BANGBROS kumburuza mahakamani Mia Khalifa kwa Kusema Uongo na Uzushi

BANGBROS kumburuza mahakamani Mia Khalifa kwa Kusema Uongo na Uzushi

Cha ajabu sasa wanaongozwa kuharibikiwa na kufa kupitia mapenzi ni sisi huku dunia ya 3, tunaojifanya watakatifu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakatifu ni nature, na sio kujifanya. Kama huna nature ya utakatifu huwezi kuwa mtakatifu, hata ujifanyaje
 
Sijui kwanini hawa pornstars wengi wabovu wa sura.
weee!,wakongwe nadhan mnamkumbuka vizuri Victoria Allure
cc DeepPond View attachment 1862658
fa68ef06d81e3483ae3d86874ca7e9df_1.jpg

View attachment 1862661
 
Tatizo unabaki na kumbukumbu mbaya kwenye maisha.

Unajihisi mwenye hatia wakati wote.

Labda ujifanye chizi, yaani hujali wala nini😂
Kumbu kumbu mbaya zitoke wapi wakati nimeamua mwenyewe 🤣🤣
 
Hana maajabu yoyote yale,

Na Ndio maana mpk anaondoka kwenye tasnia hajawai kupata tuzo yoyote ile.

Kwa sasa,
Mkebe kaushikiria Angela white

Yaani Ndie Kama Cristian Ronaldo au Lionel Messi kwenye Tasnia.

Uyu
Kila mwaka anafungasha utitiri wa AWARDS[emoji116]View attachment 1832403
Jamaa Unapenda sana ngono ,, daah!! Wanampaka tuzo 🤣🤣🤣😆🙌
 
Hahahaha!!! Wewe mtu upewe tuzo/tunzo AVN,AVN AWARDS-Swahili writer/author au pundit::: Mabongo dadaz wananiita Alisina a.k.a Charles dera tukiwa ndani ya goddes davinci code:
 
Dan brown katika novel/non fiction yake ya davinci code anagusua suala sex/kujamiana,anasema hapo nyuma watu walikuwa wanaenjoy kujamiana na kufarahia sana,huku mwanaume akipata ukamilifu anapofika kileleni, ghafla rumi dola ilivyoungana na ukristo tendo la kujamiana lakawekewa masharti magumu sana,likatukanwa majina mengi(uzinzi,ngono,uasherati,ufuska n.k);Haya ni ya dan brown,waacha tumuweke kando.

Niliazima insatiable curiosity ya naturalist charles darwn(on the origin of species)....Mpaka ikafika na a.k.a kibao za industry Alisina a.k.a Brian pumper,Alisina a.k.a lexington steele,Alisina a.k.a bryon long,Alisina a.k.a ricco strong,Alisina a.k.a prince yeshua,Alisina a.k.a james dean, Alisina a.k.a maxwell,Alisina a.k.a jord pola elnino,Alisina a.k.a Sexmex.


THE PORN MYTH(exposing the reality behind the fantasy porngraphy) by frad matt: Hiki ni kitabu kinaelezea adult /porn industry kwa kuichachana,hakipo neutral sana,hiki kwa watu wasiopenda wala kutaka kusikia hili dubwasha ,lakini kuna mambo mengi anaelezea mfano si anti porn wote ni antisex,si religious ndio opposa wa porn,harmful effect ya porn,addiction,.


THE PORN INDUSTRY(whats everyone needs to know) by shira tarrant, mwanadada huyo amfanya tatifiti kubwa sana,kauliza,kahoji,kapata mawazo yao na maono yao karibia wahusika wote wa industry,porn performer actor/actress,direct na produ,company za industry,madktari(afya),...
kagusa maada nyingi nzuri na akaelezea maada hizo kwa kutochukua upande wowete,kaweka neutral...baadhi ya maada ni kama:-historia ya porn industy proffesional,nini hufanyika wakati wakutengeneza scenes/film,je..perfomer wanaenjoy sex mbele ya kamera? ,kwanini malipo ya actress/female performer yapo juu,life span ya peformer ndani ya industry,medical health issue mf magonjwa ya sexual,aina za sex,analsex,oral sex,doube/tripple penetration,Afya ndani ya industry,dawa za kuongeza nguvu male actors,kwanini mtu huingia katika adulty industry na maisha yao nje ya industry,makampuni gani ni monopoly ndani ya industry,wakinani haswa na watazamaji sana me na ke wa porn movies, Utazamaji wa porn kazini,Harmuff effect ya porn industry,Vita kati ya religious na porn industry,Pesa au mali ndani ya industry, Ukuwaji wa teknolojia na mchango wa industry na bila kusahau Sex education katika vyuo na school:....Porn actress siri ndani ya forum' ya Quora alijibu swali la kwanini aliingia kwa industry yeye akajibu :Sex adventure,,kwamba wapo watu ambao hobbie yao ni sex/kujamiana na ameingia atimize malengo aburudike na kufarahia,,kama ilivyojibu aliyekuwa miss USA KELL MCCARTH miaka 1990's baada ya kuingia kwa industy na kucheza movies moja ni faithless wife..alidai anataka kujaribu kitu alichokuwa anakipenda sana sex na anaenjoy au mwanamama nina hartley alipohojiwa na shira tarrant akasema anaenjoy sana tena sana!!.

