Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Mwendazake alikuwa Mpumbavu wa kiwango Cha lami. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo una manufaa makubwa kuliko uwanja wa Chato, kuliko SGR kuliko Bwawa la Nyererere, kuliko Ndege zinazotafuna nchi hii.

Kama yeye ni rais na aliona mradi huu haufai ilipaswa aachane na ule mkataba aanze nao mkataba mpya au mkataba uboreshwe Kama ilivyokuwa kea ACCACIA na BARRICK .

Miradi Mingi ya Magu ni white elephant. Ni hadara kea taifa. Mradi huu Magu angeweza kuuendeleza kea kuanza upya mchakato Ili uwe na maslahi kwa pande zote mbili, yeye Kama rais alikuwa na uwezo huo.

Ila kwa kuwa alikuwa Hana akili akaufuta halafu anatumia matrion kutengeneza airport kijijini kwao na daraja la busisi porini kea mabilioni. The man was crazy
I think you are an idiot
 
Propaganda za Kupinga Maendeleo ni kubwa sana.

Wachina ni washirika wetu wakubwa, tumeshirikiana nao katika kila sekta kuanzia Jeshini, Elimu, Afya na Kisiasa.

Mradi ungekuwa Chato au kanda ya Ziwa ungefanywa haraka sana. Kuzuia 2016 mara 2018 unaruuhusu ujengwe baadae 2019 kigeugeu tena unazuia. Hiyo ni kuonyesha maslahi ya Sukuma Gang yalibinywa.

Miaka 33 au 66 ama 99 ndio Sheria ya Ardhi ya Tanzania Lease ndio muda wake, Propaganda kuwafanya Watanzania ambao tumewanyima kumiliki ardhi waone kama vile wameibiwa.

Watanzania wanataka Ajira, wanataka biashara wanataka kusonga kwa speed sio kutuletea sera za Magufuli za wakati wa Vita Baridi

Never and Never again
 
Mwendazake alikuwa Mpumbavu wa kiwango Cha lami. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo una manufaa makubwa kuliko uwanja wa Chato, kuliko SGR kuliko Bwawa la Nyererere, kuliko Ndege zinazotafuna nchi hii.

Kama yeye ni rais na aliona mradi huu haufai ilipaswa aachane na ule mkataba aanze nao mkataba mpya au mkataba uboreshwe Kama ilivyokuwa kea ACCACIA na BARRICK .

Miradi Mingi ya Magu ni white elephant. Ni hadara kea taifa. Mradi huu Magu angeweza kuuendeleza kea kuanza upya mchakato Ili uwe na maslahi kwa pande zote mbili, yeye Kama rais alikuwa na uwezo huo.

Ila kwa kuwa alikuwa Hana akili akaufuta halafu anatumia matrion kutengeneza airport kijijini kwao na daraja la busisi porini kea mabilioni. The man was crazy
Ndo kilichofanyika kuwaambia watoe hivyo vipengele nyonyaji. Hawajarudi tena ujue kuwa nchi ilikuwa inauzwa
 
Nimeliokota hili andiko sehemu limetupwa;

Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulisitishwa kufuatia majadiliano yenye tija yaliyofanywa mwaka 2018. Serikali ilibaini masharti magumu yanayoweka rehani uchumi wa nchi na kuhatarisha uhuru wa nchi yetu. Kwa mantiki hii wajuvi wa mambo katika mimbali za "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" watang'amua na kuunga mkono zuio hilo la serikali.

Kupitia majadiliano hayo yaliyojikita katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi, serikali ilibaini baadhi ya masharti yafuatayo ambao ni hatarishi kwa uchumi wetu;

1) Wachina walihitaji kuendesha Bandari hiyo baada ya ujenzi bila kuingiliwa, jukumu la kupanga bei liwe mikononi mwao.

