Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Ngaliwe

Senior Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
164
Reaction score
374
Bandari ya Bagamoyo haitajengwa na wachina kwa mkopo.

Wanajenga mali yao wenyewe.

Mali ya china ndani ya tanzania kwa miaka 99.

Hakuna mtanzania ataruhusiwa kuingia pale kufanya lolote pale mbeganizhou ya Bagamoyo.

Nilichogundua huo mradi wa bandari ya Bagamoyo ni do or die project kwa wachina na serikali yao hakuna nchi yeyote inaweza kubali mkataba wa ajabu na wa kitapeli wa kutoa ardhi yake nzuri na kubwa kiasi kile iwe mali ya china ni tanzania pekee.

Kwa hiyo wachina watafanya lolote linalowezekana kihakikisha mradi huo wa kijambazi unafanikiwa.

Swali la kizushi makada, hivi kabla ya bagamoyo kuwa china itapigwa kura bungeni kupitisha au? Taratiibu zikoje? Najiuliza kama ni hivyo je wakipitisha hilo wabunge watakuwa wamewatendea haki wananchi? Kiasi cha kurudi kifua mbele 2025 kuomba kura?

Je, Chama kina msimamo gani juu ya hii biashara kichaa?


20210407_202647.jpg
 
Aisee nyie Watanzania kwa kushirikiana na JWTZ chukueni nchi yenu. Hawa viongozi wa ccm na upinzani wachomwe moto na gesi ya mtwara live ikiinyoshwa tbc taifa. Nchi zote zilizoendelea viongozi wale wanaonafanana na hawa wa kwetu walipigwa risasi, kunyongwa hadharani. Ilisaidia sana kwa kuwaambia wasifanye makosa ya kuumiza vizazi vya nchi.
 
Nimeliokota hili andiko sehemu limetupwa;

Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulisitishwa kufuatia majadiliano yenye tija yaliyofanywa mwaka 2018. Serikali ilibaini masharti magumu yanayoweka rehani uchumi wa nchi na kuhatarisha uhuru wa nchi yetu. Kwa mantiki hii wajuvi wa mambo katika mimbali za "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" watang'amua na kuunga mkono zuio hilo la serikali.

Kupitia majadiliano hayo yaliyojikita katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi, serikali ilibaini baadhi ya masharti yafuatayo ambao ni hatarishi kwa uchumi wetu;

1) Wachina walihitaji kuendesha Bandari hiyo baada ya ujenzi bila kuingiliwa, jukumu la kupanga bei liwe mikononi mwao.

2) Pia ukanda huo wa Bandari ya Bagamoyo (Tanga-Mtwara), kusiwe na uboreshwaji wa Bandari zingine, mathalani Bandari za Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mtwara zibaki kama zilivyo kitu kinachohatarisha ukuaji wake na kwa namna yoyote ile zingekufa kifo cha asili.

3) Eneo lote la ujenzi wa viwanda na mji wa kisasa wachina walihitaji umiliki wa hati kwa zaidi ya miaka 33 (zaidi ya miongo mitatu). Mbaya zaidi walihitaji kama Faida yao itakuwa haijapatikana kwa miaka 33 basi hata kwa miaka 99 wangeweza kuendelea kumiliki na kukusanya kodi.

4) Wachina walihitaji pia wawe wasajili, wasimamizi wa viwanda vyote vitakavyowekezwa eneo hilo sanjari na ukusanyaji wa kodi zote zitakazolipwa eneo huska.

Sintofahamu inaongezeka pale ambapo, ni wachina hao hao ambao wangetumika kutoa tafsiri ya kimahesabu kuhusu faida au hasara kutokana na 100% ya kumiliki au kuratibu mchakato mzima wa mapato katika eneo hilo. Hapa nalazimika kukumbuka usemi wa kiratini, "Quis Custodient, Ipsos Custodes?" Kwa tafsiri isiyo rasmi ni, "Who watches the watchers?" Au "Nani atawalinda walinzi wetu," ilihali wenye mali tumewekwa kando na wageni wamepewa fursa ya kufanya wanavyotaka.

Katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi kwa namna yoyote ile lazima wachina wangetuchakachua ili watuvune vya kutosha. Maana wao ndio wangekuwa walinzi wa 100% wa mapato yanayoingia na hata kampuni za ukaguzi ili ionekane wamepata hasara ili kupata tiketi ya kuongezewa muda wa kumiliki na kukusanya mapato.

