Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Ndio.Spika hajauona wala zitto hajauona lakini wewe umeuona na kujiridhisha kwamba tutapigwa si ndio maana yake?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.Spika hajauona wala zitto hajauona lakini wewe umeuona na kujiridhisha kwamba tutapigwa si ndio maana yake?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unateseka bandari kuwa Dar...!?tafakari kwa kina...
Kwahiyo unateseka bandari kuwa Dar...!?tafakari kwa kina...
Huu ni mkopo bagamoyo port sio mkopo ni uwekezaji na ulisanifiwa 2004 wakati wa utawala wa hayati MkapaMontenegro wana deni la 1$bl ambalo waliingia na wa China na wameshindwa kulilipa. Wanalazimika kulipa ardhi yao yenye thamani hiyo[emoji848]!
mkuu, wewe ni wakiume alafu unasonya !!!!!!
anyway , emu tulia uandike vizuri kesho, sasa ni saa saba na nusu usiku, pumzika utaandika asubuhi
Hakuna serikali yoyote duniani ambayo inaweka mkataba wazi inayoingia na nchi nyingine. Mtasubiri sana.Makubaliano yao unayajua?
Ndio maana tunataka mkataba wa bandari ya bagamoyo iwekwe wazi ili Wananchi wajiridhiishe kwanza.
Vinginevyo ni porojo tu.
Then kwa miaka 70 hiyo watakuwa wanalipa kodi? Na kama ni hivyo kodi kiasi gani?Ujenzi wa bandari ya bagamoyo umejaa uhuni wa kutisha.
Kulingana na mkataba, wachina walitaka kuingia makubaliano ya kujenga miundombinu yote ya bandari kwa gharama zao...
binti acha kufyonya ovyo.Eti hatuna uwezo wa kuijenga bandari hiyo hivyo tuwaite waje kutujengea kwa masharti yao, mfyuuuuuu [emoji35]! Yaani yaliyoitokea Zambia hayajawashtua, haya ona ya Montenegro nako!
Kama nchi yetu haina uwezo wa kuijenga bandari yenyewe basi kwa sasa hatuihitaji hiyo bandari! Tutakapoihitaji tutaijenga wenyewe bila kutegemea mjomba fake[emoji35]!
mchina hajawahi kuwa rafiki wa mazingira. atapavuruga hapo mpaka anakukabidhi unakuta bandari kama stoo ya chuma chakavu.Alafu bandari itakuwa imezeeka hahahahahahahaha
Kabisamchina hajawahi kuwa rafiki wa mazingira. atapavuruga hapo mpaka anakukabidhi unakuta bandari kama stoo ya chuma chakavu.
Magufuli alishasema mkataba huo ni labda mtu asiyejielewa ndiyo anaweza kuuingiaRais Magufuli aliukataa uhuni kwa niaba ya watanzania. Ametangulia mbele ya haki ni jukumu letu watanzania kuchukua lindo la rasilimali zetu.
Mataga kazi mnayo ila mnasahau kuwa tayari mama Samia ndiye rais wa JMT na hakuna mjadala.Ujenzi wa bandari ya bagamoyo umejaa uhuni wa kutisha.
Kulingana na mkataba, wachina walitaka kuingia makubaliano ya kujenga miundombinu yote ya bandari kwa gharama zao...
Huu uhuni hatuutaki kwetuUjenzi wa bandari ya bagamoyo umejaa uhuni wa kutisha.
Kulingana na mkataba, wachina walitaka kuingia makubaliano ya kujenga miundombinu yote ya bandari kwa gharama zao...