BANGBROS kumburuza mahakamani Mia Khalifa kwa Kusema Uongo na Uzushi

BANGBROS kumburuza mahakamani Mia Khalifa kwa Kusema Uongo na Uzushi

Jamaa ana utajiri wa $3,000,000[emoji116]
images-237.jpg
 
Huyu Mia nilijua ni muongomuongo alipoweka kasura ka huruma kwenye interview ya BBC na kudai kuwa porn industry imemfanya amepoteza her sense of privacy wakati recently amejoin onlyfans kwa hiari yake akiendelea kuonesha utupu

Ka-opportunist tu…
 
Kuolewa sio Tija,
Mbona wadada wengi Kwenye tasnia wameolewa.

Hadi Sunny Leone nae aliolewa.
Ata Mia khalifa nae kashachumbiwa na don Mmoja hivi na soon wanatangaza Ndoa.

Mapenz hayaangalii hayo
Hao ma Don lazma nao walikuwa wadau wa kazi zao hao madem 😂😂😂 imagine eti unaoa pornstar dah kmmmke walai!
 
Esha Deol hapana mi nakataa!kwa wahindi yule mama ake Mbunge kule kwao kaka ake Mbunge weee!wangemchinja mchanaa!Sunny Leone yule wazazi wake mmoja alikufa kwa stress maana alitengwa na jamii za kihindi mwingine sijui alijiua vile..yaani wahindi kama wapo sio mastaa!
Then Sunny Leone ameolewa na mzungu hakuna mhindi Angeoa yule dada! Mfano Priyanka tu wahindi walimtenga kisa kulala na Akshay na SRK na baadhi ya wasanii wa kihindi ndo maana bidada kaenda kuolewa na katoto ka 92!wahindi wana misimamo sana
Yani Priyanka Chopra wahindi wamemkazia? Kisa kapigwa pumbu na mastaa wenzie toka India 😂😂😂 aisee mie namuoa asubuhi na mapema kama anataka!
 
Back
Top Bottom