Bangi ni mbaya sana

Bangi ni mbaya sana

Kaka angu anavuta bangi kwa zaidi ya miaka 30 ukiangalia maisha yake sio mazuri na yy mwenyewe anakiri ni sababu ya kuvuta bangi
Bangi ni kama pombe. Sio kila mtu inamkubali. Kuna mtu akinywa pombe anafanya vitu vya ajabu ajabu. Sasa hata bangi pia. Na huyo kama kajua tatizo anaendelea nini si aache.
 
mwanzo 1: 31 Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.

bangi siyo mbaya ila ni namna gani unavyoitumia ndo inakua mbaya kwako, wewe jaribu kula maandazi kama 50 hivi ndo utajua ngano ni nzuri au mbaya
 
Nakumbuka nimewahi kulamba cannabis oil yalikuwa yakitumika kama dawa kwa mgonjwa.

Sasa mm na kiherehere changu nikataka kujuwa ina test vp nika fakamia,ilikuwa ina test kama ina ukakasi fulani ilipo panda kichwani hzo stimu zake sitaki kusimulia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu bangi ya kuinywa au kuila inakuwa na stimu kinyama, marekani wana Cookies za bangi.
 
Back
Top Bottom