Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndiyo yale yaliyosemwa na Marehemu?

Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndiyo yale yaliyosemwa na Marehemu?

Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Gesi ni ya kwetu Ndo mana hata saivi Makampuni yanakuja kufanya mazungumzo ili kuwekeza kiwanda cha kuchakata geti! Kama isingekuwa ya kwetu wasingefanya mazungumzo na sie na wangeenda kufanya mazungumzo na hao waliouziwa

Bandari ya Bagamoyo nayo ni ya kwetu na haijauzwa! Kama imeshauzwa kwa nini watu waje kufanya makubaliano na sie tena au majadiliano na sie tena?
 
Hebu punguza kiherehere, umejigeuza msemaji wa kila kiongozi humu ndani.

Hao whistleblowers wa Wikileaks au Panama ni majini wajue kila kitu?
Kiherere gani?
Mie sio mjinga Kama wewe unaeaminishwa nadharia zinazotengenezwa na watu humu kwa chuki zao binafsi na mambo ya kufikirika tu!

Kama una ushahidi na wewe weka hapa sio kuongea maneno Matupu tu!
 
Nnakumbuka tu alisema nimesikia watu wanazoza wanazoza kuhusu escrow kwamba ni za serikali au sio za serikali....wote tunajua kilichofuatia na kinachoendelea.

Mambo mengine magumu sana kuyaelewa.
 
Gesi ni ya kwetu Ndo mana hata saivi Makampuni yanakuja kufanya mazungumzo ili kuwekeza kiwanda cha kuchakata geti! Kama isingekuwa ya kwetu wasingefanya mazungumzo na sie na wangeenda kufanya mazungumzo na hao waliouziwa

Bandari ya Bagamoyo nayo ni ya kwetu na haijauzwa! Kama imeshauzwa kwa nini watu waje kufanya makubaliano na sie tena au majadiliano na sie tena?
Umejibu kwa mbwembwe tu. Majibu ya uhakika yanaeleweka ndugu yangu.

Unajibu afu unaniuliza maswali mimi unazania nitayatoa wapi majibu?

Tulia;Subiri jibu.
 
Nnakumbuka tu alisema nimesikia watu wanazoza wanazoza kuhusu escrow kwamba ni za serikali au sio za serikali....wote tunajua kilichofuatia na kinachoendelea.

Mambo mengine magumu sana kuyaelewa.
Balaaa Zitooo. Tunapigwa na kitu kizito kichwani.
 
Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Nakukumbusha tu kuwa lile Bomba la Gas lilifika kinyerezi linatakiwa kuishia Bagamoyo kwaiyo utajiongeza mweyewe nini kitaenda kutokea huko mbele ujenzi wa Bandari ukikamilika.
 
Umejibu kwa mbwembwe tu. Majibu ya uhakika yanaeleweka ndugu yangu.

Unajibu afu unaniuliza maswali mimi unazania nitayatoa wapi majibu?

Tulia;Subiri jibu.
Majibu gani ya uhakika?

Hayo majungu yenu na nadharia zenu chato gang?
 
Nakukumbusha tu kuwa lile Bomba la Gas lilifika kinyerezi linatakiwa kuishia Bagamoyo kwaiyo utajiongeza mweyewe nini kitaenda kutokea huko mbele ujenzi wa Bandari ukikamilika.
Weka ushahidi kuwa lilitakiwa kuishia Bagamoyo
 
Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Kwanini umeuliza maswali Tata hivo gesi ya mtwara imeuzwa what is the source of your question
 
Endelea kuamini mawazo na chuki za watu ambao kwao wanaua vikongwe kwa sababu wana macho mekundu Kwa kaamini kuwa ni wachawi!

Labda kama na wewe ni mmoja wapo kama mwenzako Suzy Elias maana ndo Naona mmeanzisha id mpya humu Kwa mikakati yenu ya kutengeneza nadharia na matango Pori kuwadanganya watu kwa chuki zenu tu!

Wewe Kikwete auze Gesi au Eneo la Bagamoyo alafu na Whistleblowers wa WikiLeaks au Panama papers huko wasione au kusema popote?
Swala la kuuzwa kwa Gas ya Mtwara ata Dr Slaa aliwahi kulizungumza miaka mingi iliyopita na ata hivo tunapata picha nini kitaenda kutokea maana Bomba la Gas lililotoka Mtwara mpaka Kinyerezi linatakiwa kuishia Bagamoyo.
 
Swala la kuuzwa kwa Gas ya Mtwara ata Dr Slaa aliwahi kulizungumza miaka mingi iliyopita na ata hivo tunapata picha nini kitaenda kutokea maana Bomba la Gas lililotoka Mtwara mpaka Kinyerezi linatakiwa kuishia Bagamoyo.
Kwa iyo Dr Slaa akizungumza wewe ndo ushahidi wako ?🤣🤣🤣

Kweli aliyewaita nyie majamaa ni misukule na washamba hakukosea 🤣🤣🤣
 
Hio sio kazi yangu mzee! Kazi za mahakama ndio ku prove kama una muda peleka shauri mahakamani watakuonesha ilivyokuwa!
[emoji3] [emoji3] Mahakaman watanioneshaje ilivo kuwa wakati hakujawai kuwa na case ya Richmond kwene mahakama zetu... Ww ndo umeongea so tuambie alipigaje hela za Richmond au alihusikaje
 
Nimeshakueleza we peleka shauri mahakamani upelelezi utafanyika na majibu utapewa sasa unanilazimisha mie nikupe maelezo mie afisa upelelezi ama? Au naonekana kama Kisutu?
[emoji3] [emoji3] Mahakaman watanioneshaje ilivo kuwa wakati hakujawai kuwa na case ya Richmond kwene mahakama zetu... Ww ndo umeongea so tuambie alipigaje hela za Richmond au alihusikaje
 
Nimeshakueleza we peleka shauri mahakamani upelelezi utafanyika na majibu utapewa sasa unanilazimisha mie nikupe maelezo mie afisa upelelezi ama? Au naonekana kama Kisutu?
Nipeleke shauri wakati sijui chchte kuhusu kama kikwete alikula hela za Richmond wala Sina ushahidi wowote.... Kwann usipeleke wewe uliesema alikula hela za richmond[emoji3][emoji3] wa bongo mnapenda ramli hapo ukute hujui lolote na ww story tu za vijiweni ila unavoongea utadhani mligawana na kikwete hizo hela
 
Back
Top Bottom