Bando za data Vodacom zinaisha kwa kasi ya ajabu, tatizo ni nini?

Bando za data Vodacom zinaisha kwa kasi ya ajabu, tatizo ni nini?

Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?

Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu, laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.

Pia soma: Kwa wateja wa Vodacom: Jinsi ya Kupunguza Spidi ya Intaneti ili Bando lisiishe haraka

Hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2, shida ni siku za hivi karibuni. Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha, nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau, au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!
Labda Kuna app inarun background. Jaribu kuchunguza simu yako kwa umakini
 
Kuanzia jana usiku na leo kutwa nzima hili jambo limetokea kwenye halotel, nimeunga MB 245, nikaingia sofa score kuangalia matokeo ya michezo mbali mbali, dakika 10 MB zikaisha. Zijaperuzi app nyingine yoyote. Nawapotezea kwanza naenda tigo.
 
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?

Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu, laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.

Pia soma: Kwa wateja wa Vodacom: Jinsi ya Kupunguza Spidi ya Intaneti ili Bando lisiishe haraka

Hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2, shida ni siku za hivi karibuni. Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha, nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau, au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!
Hata zilizopo hazifanyikazi
 
Nilifikiria ni mimi peke yangu kumbe hata wengine mna experience the same ,naona labda sababu waziri NI Mpya kwenye wizara Kwa hivyo wanataka advantage ,yaani nilikuwa nikiweka mb zangu Kwa matumizi yangu yakawaida hata siku tano sasa hivi kidogo unatumiwa massage Kwamba umefikia 75% ya matumizi yako hii sio Sawa kabisa naomba service provider chonde chonde mliangalie hili Kwa jicho la tatu tunawamini naomba msituangushe.
 
Nilifikiria ni mimi peke yangu kumbe hata wengine mna experience the same ,naona labda sababu waziri NI Mpya kwenye wizara Kwa hivyo wanataka advantage ,yaani nilikuwa nikiweka mb zangu Kwa matumizi yangu yakawaida hata siku tano sasa hivi kidogo unatumiwa massage Kwamba umefikia 75% ya matumizi yako hii sio Sawa kabisa naomba service provider chonde chonde mliangalie hili Kwa jicho la tatu tunawamini naomba msituangushe.
Duu bora wewe umetumia lugha laini labda watakusikiliza
 
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?

Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu, laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.

Pia soma: Kwa wateja wa Vodacom: Jinsi ya Kupunguza Spidi ya Intaneti ili Bando lisiishe haraka

Hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2, shida ni siku za hivi karibuni. Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha, nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau, au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!
Nenda sehemu ya setting, kisha nenda applications kisha kagua kila app nenda walipoandika data usage zima background data kwa kila app

Sometimes unapoeka bando kuna app zinafyanza data hata kama hujaigusa kwaiyo wewe utasema wamekutapeli kumbe ni mafaili yako tu

Kuna siku nilikuwa nacheki euro kupitia simu nikaweka bando 1GB aisee ile kuplay dk3 bando limeisha nikaenda kuchungulia kwenye data usage ile app ya michezo imefyonza 800mb

Kwaiyo hatuzulumiwi na mitandao ila application nyingi zinafyonza mbs
 
Wadau, kuna yeyote kati yenu pia ameshtuka kwamba speed ya uishaji wa kifurushi cha data mtandao wa vodacom umekuwa una kasi isiyo ya kawaida?

Mimi ni muumini wa X, threed, jamiiforums kwa matumizi ya muda mwingi wa simu, ni nadra sana kunikuta instagram, ticktock, au youtube ikiwa nitakuwa natumia data kwa simu yangu, laah niwepo eneo lenye wifi ya ofisi ama kampuni ndipo huwa naingia huko.

Pia soma: Kwa wateja wa Vodacom: Jinsi ya Kupunguza Spidi ya Intaneti ili Bando lisiishe haraka

Hii imefanya nikiwa na mb 700 naweza vimba nazo hata siku 2, shida ni siku za hivi karibuni. Kwa leo peke yake nimeunga MB 700 mara 3 toka kumekucha, nashangaa sms za umetumia 75% kwa kasi sana.

Sijui kwenu pia wadau, au nawasingizia mtandao wangu pendwa,ambao nao wanataka waanze ubabaishaji kama hao wengine!
Wizi mkubwa sana yaani per day unashangaa 1G inakata kimasihara dawa kususa huu mtandao
 
Back
Top Bottom