OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View: https://youtu.be/XejFzX2kqfc
Katika harakati za kupigania bandari isiuzwe mtumishi wa Mungu amejitokeza na kumchambua Kikwete. Mtumishi amesema Kikwete hakuainisha mipaka. Kwamba matendo yapi ya mwanasiasa tanatakiwa kukemewa. Amehoji mbona pindi dini inaposifia wanasiasa hakuwahi kuhoji?
Ametoa mifano ya kibiblia jinsi watumishi wa Mungu walivyokemea na kupinga uovu
Watu wanazungumzia mkataba mbovu wewe unaongea ujinga?Navyojua wanyakyusa wanamchukia jk sana na watu wa pwani sana ,tangu jk apopolewe mawe mbeya kufuatia kile alichomfanyia ndugu yao prof wanyaki walituma Salam,
Nimekaa chalinze kitambo wanyaki wanaoishi pale wanamchukia balaa nikiwa mbeya miaka ya 2010+ wanyaki huwaambia lolote zuri Kwa jk hata hii vita kubwa ya Samia Saluhu wale jamaa wanaamini kikwete ndio anamtumia
Jk aliondosha ndoto ya wanyaki kupata Rais 2005 maana waliingia tatu Bora kundi la jk la mtandao likawazidi nguvu
Usiku mwema
USSR
Hoja dhaifu sana.Navyojua wanyakyusa wanamchukia jk sana na watu wa pwani sana ,tangu jk apopolewe mawe mbeya kufuatia kile alichomfanyia ndugu yao prof wanyaki walituma Salam,
Nimekaa chalinze kitambo wanyaki wanaoishi pale wanamchukia balaa nikiwa mbeya miaka ya 2010+ wanyaki huwaambia lolote zuri Kwa jk hata hii vita kubwa ya Samia Saluhu wale jamaa wanaamini kikwete ndio anamtumia
Jk aliondosha ndoto ya wanyaki kupata Rais 2005 maana waliingia tatu Bora kundi la jk la mtandao likawazidi nguvu
Usiku mwema
USSR
Tulimuomba Mungu afanye kama alivyofanya kwenye mnara wa Babeli, lugha zisieleweke
View: https://youtu.be/XejFzX2kqfc
Katika harakati za kupigania bandari isiuzwe mtumishi wa Mungu amejitokeza na kumchambua Kikwete. Mtumishi amesema Kikwete hakuainisha mipaka. Kwamba matendo yapi ya mwanasiasa tanatakiwa kukemewa. Amehoji mbona pindi dini inaposifia wanasiasa hakuwahi kuhoji?
Amesema kwa sababu watumishi wanaingilia ulaji na dhurma ya wanasiasa hivyo wanakemea dhambi. Wanasiasa wasijione wana haki ya kuiba rasilimali.
Ametoa mifano ya kibiblia jinsi watumishi wa Mungu walivyokemea na kupinga uovu
Jibu HOJA ya Mbarikiwa!!Navyojua wanyakyusa wanamchukia jk sana na watu wa pwani sana ,tangu jk apopolewe mawe mbeya kufuatia kile alichomfanyia ndugu yao prof wanyaki walituma Salam,
Nimekaa chalinze kitambo wanyaki wanaoishi pale wanamchukia balaa nikiwa mbeya miaka ya 2010+ wanyaki huwaambia lolote zuri Kwa jk hata hii vita kubwa ya Samia Saluhu wale jamaa wanaamini kikwete ndio anamtumia
Jk aliondosha ndoto ya wanyaki kupata Rais 2005 maana waliingia tatu Bora kundi la jk la mtandao likawazidi nguvu
Usiku mwema
USSR
Lugha zinagongana, mnara wa Babeli ujenzi utasimama for all!!Tulimuomba Mungu afanye kama alivyofanya kwenye mnara wa Babeli, lugha zisieleweke
Sasa hivi mtaanza kuwaita NYAKYUSA GANG π π π πNavyojua wanyakyusa wanamchukia jk sana na watu wa pwani sana ,tangu jk apopolewe mawe mbeya kufuatia kile alichomfanyia ndugu yao prof wanyaki walituma Salam,
Nimekaa chalinze kitambo wanyaki wanaoishi pale wanamchukia balaa nikiwa mbeya miaka ya 2010+ wanyaki huwaambia lolote zuri Kwa jk hata hii vita kubwa ya Samia Saluhu wale jamaa wanaamini kikwete ndio anamtumia
Jk aliondosha ndoto ya wanyaki kupata Rais 2005 maana waliingia tatu Bora kundi la jk la mtandao likawazidi nguvu
Usiku mwema
USSR
Mara nyingi huwa hauna akili.Zitafute ulipozipoteza.Navyojua wanyakyusa wanamchukia jk sana na watu wa pwani sana ,tangu jk apopolewe mawe mbeya kufuatia kile alichomfanyia ndugu yao prof wanyaki walituma Salam,
Nimekaa chalinze kitambo wanyaki wanaoishi pale wanamchukia balaa nikiwa mbeya miaka ya 2010+ wanyaki huwaambia lolote zuri Kwa jk hata hii vita kubwa ya Samia Saluhu wale jamaa wanaamini kikwete ndio anamtumia
Jk aliondosha ndoto ya wanyaki kupata Rais 2005 maana waliingia tatu Bora kundi la jk la mtandao likawazidi nguvu
Usiku mwema
USSR
Vipi mwenzetu! Wewe ni fundi magrili? Naona unapindishapindisha vyuma.Navyojua wanyakyusa wanamchukia jk sana na watu wa pwani sana ,tangu jk apopolewe mawe mbeya kufuatia kile alichomfanyia ndugu yao prof wanyaki walituma Salam,
Nimekaa chalinze kitambo wanyaki wanaoishi pale wanamchukia balaa nikiwa mbeya miaka ya 2010+ wanyaki huwaambia lolote zuri Kwa jk hata hii vita kubwa ya Samia Saluhu wale jamaa wanaamini kikwete ndio anamtumia
Jk aliondosha ndoto ya wanyaki kupata Rais 2005 maana waliingia tatu Bora kundi la jk la mtandao likawazidi nguvu
Usiku mwema
USSR
Tumsubiri mwingine haje na lugha yake. Makamba mkubwa akipata mike naye lazima atabwabwaja.Tulimuomba Mungu afanye kama alivyofanya kwenye mnara wa Babeli, lugha zisieleweke