Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
- Thread starter
-
- #61
Hebu nitumieSio router ni ki decoder
Kama ni demu nitatuma ndume situmiiimzabzab njoo utume hela ya bando huku
Njoo nikupe hela ya bando mtoto mzuri unakosaje mwanaume wakukupa hela ya bandoWadau mnatumia nn Kwa matumizi ya bando maana bando lote baada ya masaa shwaa eh ๐๐พ adi kero
Hawapo watu wa maana ๐นNjoo nikupe hela ya bando mtoto mzuri unakosaje mwanaume wakukupa hela ya bando
Njoo kwangu...mie utaenjoy tuuHawapo watu wa maana ๐น
Asiweke tupo mfungoni tusije tukajibinya bure tukaharibu mfungo!Weka video na picha kwa faida ya members...
Njoo nikuuzie bando za halotel kwa bei nafuu, kuanzia GB10Wadau mnatumia nn Kwa matumizi ya bando maana bando lote baada ya masaa shwaa eh ๐๐พ adi kero
M sio mchaggaNjoo kwangu...mie utaenjoy tuu
M sioNjoo kwangu...mie utaenjoy tuu
Nishaunga nazina ishaNjoo nikuuzie bando za halotel kwa bei nafuu, kuanzia GB10
Kazi unayoM sio
Nishaunga nazina isha
Kwakweli si ndogoKazi unayo
Gb 10 bei gani.Njoo nikuuzie bando za halotel kwa bei nafuu, kuanzia GB10
10kGb 10 bei gani.
Kuna jamaa alinipa gb 8, wewe una afadhali.
Jaribu kuangalia apps gani zinakula bando sana na ni vipi unaweza kuzidhibiti.Wadau mnatumia nn Kwa matumizi ya bando maana bando lote baada ya masaa shwaa eh ๐๐พ adi kero
Speed yao ni nzuri lakini au miyeyusho?Chukua 10, 000/- tafuta line yenye promo nunua la mwezi.
Mbadala WASILIANA NA TTCL wakufungie nyumbani kwako/ofisini. 55, 000/- kwa mwezi
Wadau mnatumia nn Kwa matumizi ya bando maana bando lote baada ya masaa shwaa eh ๐๐พ adi kero
Tatizo Fiber haijapita kila sehemu.Chukua 10, 000/- tafuta line yenye promo nunua la mwezi.
Mbadala WASILIANA NA TTCL wakufungie nyumbani kwako/ofisini. 55, 000/- kwa mwezi