Aina hii ya makubaliano kandamizi ndio imepelekea Bandari ya Hambantota, Sri Lanka kuchukuliwa na kumilikiwa na China kwa 99%. Pia Uwanja wa Ndege wa Mattala Rajapaksa, Sri Lanka kumilikiwa na China kwa 70%. Ikiwa ni zao la kushindwa kulipa mikopo iliyotegwa katika mtego wa falsafa za "Quis Custodient, Ipsos Custodes."

Rejea andiko lililoandikwa na Institute for Security Studies Africa mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy."

Aidha, rejea andiko ambalo liliandikwa na The Diplomat mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Sri Lanka's Debt and China's Money," sanjari na andiko la mwaka 2018 lenye kichwa cha habari, "Does Debt Pay? China and the Politics of Investment in Sri Lanka."

Nawiwa kuwaomba watanzania wenzangu kuyatafta maarifa ambayo yamefichwa katika Vitabu au maandishi ili kubaini propaganda zinazofanywa na baadhi ya watu kutetea mradi wa Bagamoyo uendelee kwa maslahi binafsi paspo kuutizama ukweli kwa maslahi mapana ya taifa.

Aidha, niipongeze serikali ya awamu ya 5 kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi. Hii ni zaidi ya tafakuri tunduizi ya kukataa makubaliano yanayotweza utu wa Taifa letu, kupoka Uhuru wa nchi na kuweka rehani uchumi wa nchi yetu kwa faida ya China.
 
Hapa Kuna wakubwa wa ki-Siasa wa Serikali ya awamu ya 4 Waliouasisi HUO mradi wamemtuma Ndugai apige debe na kusafisha njia Ili wapime reactions kutoka kwa Wananchi.

Kwa kuwa wanajua Wa-Tanzania Wana woga na upole wa ujinga vichwani mwao.Hii Kitu ya BANDARI ya BAGAMOYO ikiruhusiwa italeta Machafuko,maana JPM alishatutoa Wa-Tanzania tongotongo.

Kuna vitu vingi Serikali zilizopita walituaminisha kwamba Sio rahisi kuvifanya. Lakini JPM Ameonyesha njia kwamba Inawezekana kuvifanya,na alijitahidi kuvianzisha na kuvitekeleza kwa muda mfupi. Unahitajika TU uzalendo wa kweli na kuwa na msimamo usioyumba KUFANYa Mambo makubwa kama JPM Alivyoonyesha njia.Oh! Marehemu JPM, Mungu akulaze mahala pema peponi.Upumzike kwa amani.
 
Mwendazake alikuwa Mpumbavu wa kiwango Cha lami. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo una manufaa makubwa kuliko uwanja wa Chato, kuliko SGR kuliko Bwawa la Nyererere, kuliko Ndege zinazotafuna nchi hii.

Kama yeye ni rais na aliona mradi huu haufai ilipaswa aachane na ule mkataba aanze nao mkataba mpya au mkataba uboreshwe Kama ilivyokuwa kea ACCACIA na BARRICK .

Miradi Mingi ya Magu ni white elephant. Ni hadara kea taifa. Mradi huu Magu angeweza kuuendeleza kea kuanza upya mchakato Ili uwe na maslahi kwa pande zote mbili, yeye Kama rais alikuwa na uwezo huo.

Ila kwa kuwa alikuwa Hana akili akaufuta halafu anatumia matrion kutengeneza airport kijijini kwao na daraja la busisi porini kea mabilioni. The man was crazy
 
Hapa Kuna wakubwa wa ki-Siasa wa Serikali ya awamu ya 4 Waliouasisi HUO mradi wamemtuma Ndugai apige debe na kusafisha njia Ili wapime reactions kutoka kwa Wananchi.Kwa kuwa wanajua Wa-Tanzania Wana woga na upole wa ujinga vichwani mwao.Hii Kitu ya BANDARI ya BAGAMOYO ikiruhusiwa italeta Machafuko,maana JPM alishatutoa Wa-Tanzania tongotongo.Kuna vitu vingi Serikali zilizopita walituaminisha kwamba Sio rahisi kuvifanya.Lakini JPM Ameonyesha njia kwamba Inawezekana kuvifanya,na alijitahidi kuvianzisha na kuvitekeleza kwa muda mfupi.Unahitajika TU uzalendo wa kweli na kuwa na msimamo usioyumba KUFANYa Mambo makubwa kama JPM Alivyoonyesha njia.Oh ! Marehemu JPM,Mungu akulaze mahala pema peponi.Upumzike kwa amani.
[emoji16][emoji16][emoji16]umelishwa unga wa ndele
 
