Bandari iliyoboreshwa ya Nacala Msumbiji inazinduliwa leo

Bandari iliyoboreshwa ya Nacala Msumbiji inazinduliwa leo

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Siku ya leo ni siku muhimu sana kwa nchi za Afrika ya Kati yaani Msumbiji, Malawi, Zambia na Zimbabwe kwani nchi hizi zitaanza kupitisha mizigo yake kwa kutumia reli fupi ya Nacala kuzifikia nchi hizi, je tutarajie nini kwenye bandari yetu ya Dar es Salaam?

CCM ni kikwazo kwa maendeleo ya Tanzania, watakaobisha na wabishe. Tulipopata Uhuru Tanganyika ilikuwa na reli ya Mtwara Nachingwea ambayo kwa ujinga wetu tuliing'oa badala ya kuiboresha.

Kuiboresha reli hii ilikuwa ni kuifanya izitumikie nchi za Malawi kupitia ziwa Nyasa na na Zambia kupitia Kyela ambayo ni jirani ya Zambia kuliko Dar es Salaam, na mbaya zaidi ni nchi kushindwa kuitumia kikamilifu reli ya Tazara kwa kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi, badala yake kujikita eti kuondoa msongamano wa malori ya Tunduma! Hii ndiyo Tanzania inayothamini machawa kwa kuwaona ndio maendeleo ya nchi.

Mwisho kwa wale msiolijua hili, Kigamboni kuna bomba la mafuta kama linalojengwa kwenda Uganda isipokuwa hili linachukua mafuta toka Dar es Salaam kwenda Zambia, watanzania machawa nendeni Mbagala linapopita muone kama juu ya hilo bomba kuna fursa yoyote, linapita Kitunda, Kisarawe, Chalinze, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya na Songwe, juu ya bomba hilo hakuna fursa zozote na tumeshindwa kulitumia bomba hilo kikamilifu kwa kupeleka mafuta Zambia badala yake tunatumia malori yanayotutia hasara kwa matengenezo ya barabara yasiyoisha pia kusafirisha kiasi kidogo cha mafuta.

