Bangi Meru yawaponza OCD, OCCID, DSO. Rais Magufuli awaondoa | Amthibitisha James Kaji kuwa Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya

DG ana team yake ya inteligency probably ndio iliyo m leàd kufika hapo na iyo team inawezekana Haifanyi active duty apo meru au ilikuwa hapo kwa task hio tu walifanya undercover ukiona mpaka watu wanakuwa demoted ina maana kuna uzembe fulani
Kwa hiyo kitengo kina watumishi mpaka "under ground"? kwanini isiwe walipewa mchongo na usalama wa Taifa?
 
Apigwe chini huyo aje abishane na De la boss
 
Bange sijui imewakosea nini..daah!☹☹
 
Tukilindana umma utanufaika nini? Kila mtendaji afanye kazi angalau kwa wajibu wake. Haina maana ya kuwa mtendaji na eneo lako la kazi limetawaliwa na madhaifu. Ni aidha hautoshi (incapable) ama hauna msukumo wa kutosha. Sasa atakayekutonya hapo si atakuwa adui wa maendeleo?
 
Jamani nisaidieni kwani SIANG'A amestaafu au kibarua kimeota nyasi
 
Huko alipo atakuwa anatetemeka kwa hofu, kasahaulikaje
 
Naona Kaji kawa Kamishina mkuu wa taasisi ya kupambana na dawa za kulevya..

Magunia ya bangi yamempa credit, pole kwa DSO na OCD...

Hongera Mh. James Kaji hakika kazi yako imeonekana tangu upewe hicho kiti..
Kwa hiyo wale tuliokuwa na tumaini LA kilimo cha bangi kuhalalishwa ili tupige hela awamu hii ndio tushaumizwa hivyo!?
 
Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…