Hivi ni vitabu vinavyoelezea industry kwa undani bila kusahau vimelenga hasa jamii ya wamarekani na hii ndio freedom of speech and thought iliyopo marekani,,ambayo mataifa mengi duniani bado tupo nyuma sana haswa tunaoitwa dunia ya tatu na takwimu za world bank na imf...!Pamoja na kuwa wapo porn performers walioingia kwa kupenda bila kusukumwaa bado haiondoi wengi wao huingia au hufanya porn kwa sababu za kiuchumi,,Dunia kwa sasa pengo la umaskini na utajiri linaongezeka kwa kasi na sababu mojawapo ni tunda la Ubepari,hatukatai vilevile ubepari umeleta mambo mazuri::ni kuweka balance tu ya mifumo ya kibepari-capitalism:

AFRICA/TANZANIA...Katika vitu ambavyo ni mwiko katika jamii yetu/familia moja wapo ni sex/kujamiana,ukitaka kufahamu/kuchangia mawazo,uzoefu,/kudadavua hii mada utaitwa majina kibao ya kila aina mfano ibilisi,mzinzi,mpenda ngono,mhuni,mharibu maadili ya jamii na sababu kubwa sana ni misingi iliyojengwa na dini hizi za kigeni kubwa Islam na Ukristo ambazo ukiacha ethiopia na egypt ,nchi za chini ya jangwa la sahara hizi dini zimeingia karne ya 11&15 kwa njia mbalimbali mfano biashara ya utumwa,wapelelezi,uvamizi wa kimabavu,africa tulikuwa na dini zetu folk religion(mf animism).!!Adult movies na film tunazopakua au pokea kutoka usa na nch nyingine zinajikuta zipo kwenye kikaango cha morality,btw what is morality/ethics,(ON THE GENEOLOGY OF MORALITY BY Fridreck nietzsche & SOCIETY WITHOUT GOD/RELIGIOUS BY Phill zuckerman)sources,

Mijadala ya maadili hutamalaki,Wengine wakinena sasa ule mwisho wa dunia umefika:TANZANIA PEOPLES NI RELIGIOUS BASED SOCIETY,Hivyo maada kama hizi ambazo ni miiko lazima zilete moto..:



HITIMISHO: Sasa adult movie,film,pictures ...total porn ndio amekuwa mwalimu au muongozaji kwa watu wengi tanzania na nch dunia ya tatu kwa kifichoficho,yes ndio hapa kuna gap kubwa la uwazi na mijadala ya suala hili::
 