Rais Chakwera, Nyusi na Hakainde.
Chakwera-Nyusi-Hakainde-750x460.jpg
 
Siku ya leo ni siku muhimu sana kwa nchi za Afrika ya Kati yaani Msumbiji, Malawi, Zambia na Zimbabwe kwani nchi hizi zitaanza kupitisha mizigo yake kwa kutumia reli fupi ya Nacala kuzifikia nchi hizi, je tutarajie nini kwenye bandari yetu ya Dar es Salaam?
CCM ni kikwazo kwa maendeleo ya Tanzania, watakaobisha na wabishe. Tulipopata Uhuru Tanganyika ilikuwa na reli ya Mtwara Nachingwea ambayo kwa ujinga wetu tuliing'oa badala ya kuiboresha. Kuiboresha reli hii ilikuwa ni kuifanya izitumikie nchi za Malawi kupitia ziwa Nyasa na na Zambia kupitia Kyela ambayo ni jirani ya Zambia kuliko Dar es Salaam, na mbaya zaidi ni nchi kushindwa kuitumia kikamilifu reli ya Tazara kwa kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi, badala yake kujikita eti kuondoa msongamano wa malori ya Tunduma! Hii ndiyo Tanzania inayothamini machawa kwa kuwaona ndio maendeleo ya nchi.
Mwisho kwa wale msiolijua hili, Kigamboni kuna bomba la mafuta kama linalojengwa kwenda Uganda isipokuwa hili linachukua mafuta toka Dar es Salaam kwenda Zambia, watanzania machawa nendeni Mbagala linapopita muone kama juu ya hilo bomba kuna fursa yoyote, linapita Kitunda, Kisarawe, Chalinze, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya na Songwe, juu ya bomba hilo hakuna fursa zozote na tumeshindwa kulitumia bomba hilo kikamilifu kwa kupeleka mafuta Zambia badala yake tunatumia malori yanayotutia hasara kwa matengenezo ya barabara yasiyoisha pia kusafirisha kiasi kidogo cha mafuta.
Akili ni nywele
Siku ya leo ni siku muhimu sana kwa nchi za Afrika ya Kati yaani Msumbiji, Malawi, Zambia na Zimbabwe kwani nchi hizi zitaanza kupitisha mizigo yake kwa kutumia reli fupi ya Nacala kuzifikia nchi hizi, je tutarajie nini kwenye bandari yetu ya Dar es Salaam?
CCM ni kikwazo kwa maendeleo ya Tanzania, watakaobisha na wabishe. Tulipopata Uhuru Tanganyika ilikuwa na reli ya Mtwara Nachingwea ambayo kwa ujinga wetu tuliing'oa badala ya kuiboresha. Kuiboresha reli hii ilikuwa ni kuifanya izitumikie nchi za Malawi kupitia ziwa Nyasa na na Zambia kupitia Kyela ambayo ni jirani ya Zambia kuliko Dar es Salaam, na mbaya zaidi ni nchi kushindwa kuitumia kikamilifu reli ya Tazara kwa kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi, badala yake kujikita eti kuondoa msongamano wa malori ya Tunduma! Hii ndiyo Tanzania inayothamini machawa kwa kuwaona ndio maendeleo ya nchi.
Mwisho kwa wale msiolijua hili, Kigamboni kuna bomba la mafuta kama linalojengwa kwenda Uganda isipokuwa hili linachukua mafuta toka Dar es Salaam kwenda Zambia, watanzania machawa nendeni Mbagala linapopita muone kama juu ya hilo bomba kuna fursa yoyote, linapita Kitunda, Kisarawe, Chalinze, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya na Songwe, juu ya bomba hilo hakuna fursa zozote na tumeshindwa kulitumia bomba hilo kikamilifu kwa kupeleka mafuta Zambia badala yake tunatumia malori yanayotutia hasara kwa matengenezo ya barabara yasiyoisha pia kusafirisha kiasi kidogo cha mafuta.
Akili ni nywele, kila kiongozi anavyoingia anataka nywele zake ndio ziwe akili za wa Tanzania wote .
kutoitumia hizi reli ipasavyo in uhujumu wa Mali za Taifa na Taifa lenyewe, labda ikiwa tunataka tutawaliwe tena au tugombane wenyewe Kwa wenyewe.
 
The Port of Nacala, also called the Nacala port complex, is a Mozambican port located in the cities of Nacala and Nacala-a-Velha. Is the deepest port in Southern Africa. The natural deep harbour serves landlocked Malawi with a 931-kilometre railway. Wikipedian

Na Mtwara nasikia ni natural port kuliko hizi zingine za kuchimba halafu zikaunganishwa na reli au meli ndogo ndogo kutoa mzigo hapo Mtwara kuja Dar na Tanga , kitu kikubwa ni kuweka dry ports nyingi karibu na hizo bandari . Watu wa Mipango na mipango mini hapa akili zao zinatakiwa zitumike, sio za kiongozi au kikundi cha watu
 
Fungua Google, kisha andika Nacala msumbiji, hata hivyo hii ni sehemu ndogo ya mada yangu huku sehemu kibwa ikiwa kushindwa kwetu kuzitumia raslimali na fursa tulizonazo na kuzikuta zinaanza kupeperuka moja baada ya nyingine.
Fursa walizo nazo msumbiji ni kama zetu
Tatizo ni nywele za viongozi wetu,

Port of Nacala, Mozambique's third largest port after Maputo and Beira

The port of Nacala is Mozambique's is situated at Longitude 40º 40′ E and 14º 27′ S, on the south side of Baia deBengo, a large and sheltered bay with waters up ...
 
The Port of Nacala, also called the Nacala port complex, is a Mozambican port located in the cities of Nacala and Nacala-a-Velha. Is the deepest port in Southern Africa. The natural deep harbour serves landlocked Malawi with a 931-kilometre railway. Wikipedian

Na Mtwara nasikia ni natural port kuliko hizi zingine za kuchimba halafu zikaunganishwa na reli au meli ndogo ndogo kutoa mzigo hapo Mtwara kuja Dar na Tanga , kitu kikubwa ni kuweka dry ports nyingi karibu na hizo bandari . Watu wa Mipango na mipango mini hapa akili zao zinatakiwa zitumike, sio za kiongozi au kikundi cha watu
Siyo kuunganisha Mtwara kuja Dar, inatakiwa tuunganishe Mtwara na ziwa Nyasa na Mtwara na Zambia.
 
