Bandari ikiwa mikononi mwa wageni kwa asilimia 100, hatuwezi tena kudhibiti kinachoingia na kinachotoka kwa asilimia 100. Ni hatari kwa usalama wetu!

Kwa mtu yeyote makini atatambua kwanini Watanzania tuna Hofu kubwa na Mkataba hasa kutokana usiri mkubwa lakini pia ushabiki mkubwa wakati unajadiliwa na Bunge la Jamhuri ambalo kimsingi ni la Chama Kimoja.
 
kabla mzigo haujaingia tra anajulishwa na scner ipo chini ya TRA. MELI yoyote kabla haijaingia lazima mtu wa TRA waende kujiridhisha na uhamiaje waende kuwavongea passport ndio meli iingie berth . Manifet inasajiliwa kabla , na meli Inapita scanner. sio rahisi kama uwazavho
 
Wapi kwenye mkataba imeelezwa hivyo? Tupe hicho kifungu
Inaonesha hata huo mkataba hauujui bali unaunga kitu usichokijua. Ni sawa na mtu aliyekodi nyumba halafu mwingine akauliza kwani kuna kipengele kipi kwenye mkataba kinachosema utaitumia hiyo nyumba? Mkataba ni wa kukodisha bandari. Shughuli zote za bandari zitakuwa mikononi mwa mwekezaji!!
 
Kama madudu yalikuwa yanaweza kufanyika bandarini wakati bandari iko chini ya serikali, je itakuwaje ikiwa chini ya waqgeni? Hao TRA sana sana wamewekwa kwenye nafasi ya kupokea rushwa kubwa za kimataifa.
 
DPWorld hawana shida tatizo ni kwa viongozi wetu kuweka maslahi yao binafsi mbele.
 
Wenzetu Rwanda ya Kagame wanaona mbali sana ndio maana wanaweka maslahi ya taifa mbele, hata hii reli itakapoisha, wakati sisi tunahangaika na malori wao ndio wataitumia zaidi kwa manufaa ya nchi yao na tukizubaa mizigo itakwenda Rwanda ndipo irudi tena Tanzania kwa kuwa hatuna viongozi wenye nia njema na taifa hili tutegemee Tanzania isiyo na mwenyewe kuwa kama Palestina hapo baadaye.
 
Hili liko wazi na tulishalidokeza na tukatoa mfano wa habari iliyoripotiwa Al jaazera namna wajanja walivyotorosha kiasi kikubwa cha dhahabu ya zimbabwe. Imagine unamweka mgeni getini, atatorosha hadi vijiko vya chai.
Kama hao hao waarabu waliweza kutosha wanyama hai wa porini kupitia uwanja wa ndege Kia,inakuwa vp tukiwakabidhi lango hili kuu la kuingia na kutoka walidhibiti wao. Jamani serikali tafakari hasara nyingi sana mnazoelezwa na wenye nchi Yao. Mnatufanya tuamini kabisa hili ni Dili mnacheza! Toss tafadhalini ndg zetu,msikubali haya mambo kufanyika kijinga namna hii. Wanawadharau hata nyie kitengo muhimu ktk nchi. Waonyesheni kwamba mnajua na mna uzalendo.
 
Sasa
MCHANGA WENYE MADINI ULIOKUWA UKITOROSHWA BANDARINI MIAKA NA MIAKA HADI KIPINDI CHA MAGUFULI JEE BANDARI ILIKUWA INASIMAMIWA NA WAWEKEZAJI??
kama fisi anaweza kumzidi ujanja mlinzi wako wa bucha akadokoa nyama, sasa ukimkabidhi bucha yenyewe itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…