MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
dah !nawashngaa mno mno !anywys ni kila mtu na chaguo lakeKweli ni fire. Unaenjoy sana kama wavuta na mume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah !nawashngaa mno mno !anywys ni kila mtu na chaguo lakeKweli ni fire. Unaenjoy sana kama wavuta na mume
Tuacheeeeeehaaaaaaaaaahhhhhhhhhh yule ni jungu moja na wwe !ptu!
nawaacha mama !Tuacheeeeee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hii kitu asikwambie mtu kuna jamaa mmoja kule bush kwetu alikuwa ndo mambo yake kula weed miaka nenda miaka rudi, siunajua mambo ya bush hakuna kubugudhiana na serikali wanakuja wagambo na mtendaji wa kijiji jamaa anawakimbia af sasa ifu ndo nitolee
jamaa akahamishia makazi yake poriiiiiii kabisa almost 3km ndo unaanza kuingia kwenye makazi ya watu, kule bush jamaa akajenga nyumba yake haina mlango wala dirisha, baadhi ya watu wakashangaa huyu jamaa nyumba yake vip!!!!!
yote tisa kumi sasa wakati anaezeeka mlango akaweka juu ya paa, na ukumbuke nyumba ya tope yaani miti mixer tope
Mngh!Ha haaaaa nikija mniandalie cha mindu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].dah !nawashngaa mno mno !anywys ni kila mtu na chaguo lake
Good girlnawaacha mama !
Hongera zakoBasi itakua kweli. Nimeshajaribu nikapenda sana.
Haahaaa dah nimejikuta nacheka balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Tulikaa sehemu na msanii fulani wa bongo flavour. Sasa mimi na rafiki angu bangi tunavuta tukiona basi akatupa tukavuta. Tukatoka hapo tulikua tunacheka njia nzima mpaka tunafika home. Kulala mwenzangu akajamba nilishtuka sikujua kama kajamba nilijua kumetokea shoti ya umeme ndani. Nikamuuliza L umesikia hii sauti iliyolia muda huu? Akajibu sauti gani. Nikamwambia humu ndani kumetokea shot ya umeme. Nikaanza chek kila kitu nimepanic balaa. Akasema kwani umesikia nini? Nikamjibu nimesikia kitu kimelia puuuuuuh. Akasema ni mimi nimejamba.tulicheka masaa mawili.
Fundi kama nakuona vile unavyokereka na hii kitu. Basi mwaya naacha kwaajili yako!Mngh!
yaan unamkera kwakweli hebu acha !umeshindwa fanya sekondar shost !muoneFundi kama nakuona vile unavyokereka na hii kitu. Basi mwaya naacha kwaajili yako!
Hapana demi, ni ulevi kama ilivyo kwa ulevi mwingine kama vile pombe, sigara, kahawa, chai n.k. kwakuwa ukiivuta unajiskia burudani we vuta tu sio kesi maisha yenyewe mafupi haya fundi wanguFundi kama nakuona vile unavyokereka na hii kitu. Basi mwaya naacha kwaajili yako!
Pata bangi ukiwa unasikiliza sweet reggae au za lucky dube, full shangwe unapata ujumbe mzuri unasikia neno baada ya neno.
Ukimaliza hapo gonga msosi wako wa nguvu na juice baridiiiiii, kausingizi kanono lazima kaje
Nimeshangaa ila ndio ulevi wake na akivuta anaona starehe avute tuyaan unamkera kwakweli hebu acha !umeshindwa fanya sekondar shost !muone
alafu hakafananii !lolNimeshangaa ila ndio ulevi wake na akivuta anaona starehe avute tu
Kuna mama mmoja anavuta sana bangi kitaa nitamuomba kutiana nae nikajifunze anavyokuwa kwenye kuto.mbana akiwa kavuta bangeKwenye kupatia usingizi na kunogesha tendo letu pendwa naikubali sana
Yaan mmmngh! wacha niendelee kukandamiza balantine yangu hapaalafu hakafananii !lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Muombe tu.Kuna mama mmoja anavuta sana bangi kitaa nitamuomba kutiana nae nikajifunze anavyokuwa kwenye kuto.mbana akiwa kavuta bange
Nidokolee japo kidogo inakuwa kuwaje unapokuwa umeshaivuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Muombe tu.
Njoo tusmokyeah acha wafaidi !mie nipo tu hapa nawasoma ila moyon ninalia tu kivyangu vyangu !anywys maisha lazima yasonge !