2) Pia ukanda huo wa Bandari ya Bagamoyo (Tanga-Mtwara), kusiwe na uboreshwaji wa Bandari zingine, mathalani Bandari za Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mtwara zibaki kama zilivyo kitu kinachohatarisha ukuaji wake na kwa namna yoyote ile zingekufa kifo cha asili.

3) Eneo lote la ujenzi wa viwanda na mji wa kisasa wachina walihitaji umiliki wa hati kwa zaidi ya miaka 33 (zaidi ya miongo mitatu). Mbaya zaidi walihitaji kama Faida yao itakuwa haijapatikana kwa miaka 33 basi hata kwa miaka 99 wangeweza kuendelea kumiliki na kukusanya kodi.

4) Wachina walihitaji pia wawe wasajili, wasimamizi wa viwanda vyote vitakavyowekezwa eneo hilo sanjari na ukusanyaji wa kodi zote zitakazolipwa eneo huska.

Sintofahamu inaongezeka pale ambapo, ni wachina hao hao ambao wangetumika kutoa tafsiri ya kimahesabu kuhusu faida au hasara kutokana na 100% ya kumiliki au kuratibu mchakato mzima wa mapato katika eneo hilo. Hapa nalazimika kukumbuka usemi wa kiratini, "Quis Custodient, Ipsos Custodes?" Kwa tafsiri isiyo rasmi ni, "Who watches the watchers?" Au "Nani atawalinda walinzi wetu," ilihali wenye mali tumewekwa kando na wageni wamepewa fursa ya kufanya wanavyotaka.

Katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi kwa namna yoyote ile lazima wachina wangetuchakachua ili watuvune vya kutosha. Maana wao ndio wangekuwa walinzi wa 100% wa mapato yanayoingia na hata kampuni za ukaguzi ili ionekane wamepata hasara ili kupata tiketi ya kuongezewa muda wa kumiliki na kukusanya mapato.

Aina hii ya makubaliano kandamizi ndio imepelekea Bandari ya Hambantota, Sri Lanka kuchukuliwa na kumilikiwa na China kwa 99%. Pia Uwanja wa Ndege wa Mattala Rajapaksa, Sri Lanka kumilikiwa na China kwa 70%. Ikiwa ni zao la kushindwa kulipa mikopo iliyotegwa katika mtego wa falsafa za "Quis Custodient, Ipsos Custodes."

Rejea andiko lililoandikwa na Institute for Security Studies Africa mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy."

Aidha, rejea andiko ambalo liliandikwa na The Diplomat mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Sri Lanka's Debt and China's Money," sanjari na andiko la mwaka 2018 lenye kichwa cha habari, "Does Debt Pay? China and the Politics of Investment in Sri Lanka."

Nawiwa kuwaomba watanzania wenzangu kuyatafta maarifa ambayo yamefichwa katika Vitabu au maandishi ili kubaini propaganda zinazofanywa na baadhi ya watu kutetea mradi wa Bagamoyo uendelee kwa maslahi binafsi paspo kuutizama ukweli kwa maslahi mapana ya taifa.

Aidha, niipongeze serikali ya awamu ya 5 kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi. Hii ni zaidi ya tafakuri tunduizi ya kukataa makubaliano yanayotweza utu wa Taifa letu, kupoka Uhuru wa nchi na kuweka rehani uchumi wa nchi yetu kwa faida ya China.
Yawezekana wa China walikwishahonga fedha nyingi sana na zikatumika hata kwa 2015 campaign bila mhusika mkuu kufahamu.

Yawezekana Pia wachina na wa-Oman walianza kudai fedha ya kifunga uchumba walotoa kwa mwezeshaji au facilitator baada ya kuona mkataba umevunjwa na fedha zimeliwa.

Au Pia yawezekana mwezeshaji alianza kuona hali inakuwa mbaya maana muda unazidi kuyoyoma na kelele za "aendelee" zilianza kushika kasi.

