Bangi haina madhara yoyote kama tunavyoaminishwa, iruhusiwe

Bangi haina madhara yoyote kama tunavyoaminishwa, iruhusiwe

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Bangi ni zao jema.

Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake.

Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili.

Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara limeshuka na linakaribia kupotea kutokana na madhara yake na kwenye baadhi ya nchi sigara inapigwa marufuku.

Bangi ina faida kiafya inaimarisha afya ya moyo, Figo na mzunguko wa damu.

Bangi ina faida kiroho kwenye meditation, wahindi wanatumia bangi.
Bangi inafukuza wachawi na mapepo.

Nchi kubwa ulimwenguni kama USA, Canada, England, Russia n.k.

Tuna ardhi kubwa, nashauri hiyo Ngorongoro walipokuwa Masai serikali izalishe bangi iuze Kimataifa.

Tumezubaa kukata hela tunakomaa na tumbaku ambayo Kwa madhara yake haitakiwi, tulime bangi tukimbie umasikini
 
Nilidhani utakuja na data au tafiti za kisayansi kuthibitisha madai haya, badala yake mada nzima imejaa hearsays na maoni binafsi. Sisi ambao jamaa na ndugu zetu wameanza kuvuta bangi tunawaona, na sasa ni vichaa na wasio na msaada kwa familia , hata kujitegemeza wenyewe hawawezi unataka tukueleweje? Nyie wavuta bangi ambao miili yenu ina tolerance ya kutosha kuwapatia akili za kujitambua kidogo muwe pia mnawafikiria ambao wameathirika kwa bangi
 
Nilidhani utakuja na data au tafiti za kisayansi kuthibitisha madai haya, badala yake mada nzima imejaa hearsays na maoni binafsi. Sisi ambao jamaa na ndugu zetu wameanza kuvuta bangi tunawaona, na sasa ni vichaa na wasio na msaada kwa familia , hata kujitegemeza wenyewe hawawezi unataka tukueleweje? Nyie wavuta bangi ambao miili yenu ina tolerance ya kutosha kuwapatia akili za kujitambua kidogo muwe pia mnawafikiria ambao wameathirika kwa bangi
Bangi haina madhara kama unavokuza
Nenda hospital uone wagonjwa wa madhara ya utumiaji tumbaku na sigara
 
Nashauri pia kuwe na elimu ya matumizi ya bangi
Jitu linatumia bangi asubuhi mchana na jioni kama ugali na wengine hutumia zaidi ya hapo
Kwa namna hiyo lazima tu bangi itakuwa na madhara kwako yani muonekano tu watu wanajua wewe ni mvuta bangi
Vuta bangi angalau mara moja kwa wiki
 
Bangi ni zao jema.
Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake.

Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili.
Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara limeshuka na linakaribia kupotea kutokana na madhara yake na kwenye baadhi ya nchi sigara inapigwa marufuku.

Bangi ina faida kiafya inaimarisha afya ya moyo, Figo na mzunguko wa damu.

Bangi ina faida kiroho kwenye meditation, wahindi wanatumia bangi.
Bangi inafukuza wachawi na mapepo.

Nchi kubwa ulimwenguni kama USA, Canada, England, Russia n.k.
Tuna ardhi kubwa, nashauri hiyo Ngorongoro walipokuwa Masai serikali izalishe bangi iuze Kimataifa.

Tumezubaa kukata hela tunakomaa na tumbaku ambayo Kwa madhara yake haitakiwi, tulime bangi tukimbie umasikini
Ni kweli kabisa bangi ni tiba hasa kwa cronic pain, lakini siyo kuvuta bangi, unachanganya mambo.

Na hizo bangi zipo category mbili inachemshwa ndio inskuwa therapy.
 
Bangi haina madhara kama unavokuza
Nenda hospital uone wagonjwa wa madhara ya utumiaji tumbaku na sigara
Hapa umelinganisha takwimu Bado haujathibitisha kuwa bang haina madhara.

Kutokuwa na waathirika wengi wa bangi hospitalini haina maana kuwa hawapo
 
Bangi ni zao jema.
Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake.

Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili.
Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara limeshuka na linakaribia kupotea kutokana na madhara yake na kwenye baadhi ya nchi sigara inapigwa marufuku.

Bangi ina faida kiafya inaimarisha afya ya moyo, Figo na mzunguko wa damu.

Bangi ina faida kiroho kwenye meditation, wahindi wanatumia bangi.
Bangi inafukuza wachawi na mapepo.

Nchi kubwa ulimwenguni kama USA, Canada, England, Russia n.k.
Tuna ardhi kubwa, nashauri hiyo Ngorongoro walipokuwa Masai serikali izalishe bangi iuze Kimataifa.

Tumezubaa kukata hela tunakomaa na tumbaku ambayo Kwa madhara yake haitakiwi, tulime bangi tukimbie umasikini
Kusema bangi haina madhara yoyote umedanganya.

Ninakuunga mkono kusema bangi ni zao la uchumi, lakini lina madhara hasa likitumiwa kuvuta.
 
Back
Top Bottom