A natural deep water port serving northern Mozambique Malawi and Zambia. LOCATION:.....
Mozambique The country possesses the third longest coastline in the Indian Ocean, covering a total distance of 2700 km, with the total continental shelf area measuring approximately 104,300 km2.

Coastline 1,424 km (885 mi) ya Tanzania
 
Siyo kuunganisha Mtwara kuja Dar, inatakiwa tuunganishe Mtwara na ziwa Nyasa na Mtwara na Zambia.
Ndio nilikuwa naangalia ramani , kama ulivyo sema , tunaweza kuwa na reli au hiyo barabara Hadi ruvuma kwenye ziwa Nyasa na meli za mizigo zikafanya kazi yake.

Kuhusu Mtwara kuja Dar na kwingine ni kama tunataka kuifanya Bandari hiyo kupokea meli kubwa hizo 4th generation badala ya kuhangaika na bwagamoyo Kwa sababu Mimi ninatoka huko na sio kuangalia faida Kwa nchi.
 
Akili zetu ziliishia kwenye ukikosa mboga haununui unga, yaani hatujui kuwa unga unaweza ukakoroga uji na kapilipili na ndimu kwa mbali ukanywa ukashiba. Reli ya Mtwara Nachingwea haikutakiwa kung'olewa bali ilitakiwa ielekezwe ziwa Nyasa na Zambia.
 
Ndio nilikuwa naangalia ramani , kama ulivyo sema , tunaweza kuwa na reli au hiyo barabara Hadi ruvuma kwenye ziwa Nyasa na meli za mizigo zikafanya kazi yake.

Kuhusu Mtwara kuja Dar na kwingine ni kama tunataka kuifanya Bandari hiyo kupokea meli kubwa hizo 4th generation badala ya kuhangaika na bwagamoyo Kwa sababu Mimi ninatoka huko na sio kuangalia faida Kwa nchi.
Hatuhitaji barabara, makontena ni mazito yanatutia hasara angalia barabara ya Morogoro kilia kukicha inafanyiwa marekebisho. Angalia hasara inayofanyika huko Mbeya ya kutengeneza wapiga kura wa Tulia eti kwa kujenga barabara ya njia nne toka Rujewa kwenda Mbeya, hapo Rujewa reli ya Tazara ipo mita chache toka kwenye barabara, hawaioni kwa sababu haizalishi chawa, nikisema CCM inahujumu nchi mnielewe.
 
Coastal line za Nchi za Africa Kenya haimo
1 Madagascar 4,828
2 Somalia 3,333
3 South Africa 2,798
4 Mozambique 2,470
5 Egypt 2,450
6 Eritrea 2,234
7 Morocco 1,835
8 Libya 1,770
9 Angola 1,600
10 Namibia 1,572
11 Tanzania 1,424
12 Tunisia 1,148
13 Algeria 998
14 Cape Verde 965
15 Gabon 885

Kenya Coastline 490 km (300 mi)
Sasa Sisi Kwa ujinga wetu tunamuona Kenya ni mshindani wetu kumbe , mshindani wetu ni ujinga wetu
 
Coastal line za Nchi za Africa Kenya haimo
1 Madagascar 4,828
2 Somalia 3,333
3 South Africa 2,798
4 Mozambique 2,470
5 Egypt 2,450
6 Eritrea 2,234
7 Morocco 1,835
8 Libya 1,770
9 Angola 1,600
10 Namibia 1,572
11 Tanzania 1,424
12 Tunisia 1,148
13 Algeria 998
14 Cape Verde 965
15 Gabon 885

Kenya Coastline 490 km (300 mi)
Sasa Sisi Kwa ujinga wetu tunamuona Kenya ni mshindani wetu kumbe , mshindani wetu ni ujinga wetu
Quickly cargoes accesibility ndilo la msingi, ambalo ndilo mh. SAMIAH SULUHU HASAAN ANAPIGANA NALO, KUHAKIKISHA TUNAKUWA NA>>>> "FAST TRACK CARGO SERVICES "<<<<<
Yale majinga hawajui hili hata kidogo dunia ipo kasi kweli.
 
Back
Top Bottom