CCM ikibanwa na wananchi kwenye hii haichomoi 2025.
 
Bandari ya Bagamoyo haitajengwa na wachina kwa mkopo.

Wanajenga mali yao wenyewe.

Mali ya china ndani ya tanzania kwa miaka 99.

Hakuna mtanzania ataruhusiwa kuingia pale kufanya lolote pale mbeganizhou ya Bagamoyo.

Nilichogundua huo mradi wa bandari ya Bagamoyo ni do or die project kwa wachina na serikali yao hakuna nchi yeyote inaweza kubali mkataba wa ajabu na wa kitapeli wa kutoa ardhi yake nzuri na kubwa kiasi kile iwe mali ya china ni tanzania pekee.

Kwa hiyo wachina watafanya lolote linalowezekana kihakikisha mradi huo wa kijambazi unafanikiwa.

Swali la kizushi makada, hivi kabla ya bagamoyo kuwa china itapigwa kura bungeni kupitisha au? Taratiibu zikoje? Najiuliza kama ni hivyo je wakipitisha hilo wabunge watakuwa wamewatendea haki wananchi? Kiasi cha kurudi kifua mbele 2025 kuomba kura?

Je, Chama kina msimamo gani juu ya hii biashara kichaa?


View attachment 1749463

Afu hivi mbona pia hatajwi mu Oman ‘Mwarabu’ ambae nae nasikia anatoa pesa hapo kwenye huo mradi au mchango wake ni mdogo sana ?
 
Propaganda za Kupinga Maendeleo ni kubwa sana.

Wachina ni washirika wetu wakubwa, tumeshirikiana nao katika kila sekta kuanzia Jeshini, Elimu, Afya na Kisiasa.

Mradi ungekuwa Chato au kanda ya Ziwa ungefanywa haraka sana. Kuzuia 2016 mara 2018 unaruuhusu ujengwe baadae 2019 kigeugeu tena unazuia. Hiyo ni kuonyesha maslahi ya Sukuma Gang yalibinywa.

Miaka 33 au 66 ama 99 ndio Sheria ya Ardhi ya Tanzania Lease ndio muda wake, Propaganda kuwafanya Watanzania ambao tumewanyima kumiliki ardhi waone kama vile wameibiwa.

Watanzania wanataka Ajira, wanataka biashara wanataka kusonga kwa speed sio kutuletea sera za Magufuli za wakati wa Vita Baridi

Never and Never again
Bunge la CCM lihojiwe na wananchi kuhusu mkataba wa bandari ya Bagamoyo.

Je, wachina na mu-Oman walitoa fedha za awali au la na kama walitoa fedha hizo walitoa kwa nani na zimetumikaje.

Jana nilitarajia msimamo tofauti wa upinzani kupitia Freeman Mbowe lakini aliniacha "very disappointed".
 
Afu hivi mbona pia hatajwi mu Oman ‘Mwarabu’ ambae nae nasikia anatoa pesa hapo kwenye huo mradi au mchango wake ni mdogo sana ?
Haya masuali ndo msingi wa kutafuta ukweli.

Vinginevyo ni propaganda zisizo na tija.
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu kweli mkataba wa aina hiyo tunaoambiwa ni kiongozi gani angethubutu kuukubali hata kama yeye mwenyewe binafsi angekuwa na maslahi? Viongozi waache kupakaziana ujinga ili wapate sifa toka kwa wananchi yeye aseme tu aliamua kuupiga chini kwa vile aliona hapati kitu ,maana tuseme ukweli tu viongozi wote wa Afrika ni wezi tu hakuna cha mzalendo wala nini.Mwendazake alikuwa mtu wa hovyo sana.

Kwa akili yako unaamini Rais angetaka kitu angekosa?! Kweli akili yako fupi[emoji38]
 
Haya masuali ndo msingi wa kutafuta ukweli.

Vinginevyo ni propaganda zisizo na tija.