Mwendazake alikuwa Mpumbavu wa kiwango Cha lami. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo una manufaa makubwa kuliko uwanja wa Chato, kuliko SGR kuliko Bwawa la Nyererere, kuliko Ndege zinazotafuna nchi hii.
Kama yeye ni rais na aliona mradi huu haufai ilipaswa aachane na ule mkataba aanze nao mkataba mpya au mkataba uboreshwe Kama ilivyokuwa kea ACCACIA na BARRICK .
Miradi Mingi ya Magu ni white elephant. Ni hadara kea taifa. Mradi huu Magu angeweza kuuendeleza kea kuanza upya mchakato Ili uwe na maslahi kwa pande zote mbili, yeye Kama rais alikuwa na uwezo huo. Ila kwa kuwa alikuwa Hana akili akaufuta halafu anatumia matrion kutengeneza airport kijijini kwao na daraja la busisi porini kea mabilioni. The man was crazy
White elephant projects
 
Nimeliokota hili andiko sehemu limetupwa;

Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulisitishwa kufuatia majadiliano yenye tija yaliyofanywa mwaka 2018. Serikali ilibaini masharti magumu yanayoweka rehani uchumi wa nchi na kuhatarisha uhuru wa nchi yetu. Kwa mantiki hii wajuvi wa mambo katika mimbali za "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" watang'amua na kuunga mkono zuio hilo la serikali.

Kupitia majadiliano hayo yaliyojikita katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi, serikali ilibaini baadhi ya masharti yafuatayo ambao ni hatarishi kwa uchumi wetu;

1) Wachina walihitaji kuendesha Bandari hiyo baada ya ujenzi bila kuingiliwa, jukumu la kupanga bei liwe mikononi mwao.

2) Pia ukanda huo wa Bandari ya Bagamoyo ( Tanga-Mtwara), kusiwe na uboreshwaji wa Bandari zingine, mathalani Bandari za Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mtwara zibaki kama zilivyo kitu kinachohatarisha ukuaji wake na kwa namna yoyote ile zingekufa kifo cha asili.

3) Eneo lote la ujenzi wa viwanda na mji wa kisasa wachina walihitaji umiliki wa hati kwa zaidi ya miaka 33 (zaidi ya miongo mitatu). Mbaya zaidi walihitaji kama Faida yao itakuwa haijapatikana kwa miaka 33 basi hata kwa miaka 99 wangeweza kuendelea kumiliki na kukusanya kodi.

4) Wachina walihitaji pia wawe wasajili, wasimamizi wa viwanda vyote vitakavyowekezwa eneo hilo sanjari na ukusanyaji wa kodi zote zitakazolipwa eneo huska.

Sintofahamu inaongezeka pale ambapo, ni wachina hao hao ambao wangetumika kutoa tafsiri ya kimahesabu kuhusu faida au hasara kutokana na 100% ya kumiliki au kuratibu mchakato mzima wa mapato katika eneo hilo. Hapa nalazimika kukumbuka usemi wa kiratini, "Quis Custodient, Ipsos Custodes?" Kwa tafsiri isiyo rasmi ni, "Who watches the watchers?" Au "Nani atawalinda walinzi wetu," ilihali wenye mali tumewekwa kando na wageni wamepewa fursa ya kufanya wanavyotaka.

Katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi kwa namna yoyote ile lazima wachina wangetuchakachua ili watuvune vya kutosha. Maana wao ndio wangekuwa walinzi wa 100% wa mapato yanayoingia na hata kampuni za ukaguzi ili ionekane wamepata hasara ili kupata tiketi ya kuongezewa muda wa kumiliki na kukusanya mapato.

Aina hii ya makubaliano kandamizi ndio imepelekea Bandari ya Hambantota, Sri Lanka kuchukuliwa na kumilikiwa na China kwa 99%. Pia Uwanja wa Ndege wa Mattala Rajapaksa, Sri Lanka kumilikiwa na China kwa 70%. Ikiwa ni zao la kushindwa kulipa mikopo iliyotegwa katika mtego wa falsafa za "Quis Custodient, Ipsos Custodes."

