Abubakari Mussa
Senior Member
- Mar 26, 2020
- 129
- 188
SijajuaDP world vipi tena!? Mbona mie nilipata sifa zao nzuri nzuri. Au wanahujumiwa!?
Serekare kuna muda Inazingua kinoumaaaaa
Wd acha tuInakuwaje raisi anafanya maamuzi ya vizazi vitatu vijavyo miaka 30 kwa nn isiwe miaka mitano kama zanzibar yaani kwamba unawaamulia watu kitu cha the next 30 years to come.