Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Amepatiaje? Tupe uthibitisho wa hicho kifunguUmepatia kwa asilimia 100! Naunga mkono hoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepatiaje? Tupe uthibitisho wa hicho kifunguUmepatia kwa asilimia 100! Naunga mkono hoja.
kabla mzigo haujaingia tra anajulishwa na scner ipo chini ya TRA. MELI yoyote kabla haijaingia lazima mtu wa TRA waende kujiridhisha na uhamiaje waende kuwavongea passport ndio meli iingie berth . Manifet inasajiliwa kabla , na meli Inapita scanner. sio rahisi kama uwazavhoTUSIDANGANYANE!! TRA anasubiri aliyeingiza mzigo ajitokeze kwake na documents zake ndio TRA afanyie kazi!! TRA hawezi kujua kwenye meli kuna nini. Ukiletwa mzigo wa silaha kwa mfano, mpokeaji ni bandari, na TRA atafichwa ni nini hicho!! Anayeupokea mzigo physically ni bandari. TRA anategemea uaminifu wa bandari, na mwizi au mtu mwovu siku zote si mwaminifu!!
Jiulize, kama madawa ya kulevya yanaweza kuingia nchini wakati bandari iko mikononi mwetu kwa asilimia 100, je itakuwaje kama haitakuwa mikononi mwetu kwa asilimia 100!!. Lakini pia watu wetu wanahongeka sana tu!!
Unachokisema wewe ni sawa na mtu mwenye nyumba kubwa na ina vyumba vingi na vitu vingi, lakini mlango wa kuingilia akamkabidhi mgeni. Halafu unamwambia mgeni kitu chochote utakachoingiza au kutoa lazima umwonyeshe mtumishi wangu (TRA). Je unategemea siku akiamua kuingiza sumu ya kukuua wewe mwenye nyumba atamwonyesha mtumishi wako kuwa ameingiza sumu? Ni akili matope tu inayoweza kukabidhi mlango wa nyumba kwa mgeni, halafu ikaamini kuwa usalama utakuwapo!!. Hatuongelei kutoa bali tunaongelea KUTOROSHA!! Mtoroshaji ukimkabidhi mlango wa nyumba yako, utakuwa umemrahisishia sana kazi ya kutorosha vitu vya nyumbani kwako, na kuingiza nyumbani kwako vitu usivyovihitaji!!!
Inaonesha hata huo mkataba hauujui bali unaunga kitu usichokijua. Ni sawa na mtu aliyekodi nyumba halafu mwingine akauliza kwani kuna kipengele kipi kwenye mkataba kinachosema utaitumia hiyo nyumba? Mkataba ni wa kukodisha bandari. Shughuli zote za bandari zitakuwa mikononi mwa mwekezaji!!Wapi kwenye mkataba imeelezwa hivyo? Tupe hicho kifungu
Kama madudu yalikuwa yanaweza kufanyika bandarini wakati bandari iko chini ya serikali, je itakuwaje ikiwa chini ya waqgeni? Hao TRA sana sana wamewekwa kwenye nafasi ya kupokea rushwa kubwa za kimataifa.kabla mzigo haujaingia tra anajulishwa na scner ipo chini ya TRA. MELI yoyote kabla haijaingia lazima mtu wa TRA waende kujiridhisha na uhamiaje waende kuwavongea passport ndio meli iingie berth . Manifet inasajiliwa kabla , na meli Inapita scanner. sio rahisi kama uwazavho
Kama hao hao waarabu waliweza kutosha wanyama hai wa porini kupitia uwanja wa ndege Kia,inakuwa vp tukiwakabidhi lango hili kuu la kuingia na kutoka walidhibiti wao. Jamani serikali tafakari hasara nyingi sana mnazoelezwa na wenye nchi Yao. Mnatufanya tuamini kabisa hili ni Dili mnacheza! Toss tafadhalini ndg zetu,msikubali haya mambo kufanyika kijinga namna hii. Wanawadharau hata nyie kitengo muhimu ktk nchi. Waonyesheni kwamba mnajua na mna uzalendo.Hili liko wazi na tulishalidokeza na tukatoa mfano wa habari iliyoripotiwa Al jaazera namna wajanja walivyotorosha kiasi kikubwa cha dhahabu ya zimbabwe. Imagine unamweka mgeni getini, atatorosha hadi vijiko vya chai.
kama fisi anaweza kumzidi ujanja mlinzi wako wa bucha akadokoa nyama, sasa ukimkabidhi bucha yenyewe itakuwaje?MCHANGA WENYE MADINI ULIOKUWA UKITOROSHWA BANDARINI MIAKA NA MIAKA HADI KIPINDI CHA MAGUFULI JEE BANDARI ILIKUWA INASIMAMIWA NA WAWEKEZAJI??