Rejea andiko lililoandikwa na Institute for Security Studies Africa mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy."

Aidha, rejea andiko ambalo liliandikwa na The Diplomat mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Sri Lanka's Debt and China's Money," sanjari na andiko la mwaka 2018 lenye kichwa cha habari, "Does Debt Pay? China and the Politics of Investment in Sri Lanka."

Nawiwa kuwaomba watanzania wenzangu kuyatafta maarifa ambayo yamefichwa katika Vitabu au maandishi ili kubaini propaganda zinazofanywa na baadhi ya watu kutetea mradi wa Bagamoyo uendelee kwa maslahi binafsi paspo kuutizama ukweli kwa maslahi mapana ya taifa.

Aidha, niipongeze serikali ya awamu ya 5 kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi. Hii ni zaidi ya tafakuri tunduizi ya kukataa makubaliano yanayotweza utu wa Taifa letu, kupoka Uhuru wa nchi na kuweka rehani uchumi wa nchi yetu kwa faida ya China.
Umesoma Mkataba au ni Propaganda za Mwendazake kisa atakuwa alinyimwa % zake????
 
Mwendazake alikuwa Mpumbavu wa kiwango Cha lami. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo una manufaa makubwa kuliko uwanja wa Chato, kuliko SGR kuliko Bwawa la Nyererere, kuliko Ndege zinazotafuna nchi hii.

Kama yeye ni rais na aliona mradi huu haufai ilipaswa aachane na ule mkataba aanze nao mkataba mpya au mkataba uboreshwe Kama ilivyokuwa kea ACCACIA na BARRICK .

Miradi Mingi ya Magu ni white elephant. Ni hadara kea taifa. Mradi huu Magu angeweza kuuendeleza kea kuanza upya mchakato Ili uwe na maslahi kwa pande zote mbili, yeye Kama rais alikuwa na uwezo huo.

Ila kwa kuwa alikuwa Hana akili akaufuta halafu anatumia matrion kutengeneza airport kijijini kwao na daraja la busisi porini kea mabilioni. The man was crazy
Mikataba ya Acccia na Barrick ilianzishwa Magufuli hakuwa Rais, alipokuja iliirekebisha yote na fedha zilizoibwa na makampuni hayo kwa miaka yote zilirudishwa. Magufululi alikuwa Jasiri na Mjanja kwenye uongozi wake, Mikataba yote mibovu ambayo haina maslahi na hatari kwa usalama wa nchi na Uchumi wa nchi ulisimamishwa usiendelee tena kama huu Mkataba mbovu wa Bandari ya Bagamoyo. ikiwezekana mkataba huo wa Bandari ya Bagamoyo uundiwe Tume ya wanasheria upitiwe upya na kama kuna sintofahamu za kisheria ziondolewe na kuandikwa upya ili ujenzi uendelee kwa miaka ijayo.
 
Bandari ya Bagamoyo haitajengwa na wachina kwa mkopo.

Wanajenga mali yao wenyewe.

Mali ya china ndani ya tanzania kwa miaka 99.

Hakuna mtanzania ataruhusiwa kuingia pale kufanya lolote pale mbeganizhou ya Bagamoyo.

Nilichogundua huo mradi wa bandari ya Bagamoyo ni do or die project kwa wachina na serikali yao hakuna nchi yeyote inaweza kubali mkataba wa ajabu na wa kitapeli wa kutoa ardhi yake nzuri na kubwa kiasi kile iwe mali ya china ni tanzania pekee.

Kwa hiyo wachina watafanya lolote linalowezekana kihakikisha mradi huo wa kijambazi unafanikiwa.

Swali la kizushi makada, hivi kabla ya bagamoyo kuwa china itapigwa kura bungeni kupitisha au? Taratiibu zikoje? Najiuliza kama ni hivyo je wakipitisha hilo wabunge watakuwa wamewatendea haki wananchi? Kiasi cha kurudi kifua mbele 2025 kuomba kura?

Je, Chama kina msimamo gani juu ya hii biashara kichaa?


View attachment 1749463
Ni ujinga tu unatusumbua, eneo limekaa wazi zaidi ya miaka 2000, kuna faida gani kubaki na eneo wazi badala pajengwe?
 
Back
Top Bottom