Maana tunasikia ni Mchina tu mara atachukua ardhi/ bandari wakati nasikia pia kuna hao wa Oman pia wanaweka pesa yao sasa mbona kelele kwa m China tu

Kama ulivyo shauri utafutwe ukweli na hiyo mikataba iwekwe wazi mwisho wa siku kama Taifa tutaona tuingie au la
 
Nimeliokota hili andiko sehemu limetupwa;

Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulisitishwa kufuatia majadiliano yenye tija yaliyofanywa mwaka 2018. Serikali ilibaini masharti magumu yanayoweka rehani uchumi wa nchi na kuhatarisha uhuru wa nchi yetu. Kwa mantiki hii wajuvi wa mambo katika mimbali za "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" watang'amua na kuunga mkono zuio hilo la serikali.

Kupitia majadiliano hayo yaliyojikita katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi, serikali ilibaini baadhi ya masharti yafuatayo ambao ni hatarishi kwa uchumi wetu;

1) Wachina walihitaji kuendesha Bandari hiyo baada ya ujenzi bila kuingiliwa, jukumu la kupanga bei liwe mikononi mwao.

2) Pia ukanda huo wa Bandari ya Bagamoyo (Tanga-Mtwara), kusiwe na uboreshwaji wa Bandari zingine, mathalani Bandari za Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mtwara zibaki kama zilivyo kitu kinachohatarisha ukuaji wake na kwa namna yoyote ile zingekufa kifo cha asili.

3) Eneo lote la ujenzi wa viwanda na mji wa kisasa wachina walihitaji umiliki wa hati kwa zaidi ya miaka 33 (zaidi ya miongo mitatu). Mbaya zaidi walihitaji kama Faida yao itakuwa haijapatikana kwa miaka 33 basi hata kwa miaka 99 wangeweza kuendelea kumiliki na kukusanya kodi.

4) Wachina walihitaji pia wawe wasajili, wasimamizi wa viwanda vyote vitakavyowekezwa eneo hilo sanjari na ukusanyaji wa kodi zote zitakazolipwa eneo huska.

Sintofahamu inaongezeka pale ambapo, ni wachina hao hao ambao wangetumika kutoa tafsiri ya kimahesabu kuhusu faida au hasara kutokana na 100% ya kumiliki au kuratibu mchakato mzima wa mapato katika eneo hilo. Hapa nalazimika kukumbuka usemi wa kiratini, "Quis Custodient, Ipsos Custodes?" Kwa tafsiri isiyo rasmi ni, "Who watches the watchers?" Au "Nani atawalinda walinzi wetu," ilihali wenye mali tumewekwa kando na wageni wamepewa fursa ya kufanya wanavyotaka.

Katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi kwa namna yoyote ile lazima wachina wangetuchakachua ili watuvune vya kutosha. Maana wao ndio wangekuwa walinzi wa 100% wa mapato yanayoingia na hata kampuni za ukaguzi ili ionekane wamepata hasara ili kupata tiketi ya kuongezewa muda wa kumiliki na kukusanya mapato.

Aina hii ya makubaliano kandamizi ndio imepelekea Bandari ya Hambantota, Sri Lanka kuchukuliwa na kumilikiwa na China kwa 99%. Pia Uwanja wa Ndege wa Mattala Rajapaksa, Sri Lanka kumilikiwa na China kwa 70%. Ikiwa ni zao la kushindwa kulipa mikopo iliyotegwa katika mtego wa falsafa za "Quis Custodient, Ipsos Custodes."

Rejea andiko lililoandikwa na Institute for Security Studies Africa mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy."

Aidha, rejea andiko ambalo liliandikwa na The Diplomat mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Sri Lanka's Debt and China's Money," sanjari na andiko la mwaka 2018 lenye kichwa cha habari, "Does Debt Pay? China and the Politics of Investment in Sri Lanka."

