Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #21
Linatumika kwa kiwango cha chini sana baada ya Tiper kufungwa.Ndo kusema halitumiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linatumika kwa kiwango cha chini sana baada ya Tiper kufungwa.Ndo kusema halitumiki
Si wataihujumu SGR piaLinatumika kwa kiwango cha chini sana baada ya Tiper kufungwa.
Hio reli haina faida yoyote bora ingeeelekezwa tunduma. Maana mizigo mingi ya bandari inaenda Kongo.Wahuni wa ccm wana sabotage SGR na bwawa la Mwal. Nyerere. Naiona nia ovu kwenye ukamilishaji wa miradi hiyo.
TAZARA si ipo na the na Waziri wa fedha digirii yake ni first class na madudu mengine juu yake lakini hajui umuhimu wa mtaji na matumizi ya reli Kwa mizigo kikubwa.Hio reli haina faida yoyote bora ingeeelekezwa tunduma. Maana mizigo mingi ya bandari inaenda Kongo.
Nimesema Tazara imetelekezwa nguvu imeelekezwa kwenye barabara ambayo yanapita malori yao.TAZARA si ipo na the na Waziri wa fedha digirii yake ni first class na madudu mengine juu yake lakini hajui umuhimu wa mtaji na matumizi ya reli Kwa mizigo kikubwa.
Reli ya Tazara inaenda Tunduma lakini haina fsida yoyote, ukifika Tunduma utakuta msongamano wa malori wakati treni ya Tazara haionekani.Hio reli haina faida yoyote bora ingeeelekezwa tunduma. Maana mizigo mingi ya bandari inaenda Kongo.
Ingeboreshwa kuwa SGR faida ingeanza kuonekanaReli ya Tazara inaenda Tunduma lakini haina fsida yoyote, ukifika Tunduma utakuta msongamano wa malori wakati treni ya Tazara haionekani.
Hio reli haina faida yoyote bora ingeeelekezwa tunduma. Maana mizigo mingi ya bandari inaenda Kongo.
Siku ya leo ni siku muhimu sana kwa nchi za Afrika ya Kati yaani Msumbiji, Malawi, Zambia na Zimbabwe kwani nchi hizi zitaanza kupitisha mizigo yake kwa kutumia reli fupi ya Nacala kuzifikia nchi hizi, je tutarajie nini kwenye bandari yetu ya Dar es Salaam?
CCM ni kikwazo kwa maendeleo ya Tanzania, watakaobisha na wabishe. Tulipopata Uhuru Tanganyika ilikuwa na reli ya Mtwara Nachingwea ambayo kwa ujinga wetu tuliing'oa badala ya kuiboresha. Kuiboresha reli hii ilikuwa ni kuifanya izitumikie nchi za Malawi kupitia ziwa Nyasa na na Zambia kupitia Kyela ambayo ni jirani ya Zambia kuliko Dar es Salaam, na mbaya zaidi ni nchi kushindwa kuitumia kikamilifu reli ya Tazara kwa kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi, badala yake kujikita eti kuondoa msongamano wa malori ya Tunduma! Hii ndiyo Tanzania inayothamini machawa kwa kuwaona ndio maendeleo ya nchi.
Mwisho kwa wale msiolijua hili, Kigamboni kuna bomba la mafuta kama linalojengwa kwenda Uganda isipokuwa hili linachukua mafuta toka Dar es Salaam kwenda Zambia, watanzania machawa nendeni Mbagala linapopita muone kama juu ya hilo bomba kuna fursa yoyote, linapita Kitunda, Kisarawe, Chalinze, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya na Songwe, juu ya bomba hilo hakuna fursa zozote na tumeshindwa kulitumia bomba hilo kikamilifu kwa kupeleka mafuta Zambia badala yake tunatumia malori yanayotutia hasara kwa matengenezo ya barabara yasiyoisha pia kusafirisha kiasi kidogo cha mafuta.
Mbona space zipo labda miweke mbili jambo ambalo si la kawaida.Weka hata space basi visomeke
A big blow kwa uchumi wetu km wamefanya hivyo tufanye fitna wakose uweledi kwenye uendeshajiSiku ya leo ni siku muhimu sana kwa nchi za Afrika ya Kati yaani Msumbiji, Malawi, Zambia na Zimbabwe kwani nchi hizi zitaanza kupitisha mizigo yake kwa kutumia reli fupi ya Nacala kuzifikia nchi hizi, je tutarajie nini kwenye bandari yetu ya Dar es Salaam?
CCM ni kikwazo kwa maendeleo ya Tanzania, watakaobisha na wabishe. Tulipopata Uhuru Tanganyika ilikuwa na reli ya Mtwara Nachingwea ambayo kwa ujinga wetu tuliing'oa badala ya kuiboresha. Kuiboresha reli hii ilikuwa ni kuifanya izitumikie nchi za Malawi kupitia ziwa Nyasa na na Zambia kupitia Kyela ambayo ni jirani ya Zambia kuliko Dar es Salaam, na mbaya zaidi ni nchi kushindwa kuitumia kikamilifu reli ya Tazara kwa kusafirisha mizigo ya Zambia na Malawi, badala yake kujikita eti kuondoa msongamano wa malori ya Tunduma! Hii ndiyo Tanzania inayothamini machawa kwa kuwaona ndio maendeleo ya nchi.
Mwisho kwa wale msiolijua hili, Kigamboni kuna bomba la mafuta kama linalojengwa kwenda Uganda isipokuwa hili linachukua mafuta toka Dar es Salaam kwenda Zambia, watanzania machawa nendeni Mbagala linapopita muone kama juu ya hilo bomba kuna fursa yoyote, linapita Kitunda, Kisarawe, Chalinze, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya na Songwe, juu ya bomba hilo hakuna fursa zozote na tumeshindwa kulitumia bomba hilo kikamilifu kwa kupeleka mafuta Zambia badala yake tunatumia malori yanayotutia hasara kwa matengenezo ya barabara yasiyoisha pia kusafirisha kiasi kidogo cha mafuta.
Tatizo wenyenchi wana malori yao ambayo wanatumia mamlaka kuyalinda yabebe mizigo.Ingeboreshwa kuwa SGR faida ingeanza kuonekana
Tatizo tunaowahudumia hawautaki umbali wa Dar mpaka Zambia na Malawi hivyo wanatafuta njia fupi za Banguela na Nacala, hatma ya ZAMCARGO, AMI na MALAWI CARGO iko mashakani. Malawi walikwisha anza kuboresha reli yao ya Nacala na hivi sasa wameanza kuitumia kubeba mafuta.Tazara iboreshwe tu wala usitie shaka,SGR nayo ni muhimu sana.
Idara Yetu ya Usalama kwenye Ujasusi wa Kiuchumi haifanyi vizuri Kabisa. Ukweli usemwe wameshindwaje kukwamisha hii banadariView attachment 2775155
Rais Chakwera(malawi), Nyusi(msumbiji)na Hichilima(zambia) wakiwa kwenye sherehe ya uzinduzi wa bandari iliyoboreshwa ya Nacala.
Kongo DR itaanza kuitumia reli ya Banguela Angola inayokarabatiwa.Idara Yetu ya Usalama kwenye Ujasusi wa Kiuchumi haifanyi vizuri Kabisa. Ukweli usemwe wameshindwaje kukwamisha hii banadari