilivyo, bandari ndio mlango mkubwa wa nchi yetu wa kuingilia na kutoka. Mlango huu ukimkabidhi mgeni kwa miaka 100, hatuwezi tena kudhibiti kwa ukamilifu kitakachokuwa kinaingia na kitakachokuwa kinatoka. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu. Silaha zinaweza kuingizwa nchini kinyemela na zikaishia katika mikono ya magaidi. Siyo siri kwamba nchi za mashariki ya kati ndiko chimbo kubwa sana la ugaidi duniani. Na siyo siri kuwa sehemu kubwa nya magaidi duniani hudai ni waumini wa dini fulani na huwa hawaoni haya kumtaja "mungu" wao na dini yao!

Lakini pia bandari ni mlango mkubwa sana wa kupitishia raslimali kutoka nchini kwenda nje. Hatutaweza kudhibiti nini kinatoka kwa uhakika kama mlango tumemkabidhi mgeni. Mali asili yetu itatoroshwa kwa sana tu!! Mama tunakupenda sana lakini katika hili tunasema HAPANA! Ukilazimisha historia itakuhukumu pamoja na uzao wako!!! Mama Mungu amekupa nyumba (nchi) nzuri yenye kila kitu, halafu unamkabidhi mlango mtu mgeni!!! Mama tunakuheshimu lakini katika hili UMWOGOPE MUNGU!! Dhamana tuliyokupa ni kubwa sana, usiitumie vibaya!! Ukilazimisha kama inavyoelekea naomba ukumbuke kuwa MACHOZI ya Watanzania yana nguvu sana MBELE ZA MUNGU WETU, lazima YATAKUANGUSHA.

Machozi
lazima yatutoke, lakini haya machozi tutayatoa kwa MUNGU, tutashitaki kwa MUNGU. Kwa maana tunashuhudia nchi aliyotupa Mungu kama urithi wetu hapa duniani, inataka kuuzwa MBELE YA MACHO YETU MCHANA KWEUPE!! NINAAMINI MUNGU ATATUSIKIA.
Kipengele gani kwenye mkataba kinasema Bandari itakuwa chini ya wageni kwa asilimia 100?
 
Hii Bandari ya Wazaramo na wao wako kimya hii unatufindisha nini?
 
Kipengele gani kwenye mkataba kinasema Bandari itakuwa chini ya wageni kwa asilimia 100?
Siyo kipengere cha mkataba bali mkataba unataka hivyo!! Tunakabidhi biashara na uendeshaji wa bandari kwa mwekezaji mwarabu!! Serikali inapewa jukumu la kuhakikisha kuwa mwekezaji haingiliwi!!. Na kuna kipengele cha confidentiality/Usiri kuwa details za mkataba huu asijulishwe mtu mwingine wa tatu/third party!! Ulitiwa saini mwaka jana, na haukujulikana hadi mwaka huu na haukupaswa ujulikane, naona ni Mungu ameona ni vyema watanzania wakaufahamu!!
 
Siyo kipengere cha mkataba bali mkataba unataka hivyo!! Tunakabidhi biashara na uendeshaji wa bandari kwa mwekezaji mwarabu!! Serikali inapewa jukumu la kuhakikisha kuwa mwekezaji haingiliwi!!. Na kuna kipengele cha confidentiality/Usiri kuwa details za mkataba huu asijulishwe mtu mwingine wa tatu/third party!! Ulitiwa saini mwaka jana, na haukujulikana hadi mwaka huu na haukupaswa ujulikane, naona ni Mungu ameona ni vyema watanzania wakaufahamu!!
Wapi kwenye mkataba imeelezwa hivyo? Tupe hicho kifungu
 
Kwa jiografia ya nchi yetu ilivyo, bandari ndio mlango mkubwa wa nchi yetu wa kuingilia na kutoka. Mlango huu ukimkabidhi mgeni kwa miaka 100, hatuwezi tena kudhibiti kwa ukamilifu kitakachokuwa kinaingia na kitakachokuwa kinatoka. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu. Silaha zinaweza kuingizwa nchini kinyemela na zikaishia katika mikono ya magaidi. Siyo siri kwamba nchi za mashariki ya kati ndiko chimbo kubwa sana la ugaidi duniani. Na siyo siri kuwa sehemu kubwa nya magaidi duniani hudai ni waumini wa dini fulani na huwa hawaoni haya kumtaja "mungu" wao na dini yao!