Nawiwa kuwaomba watanzania wenzangu kuyatafta maarifa ambayo yamefichwa katika Vitabu au maandishi ili kubaini propaganda zinazofanywa na baadhi ya watu kutetea mradi wa Bagamoyo uendelee kwa maslahi binafsi paspo kuutizama ukweli kwa maslahi mapana ya taifa.

Aidha, niipongeze serikali ya awamu ya 5 kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi. Hii ni zaidi ya tafakuri tunduizi ya kukataa makubaliano yanayotweza utu wa Taifa letu, kupoka Uhuru wa nchi na kuweka rehani uchumi wa nchi yetu kwa faida ya China.
Kiukweli Magufuli tutamkubuka,hizi mbuzi zinataka kututoa kafara,ipo vipi tutageuka Somalia kama huu upumbuvu wa hivi utafanyika. Sometimes bora kuendeshwa na Jeshi tu.
 
Maana tunasikia ni Mchina tu mara atachukua ardhi/ bandari wakati nasikia pia kuna hao wa Oman pia wanaweka pesa yao sasa mbona kelele kwa m China tu

Kama ulivyo shauri utafutwe ukweli na hiyo mikataba iwekwe wazi mwisho wa siku kama Taifa tutaona tuingie au la
Yawezekana mkataba ulisainiwa na fedha za awali zilitolewa

Wa kuulizwa hapo ni AG na waziri wa Sheria wa awamu ya 4
 
Bandari ya Bagamoyo haitajengwa na wachina kwa mkopo.

Wanajenga mali yao wenyewe.

Mali ya china ndani ya tanzania kwa miaka 99.

Hakuna mtanzania ataruhusiwa kuingia pale kufanya lolote pale mbeganizhou ya Bagamoyo.

Nilichogundua huo mradi wa bandari ya Bagamoyo ni do or die project kwa wachina na serikali yao hakuna nchi yeyote inaweza kubali mkataba wa ajabu na wa kitapeli wa kutoa ardhi yake nzuri na kubwa kiasi kile iwe mali ya china ni tanzania pekee.

Kwa hiyo wachina watafanya lolote linalowezekana kihakikisha mradi huo wa kijambazi unafanikiwa.

Swali la kizushi makada, hivi kabla ya bagamoyo kuwa china itapigwa kura bungeni kupitisha au? Taratiibu zikoje? Najiuliza kama ni hivyo je wakipitisha hilo wabunge watakuwa wamewatendea haki wananchi? Kiasi cha kurudi kifua mbele 2025 kuomba kura?

Je, Chama kina msimamo gani juu ya hii biashara kichaa?


View attachment 1749463
We Ngaliwe naona umeanzisha mradi wako wa upotoshaji kwenye jukwaa hili.

Kila wakati unaanzisha thread za kupotosha tu!

Bahati nzuri,uongo huwa haudumu. Ukweli kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo utajulikana tu. Na wewe na wapotoshaji wenzio mtapata aibu kubwa!
 
Nimeliokota hili andiko sehemu limetupwa;

Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulisitishwa kufuatia majadiliano yenye tija yaliyofanywa mwaka 2018. Serikali ilibaini masharti magumu yanayoweka rehani uchumi wa nchi na kuhatarisha uhuru wa nchi yetu. Kwa mantiki hii wajuvi wa mambo katika mimbali za "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" watang'amua na kuunga mkono zuio hilo la serikali.

Kupitia majadiliano hayo yaliyojikita katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi, serikali ilibaini baadhi ya masharti yafuatayo ambao ni hatarishi kwa uchumi wetu;

1) Wachina walihitaji kuendesha Bandari hiyo baada ya ujenzi bila kuingiliwa, jukumu la kupanga bei liwe mikononi mwao.

