BANGBROS kumburuza mahakamani Mia Khalifa kwa Kusema Uongo na Uzushi

BANGBROS kumburuza mahakamani Mia Khalifa kwa Kusema Uongo na Uzushi

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] baba mtumishi naye anapita
Hatari Sana,
Nilimwambia kua ulkua unataka kuingia porn sites ndo maana ikagoma.
Akasema nimfungulie nikamfungulia.

Nowdays amekua muwazi tumekua marafiki Sana[emoji4],

Na mpk sahv nnapokwambia alichukua EXTERNAL HARDDISC yangu 4terrabyte yenye collection za SENSUAL TRICKY MASSAGE aliazima wiki sasa HAJAIRUDISHA[emoji4]
 
Mkurugenz mkuu wa kampuni ya BangBros Bwana.Daler Mehndi amesema wanania ya kumburuza mahakamani aliyekua mfanyakazi wao wa zamani MIA KHALIFA kwa kusema uongo na upotoshaji kua alitengeneza $12,000 kwa mda wote aliokua kwenye Tasnia.

Daler Mehnd amesema
" Mia Khalifa alikua anaingiza $178,000 kila mwaka kutoka BANGBROS kwa muda wa miaka 2 na miezi 9. Sio hilo tu alikua anaingiza $210,000 yeye mwenyewe kila mwezi kuokana na kazi za ubalozi na matangazo mbalimbali ya kibiashara."

Aliongeza pia,
"Sasa Sijui huko kwingine kwenye Management 3 alikoanzia kabla ya kusaini na sisi siwezi kujua ni kiasi gani alikua anatengeneza kwa mwaka.
Kwahyo suala la yeye kusema kwenye tasnia nzima alitengeneza $12,000 kwa muda wote aliokuepo ni Uongo wa hali ya juu sana na kutudhalilisha sana sisi kama managementi nzima iliyokua inasimamia kazi zake."

Nyongeza pia ya madai waliyonayo Bangbros ni kauli ya mia khalifa aliyoitoa kwenye chombo cha habari aljazeera akihojiwa akisema kua

"Kiukweli ndugu mtangazaji nimekua kwenye tasnia kwa miezi 3 tu, nasikitika sana watu wananitizama tofauti sana maana utu wangu wote umechafuliwa na miez 3 niliyodumu kwenye tasnia"

BangBros wanadai huo ni upotoshaji mkubwa sana maana wao wamekua nae kwa mda wa miaka 2 na miezi 9.

Anasema Daler Mehnd
"Mia khalifa tumekua nae tangu october 2014 na tulikua na mkataba nae wa miaka 3 mpaka october 2017.
Tunasikitika July 2017 alipotea kwa mda mrefu mpaka tulipoanza kumuona kwenye vyombo mbalimbali akidai amestaafu tasnia"

"Kwaiyo ukihesabu utagundua tumekua nae kwa miaka 2 na miez 9, Hicho anachosema kua amedumu kwenye tasnia kwa miezi 3 ni uongo na uzushi na hilo ni mojawapo ya madai yetu ukiongezea na suala la kukatisha mkataba wetu"

Bangbros kwa sasa wametengeneza mtandao unaoitwa FACTS BEAT FICTION wenye lengo la watu kua huru kuanika uongo na uzushi wote wa Mia khalifa katika kuichafua tasnia.
Na wamewaomba wadau watie saini hati ya mtandaoni ya mashtaka iliyowasilishwa mtandaoni humo ili aweze kushtakiwa.

Akizungumzia suala hilo Mwigizaji mwenzie Angela white alisema,

"Mia sio wa kwanza kuondoka kwenye tasnia. Sote tulio katika tasnia tunajua nini Mia alikua anafanya, kama angekua kweli na nia ya kujisafisha dhidi ya yaliyopita kwenye tasnia Basi angeanza kwanza na suala la kuacha kutumia ilo jina lililompa umaarufu huo alionao kwa sasa"

"Ninachokiona Mia anataka kuzidi kutrend kupitia mgongo wa umaarufu alioupata kwenye tasnia yetu, Na ni kweli anafanya ivyo maana kila kukicha anatoka media hii anakwenda media ile kujifanya anatoa ushuhuda, na shuhuda zenyewe asilimia kubwa ni za uongo na uzushi mtupu"

"Na amesema mengi ya uongo, ila kwa sasa itabidi awajibike kwa uongo na uzushi anaousambaza, Naungana na BangBros katika petition yao na nitasaini Mia Khalifa akashtakiwe Mahakamani"

Nini maoni yakoView attachment 1832338View attachment 1832339
Haya ndio mambo yangu sasa daaah lile jukwaa lirudi kwa kweli
 
Hana maajabu yoyote yale,

Na Ndio maana mpk anaondoka kwenye tasnia hajawai kupata tuzo yoyote ile.

Kwa sasa,
Mkebe kaushikiria Angela white

Yaani Ndie Kama Cristian Ronaldo au Lionel Messi kwenye Tasnia.

Uyu
Kila mwaka anafungasha utitiri wa AWARDS[emoji116]View attachment 1832403
Pond mzee baba tufungue tu website yetu ya rahatupu
 
nmechukua simu ya wife nimeandika mia ,google wameleta maelezo kibao hadi nilivyoandika mia khalifa ndo wakamleta.

ila sasa nmegusa tu simu yangu ile kutype mia hata sijamalizia khakifa google tayar washanipeleka kwenye videos

JE MIMI NI NANI[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Eshe deol?!!huyu si kaolewa na mwaka Jana sijui mwaka huu mwishoni kapata mtoto kaolewa na mfanya biashara mhindi mwenziwe?mtoto wa Dharmendra na Hema Malini huyu?
Mbona kama siamini

We humsemi yule mdada anaitwa Sunny Leone
Weee siamini kama ni wewe
 
Kissa sins vs Dredd hii mechi ni hatari na nusu
Kwenye iyo video ya sex Kati ya KISSA SINS &DRED

Kissa Sins alikua tayar ni mke halali wa Ndoa wa Bw.John Sins

Na Kwenye iyo Video,
Director na script writter alikua Ni mme wake mwenyewe wa Ndoa Kissa sins (Bw. JOHN SINS)[emoji4]
images-246.jpg
images-275.jpg
images-281.jpg
 
Ingekua enzi ZILe za JLW,
ningeattach na video zake na link ujionee mwnyw kabisa.

Nna HD terrabyte 4 inamejaa za wahindi tupu, Apo kwa esha unichengi popote
Mwamba nimestaafu izi mambo ndugu yako naona kama wataka kunirudisha ivi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
nmechukua simu ya wife nimeandika mia ,google wameleta maelezo kibao hadi nilivyoandika mia khalifa ndo wakamleta.

ila sasa nmegusa tu simu yangu ile kutype mia hata sijamalizia khakifa google tayar washanipeleka kwenye videos

JE MIMI NI NANI[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] utakua una kipaji kilichojificha, Simu inakusaidia kukikuza
 
nmechukua simu ya wife nimeandika mia ,google wameleta maelezo kibao hadi nilivyoandika mia khalifa ndo wakamleta.

ila sasa nmegusa tu simu yangu ile kutype mia hata sijamalizia khakifa google tayar washanipeleka kwenye videos

JE MIMI NI NANI[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe ni john zambi 😂😂
 
Back
Top Bottom