Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Montenegro wana deni la 1$bl ambalo waliingia na wa China na wameshindwa kulilipa. Wanalazimika kulipa ardhi yao yenye thamani hiyo🤔!
Eti hatuna uwezo wa kuijenga bandari hiyo hivyo tuwaite waje kutujengea kwa masharti yao, mfyuuuuuu 😡! Yaani yaliyoitokea Zambia hayajawashtua, haya ona ya Montenegro nako!

Kama nchi yetu haina uwezo wa kuijenga bandari yenyewe basi kwa sasa hatuihitaji hiyo bandari! Tutakapoihitaji tutaijenga wenyewe bila kutegemea mjomba fake😡!
 
Eti hatuna uwezo wa kuijenga bandari hiyo hivyo tuwaite waje kutujengea kwa masharti yao, mfyuuuuuu 😡! Yaani yalitokea Zambia hayajawashtua, haya ona ya Montenegro nako!
Kama nchi yetu haina uwezo wa kuijenga bandari yenyewe basi kwa sasa hatuihitaji hiyo bandari! Tutakapoihitaji tutaijenga wenyewe bila kutegemea mjomba fake😡!
mkuu, wewe ni wakiume alafu unasonya !!!!!!
anyway , emu tulia uandike vizuri kesho, sasa ni saa saba na nusu usiku, pumzika utaandika asubuhi
 
mkuu, wewe ni wakiume alafu unasonya !!!!!!
anyway , emu tulia uandike vizuri kesho, sasa ni saa saba na nusu usiku, pumzika utaandika asubuhi
Mkuu kwani wanaume huwa hawasonyi eeh? Basi ww hijawahi kukutana na babu yangu I see😂🤣😂!
 
Mkiambiwa ukweli mnakimbia ; nia yenu ni kuliingiza Taifa kwenye madeni yasiyolipika mkijua nyie wengine mna maradhi sugu kwahiyo hamtakuwepo ,ndio maana mnang'ang'ania mchukue mkopo ili mjenge hiyo bandali Bagamoyo ingawa haina umuhimu wowote kwa sasa!!
 
Mkiambiwa ukweli mnakimbia ; nia yenu ni kuliingiza Taifa kwenye madeni yasiyolipika mkijua nyie wengine mna maradhi sugu kwahiyo hamtakuwepo ,ndio maana mnang'ang'ania mchukue mkopo ili mjenge hiyo bandali Bagamoyo ingawa haina umuhimu wowote kwa sasa!!
sijui kidole sijui india mara kansa yaan ni shiiiiiiiiiiiiiiida
 
Zito ndo yule aliyesemwa amehusika na mifwedha ya wafanyakazi kule NSSF, kolabo na akina Dau? Ndo yule aliyetumia PAC kujinenepesha kama watwana walivyotetesisha?

Ndugai yupi? Yule waliyesema amejinamna gani kule India, waliotetesisha, walisema eti amepiga bila huruma?

Esther yupi? Yule wanayesema ni mgombea binafsi?

Mama amesema hatabinya uhuru wa kusema ovyo, nadhani hii itakuwa na maana kuwa kutakuwa na UWAZI pia, potelea mbali kama ukweli utakuwepo au la. Hivyo ondoa shaka, MKATABA utawekwa hadharanj kila mtu ajisomee na aelewe kwa uelewa wake, jukumu la kuupitisha ni la chama na serikali, tusubiri tuone kama mkataba huo utakuwa na USAFI wa kiasi cha kuwekwa hadharani.

Ndoto ilikuwa ya kutisha sana hiyo.
 
Swala la mradi wa bagamoyo mtu alieona mkataba huo ni Rais Magufuli tu, na huyu mtu alikua na sifa tatu kuu "MUONGO, MSIRI NA FISADI".

Hii DNA ameiacha mpaka kwa baadhi ya wateule wake waliobakia madarakani. Mmoja wao ni Waziri Mkuu (Ambaye tunatakiwa kumwanzishia amsha amsha mitandaoni AJIUZULU).