2) Pia ukanda huo wa Bandari ya Bagamoyo (Tanga-Mtwara), kusiwe na uboreshwaji wa Bandari zingine, mathalani Bandari za Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mtwara zibaki kama zilivyo kitu kinachohatarisha ukuaji wake na kwa namna yoyote ile zingekufa kifo cha asili.

3) Eneo lote la ujenzi wa viwanda na mji wa kisasa wachina walihitaji umiliki wa hati kwa zaidi ya miaka 33 (zaidi ya miongo mitatu). Mbaya zaidi walihitaji kama Faida yao itakuwa haijapatikana kwa miaka 33 basi hata kwa miaka 99 wangeweza kuendelea kumiliki na kukusanya kodi.

4) Wachina walihitaji pia wawe wasajili, wasimamizi wa viwanda vyote vitakavyowekezwa eneo hilo sanjari na ukusanyaji wa kodi zote zitakazolipwa eneo huska.

Sintofahamu inaongezeka pale ambapo, ni wachina hao hao ambao wangetumika kutoa tafsiri ya kimahesabu kuhusu faida au hasara kutokana na 100% ya kumiliki au kuratibu mchakato mzima wa mapato katika eneo hilo. Hapa nalazimika kukumbuka usemi wa kiratini, "Quis Custodient, Ipsos Custodes?" Kwa tafsiri isiyo rasmi ni, "Who watches the watchers?" Au "Nani atawalinda walinzi wetu," ilihali wenye mali tumewekwa kando na wageni wamepewa fursa ya kufanya wanavyotaka.

Katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi kwa namna yoyote ile lazima wachina wangetuchakachua ili watuvune vya kutosha. Maana wao ndio wangekuwa walinzi wa 100% wa mapato yanayoingia na hata kampuni za ukaguzi ili ionekane wamepata hasara ili kupata tiketi ya kuongezewa muda wa kumiliki na kukusanya mapato.

Aina hii ya makubaliano kandamizi ndio imepelekea Bandari ya Hambantota, Sri Lanka kuchukuliwa na kumilikiwa na China kwa 99%. Pia Uwanja wa Ndege wa Mattala Rajapaksa, Sri Lanka kumilikiwa na China kwa 70%. Ikiwa ni zao la kushindwa kulipa mikopo iliyotegwa katika mtego wa falsafa za "Quis Custodient, Ipsos Custodes."

Rejea andiko lililoandikwa na Institute for Security Studies Africa mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy."

Aidha, rejea andiko ambalo liliandikwa na The Diplomat mwaka 2017 lenye kichwa cha habari, "Sri Lanka's Debt and China's Money," sanjari na andiko la mwaka 2018 lenye kichwa cha habari, "Does Debt Pay? China and the Politics of Investment in Sri Lanka."

Nawiwa kuwaomba watanzania wenzangu kuyatafta maarifa ambayo yamefichwa katika Vitabu au maandishi ili kubaini propaganda zinazofanywa na baadhi ya watu kutetea mradi wa Bagamoyo uendelee kwa maslahi binafsi paspo kuutizama ukweli kwa maslahi mapana ya taifa.

Aidha, niipongeze serikali ya awamu ya 5 kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika viunga vya ujasusi wa kidola na kiuchumi. Hii ni zaidi ya tafakuri tunduizi ya kukataa makubaliano yanayotweza utu wa Taifa letu, kupoka Uhuru wa nchi na kuweka rehani uchumi wa nchi yetu kwa faida ya China.
Unalipwa hela ngapi kuleta haya mauongo yako hapa?

Umejaza hoja za uongo kila mahali!

Ndio maana hilo andiko lako lilikuwa limetupwa,halina thamani yoyote! Ni takataka kabisa!
 
Hakuna shaka yoyote Wewe ni Mangungo wa Msovero, watu wote wangekuwa na akili yako wwe ungezaliwa si ungekuta nchi yote imegawanywa kuwa maeneo ya nchi zingine!

Hii Tanzania leo hii ingekuwa kila sehemu inamilikiwa na nchi nyingine na kuingia eneo hilo lazima uwe na Visa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acheni ujinga wa kuwaza leo leo!!
Wewe ndiye mjinga!

Watu wanaojitambua hawawezi kupinga mradi wenye manufaa makubwa ya kiuchumi kwa nchi kama Bandari ya Bagamoyo kwa sababu ya chuki binafsi na faida za kisiasa.

Mradi ule unahusisha bandari kubwa ya kisasa yenye kufungamana na industrial parks kibao na hivyo kuifanya Tanzania kuwa lango juu la nchi zaidi ya nane za Afrika.

Mradi huo ungejengwa na wachina/waarabu wa Oman kwa gharama ya dola bilioni 10 kwa utaratibu wa concession hivyo serikali haitumii hata thumuni ya mlipa kodi. Siyo mkopo. Wanaendesha bandari kwa kipindi tutakachokubaliana huku wakichukua port charges kisha wanakabidhi kwa serikali.

Mbona hata Bandari ya Dar inaendeshwa kwa utaratibu huo na TICTS ya akina Karamagi?

Hebu acheni figisu zenu nyinyi wazalendo uchwala mnaosumbuliwa na ajenda zenu za siri! Badala ya kujadili hoja mmekalia kujadili na kuchafua watu.
 
Propaganda za Kupinga Maendeleo ni kubwa sana.

Wachina ni washirika wetu wakubwa, tumeshirikiana nao katika kila sekta kuanzia Jeshini, Elimu, Afya na Kisiasa.

Mradi ungekuwa Chato au kanda ya Ziwa ungefanywa haraka sana. Kuzuia 2016 mara 2018 unaruuhusu ujengwe baadae 2019 kigeugeu tena unazuia. Hiyo ni kuonyesha maslahi ya Sukuma Gang yalibinywa.

Miaka 33 au 66 ama 99 ndio Sheria ya Ardhi ya Tanzania Lease ndio muda wake, Propaganda kuwafanya Watanzania ambao tumewanyima kumiliki ardhi waone kama vile wameibiwa.

Watanzania wanataka Ajira, wanataka biashara wanataka kusonga kwa speed sio kutuletea sera za Magufuli za wakati wa Vita Baridi

Never and Never again
Umenena vyema!

Unawatukana wachina wakati hata pesa za kujenga Tazara na Urafiki hatujawalipa! Hawa watu wanaowaza kizamanizamani sijui wametoka wapi nchi hii?

Hawa wachina mnaowatukana ndio wabia wakubwa hata kwenye mradi wa bomba la mafuta uliosainiwa jana kule Uganda!
 
Mwenye hilo Bunge kafa kamuachia Ndugai sasa hao Wachina wanahangaika nini Wamuhonge Ndugai kitita kinono ili mgogo akafe kwa kula starehe

Ubinafsi wa KiCCM ndio umetufikisha hapa

Hata Mama akikomaa atashinikizwa
Huna pa kushika sasa umekata tamaa
 
Mikataba ya Acccia na Barrick ilianzishwa Magufuli hakuwa Rais, alipokuja iliirekebisha yote na fedha zilizoibwa na makampuni hayo kwa miaka yote zilirudishwa. Magufululi alikuwa Jasiri na Mjanja kwenye uongozi wake, Mikataba yote mibovu ambayo haina maslahi na hatari kwa usalama wa nchi na Uchumi wa nchi ulisimamishwa usiendelee tena kama huu Mkataba mbovu wa Bandari ya Bagamoyo. ikiwezekana mkataba huo wa Bandari ya Bagamoyo uundiwe Tume ya wanasheria upitiwe upya na kama kuna sintofahamu za kisheria ziondolewe na kuandikwa upya ili ujenzi uendelee kwa miaka ijayo.
Wachina hawapo tayari kwa hilo,wanataka watekeleze kama ulivyo
 
Back
Top Bottom