Bando za data Vodacom zinaisha kwa kasi ya ajabu, tatizo ni nini?

Bando za data Vodacom zinaisha kwa kasi ya ajabu, tatizo ni nini?

mkorinto

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
31,415
Reaction score
38,761
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?

Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu, laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.

Pia soma: Kwa wateja wa Vodacom: Jinsi ya Kupunguza Spidi ya Intaneti ili Bando lisiishe haraka

Hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2, shida ni siku za hivi karibuni. Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha, nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau, au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!
 
Wadau,kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida??

Mimi ni muumini wa X,threed,jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu,ni nadra sana kunikuta instagram,ticktock,au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu,laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2,shida ni siku za hivi karibuni.
Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha,nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau,au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!!!!
Mbna kama hta kwa jrani zake ni hvo hvo tu.....shwaaa shwaaaa shwaaa.....no internet connection
 
Wadau,kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida??

Mimi ni muumini wa X,threed,jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu,ni nadra sana kunikuta instagram,ticktock,au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu,laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2,shida ni siku za hivi karibuni.
Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha,nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau,au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!!!!
Nliwah kuwapigia eatel jamaa akacheka sana. Niliwashushia mitusi mamamae waache ujinga!
 
Wadau,kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida??

Mimi ni muumini wa X,threed,jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu,ni nadra sana kunikuta instagram,ticktock,au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu,laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2,shida ni siku za hivi karibuni.
Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha,nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau,au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!!!!
Mimi nimejiunga 10GB tarehe 26/07 hadi Leo Nina MB 300 afu matumizi yangu ni ya kawaida tu.Kuna ka ukweli
 
Mbna kama hta kwa jrani zake ni hvo hvo tu.....shwaaa shwaaaa shwaaa.....no internet connection
Nina line ya tigo nilisajiri baada ya kushawishiwa ofa,lakini nilipokutana na kisanga cha bando kumwagika ukiwasha data nikarudia voda,nashangaa voda nao wanaelekea walipo tigo.
 
Nliwah kuwapigia eatel jamaa akacheka sana. Niliwashushia mitusi mamamae waache ujinga!
Mimi walinipigia Hawa wa Mysol (Sola za mikopo) katika mazungumzo akanidai Hela yao nikamwambia Hilo limeisha Wala usiwaze midamida naweka mzigo.

Jamaa alicheka sana akasema wee jamaa 😂😂😂
 
Hii ni Ile tumeipenda wenyewe,chaguo letu wenyewe Wacha tuisome namba voda nambari one mtandao unaoongoza Tanzania

Kwenye suala la data hakuna pa kujificha . Voda niliwakimbia mithili ya yule mkimbiaji wa Botswana aliyeshinda medali ya dhahabu kwenye olimpiki .

Basi bhana nikahamia tigo wenyewe wanasema mtandao wa wanafunzi.Nikajua huko Kuna unafuu kuliko nilipotoka.kumbe nimeruka kinyesi nimekanyaga mkojo.

Tigo wala hawakupi taarifa ya kifurushi chako .utasanuka pale utakapoangalia Salio na kuona sign in tigo network

Huko Ttcl nasikia Kuna unafuu ila Sina uhakika.
 
Unapigia huduma kwa wateja anapokea binti anakwambia "hapa ktk screen yetu inaonyesha uliingia ktk internet"

Yaani jibi ambalo halina waredi,utaaram,wala uzingativu na umakini,ni kama kameandikiwa kajibu hilo jibu kakiulizwa na wateja.
Kuna kamoja nakauliza iwaje bundle lang limeisha ghafla wkt nimeunga ucku sa tano na nikalala asubuh naambiwa mb zimeisha et kananambia hapa naona uliingia shazam,Instagram na tiktok kitu ambacho sio kwel 100%
Af kananikazania nakaambia me cjaingia huko et ww umeingia ***** nlikatukana
 
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?

Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu, laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.

Pia soma: Kwa wateja wa Vodacom: Jinsi ya Kupunguza Spidi ya Intaneti ili Bando lisiishe haraka

Hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2, shida ni siku za hivi karibuni. Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha, nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau, au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!
Simu ikiwa 4G tuu ni mwendo wa kuumizana,na hawana la kusema,simu inakuka data peke yake na ni mitandao yote.
 
Back
Top Bottom