Dan brown katika novel/non fiction yake ya davinci code anagusua suala sex/kujamiana,anasema hapo nyuma watu walikuwa wanaenjoy kujamiana na kufarahia sana,huku mwanaume akipata ukamilifu anapofika kileleni, ghafla rumi dola ilivyoungana na ukristo tendo la kujamiana lakawekewa masharti magumu sana,likatukanwa majina mengi(uzinzi,ngono,uasherati,ufuska n.k);Haya ni ya dan brown,waacha tumuweke kando. ********************* Niliazima insatiable curiosity ya naturalist charles darwn(on the origin of species)....Mpaka ikafika na a.k.a kibao za industry Alisina a.k.a Brian pumper,Alisina a.k.a lexington steele,Alisina a.k.a bryon long,Alisina a.k.a ricco strong,Alisina a.k.a prince yeshua,Alisina a.k.a james dean, Alisina a.k.a maxwell,Alisina a.k.a jord pola elnino,Alisina a.k.a sexmex:....!........!............!.. THE PORN MYTH(exposing the reality behind the fantasy porngraphy) by frad matt:Hiki ni kitabu kinaelezea adult /porn industry kwa kuichachana,hakipo neutral sana,hiki kwa watu wasiopenda wala kutaka kusikia hili dubwasha ,lakini kuna mambo mengi anaelezea mfano si anti porn wote ni antisex,si religious ndio opposa wa porn,harmful effect ya porn,addiction,...... THE PORN INDUSTRY(whats everyone needs to know) by shira tarrant, mwanadada huyo amfanya tatifiti kubwa sana,kauliza,kahoji,kapata mawazo yao na maono yao karibia wahusika wote wa industry,porn performer actor/actress,direct na produ,company za industry,madktari(afya),...kagusa maada nyingi nzuri na akaelezea maada hizo kwa kutochukua upande wowete,kaweka neutral...baadhi ya maada ni kama:-historia ya porn industy proffesional,nini hufanyika wakati wakutengeneza scenes/film,je..perfomer wanaenjoy sex mbele ya kamera? ,kwanini malipo ya actress/female performer yapo juu,life span ya peformer ndani ya industry,medical health issue mf magonjwa ya sexual,aina za sex,analsex,oral sex,doube/tripple penetration,Afya ndani ya industry,dawa za kuongeza nguvu male actors,kwanini mtu huingia katika adulty industry na maisha yao nje ya industry,makampuni gani ni monopoly ndani ya industry,wakinani haswa na watazamaji sana me na ke wa porn movies, Utazamaji wa porn kazini,Harmuff effect ya porn industry,Vita kati ya religious na porn industry,Pesa au mali ndani ya industry, Ukuwaji wa teknolojia na mchango wa industry na bila kusahau Sex education katika vyuo na school:....Porn actress siri ndani ya forum' ya Quora alijibu swali la kwanini aliingia kwa industry yeye akajibu :Sex adventure,,kwamba wapo watu ambao hobbie yao ni sex/kujamiana na ameingia atimize malengo aburudike na kufarahia,,kama ilivyojibu aliyekuwa miss USA KELL MCCARTH miaka 1990's baada ya kuingia kwa industy na kucheza movies moja ni faithless wife..alidai anataka kujaribu kitu alichokuwa anakipenda sana sex na anaenjoy au mwanamama nina hartley alipohojiwa na shira tarrant akasema anaenjoy sana tena sana!!.....!....!.....!.....!......!....Hivi ni vitabu vinavyoelezea industry kwa undani bila kusahau vimelenga hasa jamii ya wamarekani na hii ndio freedom of speech and thought iliyopo marekani,,ambayo mataifa mengi duniani bado tupo nyuma sana haswa tunaoitwa dunia ya tatu na takwimu za world bank na imf...!Pamoja na kuwa wapo porn performers walioingia kwa kupenda bila kusukumwaa bado haiondoi wengi wao huingia au hufanya porn kwa sababu za kiuchumi,,Dunia kwa sasa pengo la umaskini na u tajiri linaongezeka kwa kasi na sababu mojawapo ni tunda la Ubepari,hatukatai vilevile ubepari umeleta mambo mazuri::ni kuweka balance tu ya mifumo ya kibepari-capitalism:....!.....!......................................AFRICA/TANZANIA...Katika vitu ambavyo ni mwiko katika jamii yetu/familia moja wapo ni sex/kujamiana,ukitaka kufahamu/kuchangia mawazo,uzoefu,/kudadavua hii mada utaitwa majina kibao ya kila aina mfano ibilisi,mzinzi,mpenda ngono,mhuni,mharibu maadili ya jamii na sababu kubwa sana ni misingi iliyojengwa na dini hizi za kigeni kubwa Islam na Ukristo ambazo ukiacha ethiopia na egypt ,nchi za chini ya jangwa la sahara hizi dini zimeingia karne ya 11&15 kwa njia mbalimbali mfano biashara ya utumwa,wapelelezi,uvamizi wa kimabavu,africa tulikuwa na dini zetu folk religion(mf animism).!!Adult movies na film tunazopakua au pokea kutoka usa na nch nyingine zinajikuta zipo kwenye kikaango cha morality,btw what is morality/ethics,(ON THE GENEOLOGY OF MORALITY BY Fridreck nietzsche & SOCIETY WITHOUT GOD/RELIGIOUS BY Phill zuckerman)sources,mijadala ya maadili hutamalaki,Wengine wakinena sasa ule mwisho wa dunia umefika:TANZANIA PEOPLES NI RELIGIOUS BASED SOCIETY,Hivyo maada kama hizi ambazo ni miiko lazima zilete moto..:** ****************HITIMISHO: Sasa adult movie,film,pictures ...total porn ndio amekuwa mwalimu au muongozaji kwa watu wengi tanzania na nch dunia ya tatu kwa kifichoficho,yes ndio hapa kuna gap kubwa la uwazi na mijadala ya suala hili::

Gazeti ni refu sana by the way umeeleweka snaa mkuu[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom