February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
- #21
ilikuwa hivi kipindi navuta once a day, sasa ile hali ikaanza kupungua nikivuta once so nikaanza twice ikaeenda mpaka nikazoea ten ikawa mara 3 ikaeenda mpaka nikazoea..Sasa ikaja mpaka mara 4 nayo nkazoea...nkaona hapa dawa ni kuiondoa kwanza kwenye system nianze upya kwa kubalance mizan iwe mara moja kwa wiki ili isiwe too much.Basi endelea kuvuta... au fanya meditation it seems ulikuwa bora kuliko hivi sasa....
Caution: Drug Abuse haifai, itaku-abuse wewe...
Ndo nmemaliza hapa miezi miwili na sehemu sijavuta.
Najiuliza kma itakuwa safe kurudi sasa au nisubirie tena.
Au mkuu unanishauri nitumie formula ipi?