Bandari ya Mombasa

Bandari ya Mombasa

nafurahi mnavyoleta hivi vitu kwasababu mnamfanya magufuli achanganyikiwe afanye kazi kwa moyo wote, atawashughulikia tu kuna siku hamtaamini.

Kwa nini atishughulikie? Kila mtu na development agenda ya kwake. Msifanye eti kwa kuwa Kenya imefanya?
 
Ujenzi wa barabara ya bandari bado unaendelea.........

DbiCEGuW4AAlgIt.jpg


DbiCJyGWkAE--uI.jpg


DbiCEGjWkAEMmSN.jpg
so is our Terminal III that unfortunately rainwater went to terminal II! and fools are celebrating
 
naona kuna floods

Mafuriko yako nchi nyingi sana. Hizo ni natural disasters ambazo haziezi kuepukwa. Hata nchi zilizoendelea hawawezi kukumbana nazo. Nchi haitaweza kusema hawajengi sababu mafuriko huja, ama tornado, ama tetemko la ardhi ama hurricanes. Ujenzi lazima uendelee so sikuelewa pointi yako hasa ni nini. Hata tukijenga mitaro ya maji bado mama nature akiamua kunyesha bila kusimama bado mafuriko yatakuwa. Tupende tusipende.
 
May 27th 2018
Offloading of the newly acquired Rail Mounted Gantry Cranes (RMGs) which were received at the Port of Mombasa.

33694314_2704080989634304_4718232427485462528_o.jpg



33720421_2704081006300969_8539557322857381888_o.jpg



33769006_2704081162967620_7377329100861472768_o.jpg


33676919_2704081276300942_7619550631992229888_o.jpg
 
June 3rd 2018
The Port of Mombasa has received four new eco hoppers supplied by a UK based company Samson Materials Handling.

34195446_2715245955184474_659162061279854592_o.jpg


34193732_2715245991851137_7495849913100533760_o.jpg


34258971_2715246018517801_5239633571659907072_o.jpg
 
Back
Top Bottom