Lakini pia bandari ni mlango mkubwa sana wa kupitishia raslimali kutoka nchini kwenda nje. Hatutaweza kudhibiti nini kinatoka kwa uhakika kama mlango tumemkabidhi mgeni. Mali asili yetu itatoroshwa kwa sana tu!! Mama tunakupenda sana lakini katika hili tunasema HAPANA! Ukilazimisha historia itakuhukumu pamoja na uzao wako!!! Mama Mungu amekupa nyumba (nchi) nzuri yenye kila kitu, halafu unamkabidhi mlango mtu mgeni!!! Mama tunakuheshimu lakini katika hili UMWOGOPE MUNGU!! Dhamana tuliyokupa ni kubwa sana, usiitumie vibaya!! Ukilazimisha kama inavyoelekea naomba ukumbuke kuwa MACHOZI ya Watanzania yana nguvu sana MBELE ZA MUNGU WETU, lazima YATAKUANGUSHA.

Machozi
lazima yatutoke, lakini haya machozi tutayatoa kwa MUNGU, tutashitaki kwa MUNGU. Kwa maana tunashuhudia nchi aliyotupa Mungu kama urithi wetu hapa duniani, inataka kuuzwa MBELE YA MACHO YETU MCHANA KWEUPE!! NINAAMINI MUNGU ATATUSIKIA.
Ujinga ni mzigo sana ,Kwa hiyo Bandari ikiwa inaendeshwa na Wawekezaji Askari hawaruhusiwi kushika doria Wala kukagua?

Aneendesha viwanja vya ndege Huwa ni kampuni zipi? Kwenye Nchi ambazo hazina Bandari na zinatumia viwanja vya ndege tuu ambavyo operators ni private sector Huwa wanadhibiti vipi hayo unayoyaeleza?

Acheni ujinga nyie,hapa Kuna maslahi yenu yenaenda Kuondoka ndio maana makelele ndio yamezidi
 
Kwa jiografia ya nchi yetu ilivyo, bandari ndio mlango mkubwa wa nchi yetu wa kuingilia na kutoka. Mlango huu ukimkabidhi mgeni kwa miaka 100, hatuwezi tena kudhibiti kwa ukamilifu kitakachokuwa kinaingia na kitakachokuwa kinatoka. Hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu. Silaha zinaweza kuingizwa nchini kinyemela na zikaishia katika mikono ya magaidi. Siyo siri kwamba nchi za mashariki ya kati ndiko chimbo kubwa sana la ugaidi duniani. Na siyo siri kuwa sehemu kubwa nya magaidi duniani hudai ni waumini wa dini fulani na huwa hawaoni haya kumtaja "mungu" wao na dini yao!

Lakini pia bandari ni mlango mkubwa sana wa kupitishia raslimali kutoka nchini kwenda nje. Hatutaweza kudhibiti nini kinatoka kwa uhakika kama mlango tumemkabidhi mgeni. Mali asili yetu itatoroshwa kwa sana tu!! Mama tunakupenda sana lakini katika hili tunasema HAPANA! Ukilazimisha historia itakuhukumu pamoja na uzao wako!!! Mama Mungu amekupa nyumba (nchi) nzuri yenye kila kitu, halafu unamkabidhi mlango mtu mgeni!!! Mama tunakuheshimu lakini katika hili UMWOGOPE MUNGU!! Dhamana tuliyokupa ni kubwa sana, usiitumie vibaya!! Ukilazimisha kama inavyoelekea naomba ukumbuke kuwa MACHOZI ya Watanzania yana nguvu sana MBELE ZA MUNGU WETU, lazima YATAKUANGUSHA.

Machozi
lazima yatutoke, lakini haya machozi tutayatoa kwa MUNGU, tutashitaki kwa MUNGU. Kwa maana tunashuhudia nchi aliyotupa Mungu kama urithi wetu hapa duniani, inataka kuuzwa MBELE YA MACHO YETU MCHANA KWEUPE!! NINAAMINI MUNGU ATATUSIKIA.
Umepatia kwa asilimia 100! Naunga mkono hoja.
 
Tukumbushane kdg, bandadi ni watunza mizigo ru, ila TRA Ndio kwenye mizigo, scana iko chini ya Tra, manifest iko mikononi mwa TRA swala la nini kina kuja kinadhibitiwa na TRA kuhusu usalama wa mizigo usihofu. na kumbuka mkusanyaji wa ushuru ni TRA Bandarini anapokea kiasi kidogo tu ambacha ni port charges . huwezi kutoa hata punje ya mahindi bila odhini ya TRA so tujadili mikataba ila mengine yapo salama
Mbona unatufanya sisi kama matahira yasiyojua kinachoendelea?
 
Back
Top Bottom