Swala la mradi wa bandari ya bagamoyo hao wote mliowataja hapo (Kina Zitto, Prof Assad na wengine - wamesema wazi hawajaona FEASABILITY STUDY YA HUO MRADI, na wanaomba iwekwe wazi kwa wananchi wajionee kama ni kweli Mkataba ni wa miaka 99).

Serikali ya Rais Magufuli ilikua hasikilizi ushauri, iliendekeza uongo/ufisadi/propaganda/uonevu na ndio maana haikuwa wazi kiutendaji:

Mfano,

Kutokana na Mkaguzi & Mdhibiti Wa Hesabu Za Serikali (CAG Kicheere) Ndege zilizopo zimeingiza hasara ya Sh. Billioni 60, wanaona hio hasara haitoshi wameamua kuongeza ndege pengine hasara ifikie hata Sh Billioni 100.

CAG Mstaafu Prof Assad alisema "Shirika la ATCL linadaiwa madeni mengi sana na alifanya kuishauri serikali shirika hilo la ndege ATCL lifilisiwe kwanza kimahakama ili madeni yalipwe hela kidogo itakayo patikana ili hayo madeni yafe (Kwa kuuza majengo wawili ilionayo), au lasivyo wanaodai watakamata ndege zikinunuliwa, likifilisiwa kimahakama halafu wafungue shirika la ndege jipya ndio wanunue ndege nyingine mypa, na wasinunue kwa hela cash".

Kuchamba kwingi na kujifanya wajuaji, wameamua kununua ndege nyingine 3 wakati wameambiwa kwamba shirika linaendeshwa kwa hasara, hii haihitaji hata elimu ya darasa la saba kufahamu, halafu kuna mpuuzi anasimama bungeni anasema eti kuboresha usafiri wa anga.

SWALI KWA WAZIRI MKUU:

1) Huko ni kuboresha usafiri wa anga au kuboresha hasara ya taifa likuwe zaidi???

2) Ndio tuseme bado anatuona watanzania "MAJUHA/WAPUMBAVU/WAJINGA" kuendelea kutudanganya kwamba wanaboresha usafiri wa anga wakati shirika ni marehemu mtarajiwa???

3) Kununua hizo ndege 3 mpya ni kujitoa ufahamu ili "KUMKWAMISHA NA KUMHUJUMU" Rais Samia ili aonekane yeye ndio hakujali mahesabu ya CAG na kuendelea kuingia kichwa kichwa kumunua ndege au vipi???

#WaziriMkuu-AJIUZULU.

#MamaSamia VUNJA BARAZA LA MAWAZIRI LOTE (Wanakuhujumu).
 
Nimemsikia Zitto, Easter matiku, Ndugai na wengine wengi wakuzungumzia mradi wa bandari ya Bagamoyo. Ninapopata ukakasi juu uwezo wa Hawa ni pale nimebaini hakuna mmoja Kati yao mwenye mkataba au aliyewahi kuuona na kuusoma akajua uzuri na ubaya wake. JPM aliusoma mkataba ule, Mama Samia anaweza akausoma ule mkataba,lakini haitatokea kwa bunge tulilonalo Ndugai Kama Spika akauona mkataba huo...
Hatarudi tena.
 
Ziti hana mkataba, Matiku hana huo mkataba walau Spika yeye walimfanyia presentation na akayaona mameli makubwa kama viwanja vitatu vya mpira.

Hapa tunakoelekea ni kupigwa changa la macho, yaani tunauziwa mche wa sabuni ndani ya kasha la simu.
 
Ziti hana mkataba, Matiku hana huo mkataba walau Spika yeye walimfanyia presentation na akayaona mameli makubwa kama viwanja vitatu vya mpira.

Hapa tunakoelekea ni kupigwa changa la macho, yaani tunauziwa mche wa sabuni ndani ya kasha la simu.
Spika hajauona wala zitto hajauona lakini wewe umeuona na kujiridhisha kwamba tutapigwa si ndio maana yake?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom