Bandari ya Dar iko bizee balaa meli ni nyingi nyingi

Bandari ya Dar iko bizee balaa meli ni nyingi nyingi

Ukipita maeneo ya lango kuu la nchi yetu maeneo ya bandari hali sio hali, yaani ni shughuli mwanzo mwisho pamoja na mamlaka husika kufanya kazi usiku na mchana, meli ni nyingi hakuna mfano,yaani bandari yetu iko bize balaa, chombo kinaingia, huku kuna kingine kinatoka kingine kinapakia mzigo kingine kinashusha.

In short bandari yetu iko bizee balaa meli ni nyingi nyingi. Ndio maana ni vigumu kuwaona wale jamaa ambao miaka miwili iliyopita walikuwa wanaleta takwimu za meli hapa kila siku.

Mpaka ninaingia mitamboni hapa kuna vyombo kadhaa vinapkuwa cargo vikiwemo EURO SPIRIT na COSCO SHIPPING na kwa mbaaaalii naziona meli kadhaa zikiwa parking zinasubiri foleni.

Kweli maendeleo hayana chama, Mungu ibariki Tanzania.
Unataka kutulisha hyo sumu uliyoisaga
 
Nimepita hapo Jana, sio kweli kama unavyosema. Meli ni chache ukilinganisha na kipindi Cha nyuma ambapo meli za mizigo (Container ships) na zile zinazobeba magari (Roll on- roll of freights/ships- Roro+) zilikuwa haziachani
Mimi naziona hapo,sasa hivi. Wewe jana umeona meli ngapi?
 
Ukipita maeneo ya lango kuu la nchi yetu maeneo ya bandari hali sio hali, yaani ni shughuli mwanzo mwisho pamoja na mamlaka husika kufanya kazi usiku na mchana, meli ni nyingi hakuna mfano,yaani bandari yetu iko bize balaa, chombo kinaingia, huku kuna kingine kinatoka kingine kinapakia mzigo kingine kinashusha.

In short bandari yetu iko bizee balaa meli ni nyingi nyingi. Ndio maana ni vigumu kuwaona wale jamaa ambao miaka miwili iliyopita walikuwa wanaleta takwimu za meli hapa kila siku.

Mpaka ninaingia mitamboni hapa kuna vyombo kadhaa vinapkuwa cargo vikiwemo EURO SPIRIT na COSCO SHIPPING na kwa mbaaaalii naziona meli kadhaa zikiwa parking zinasubiri foleni.

Kweli maendeleo hayana chama, Mungu ibariki Tanzania.
Mimi ningefurahi sana kama ungetuambia meli zinapakia kwa wingi sana bidhaa zetu bora kwenda nje ya bara letu.
Kwa maaana kwa kukushusha bidhaa za nje kuingia ndani pesa yetu inapungua thamani na kuzorotesha uchumi wetu,.....kazi IPO sana
Ila IPO siku itakuwa viceversa
 
Hata sisi tumepishana na "SARATOGA" muda sio mrefu uliopita.
Iko biize sana.
 
Mimi ningefurahi sana kama ungetuambia meli zinapakia kwa wingi sana bidhaa zetu bora kwenda nje ya bara letu.
Kwa maaana kwa kukushusha bidhaa za nje kuingia ndani pesa yetu inapungua thamani na kuzorotesha uchumi wetu,.....kazi IPO sana
Ila IPO siku itakuwa viceversa
vp kama mizigo inaenda Kongo, Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia nk mkuu?
 
Back
Top Bottom