Bangi ni mbaya sana

Bangi ni mbaya sana

Nlivuta nikiwa o level huko kwetu Arusha shule ya boarding , nlivutia nyuma ya bweni majira ya jioni. Kengele ya parade ya saa kumi na mbili jioni ikagongwa mm nikaingia Dom nkachukua bible nkaenda nayo assemble. Kufika nikapanda pale mbele nikaanza hubiri.

Nashukuru Mungu mwalimu wa zamu alikua siyo mnoko,walinipeleka wakanifungia Dom ,asbh nkachezea stick kadhaa yakaisha. Sikuwahi vuta hadi leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ok, siku nikienda nitakuchukulia. Shem wangu mmoja hivi kuna siku alikatisha pande flani, akakuta kashata bila kujua kuwa ndio za bangi akanunua na kuzila akiwa na mwenziwe, [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] umaambiwa walilazwa hospitali siku3 wakiwa hawana fahamu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi nilipewa cake moja tu. Nilikula nikaumwa siwezi sahau. Watu walijua malaria imepanda kichwani ndo maana nalia na kutikisika kichwa kama nina mapepo. Halafu kwenda kupimwa nikakutwa na malaria mbili kweli bila kujua ni weed nililishwa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi nilipewa cake moja tu. Nilikula nikaumwa siwezi sahau. Watu walijua malaria imepanda kichwani ndo maana nalia na kutikisika kichwa kama nina mapepo. Halafu kwenda kupimwa nikakutwa na malaria mbili kweli bila kujua ni weed nililishwa.
Dah! Umenitamanisha kweli, cake![emoji39] [emoji39]
Hizo zinapatikana wapi?[emoji39] [emoji39]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi nilipewa cake moja tu. Nilikula nikaumwa siwezi sahau. Watu walijua malaria imepanda kichwani ndo maana nalia na kutikisika kichwa kama nina mapepo. Halafu kwenda kupimwa nikakutwa na malaria mbili kweli bila kujua ni weed nililishwa.

hahahah ulidanganyanywe? dah pole !mie bangi au masigara sijawah gusa wala kufikiria aisee ! kwanza kichwa changu ni gas alafu niongezee tena gas uwiii !
 
Zenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mkuu ume nikumbusha kunasehemu nilienda kuliwa na party full shangwe tukala kilaji mwisho wa siku mwenye nyumba akaleta keki

Ebwana siunajuwa ukiwa umesha pata moja moto nyengine baridi kikija kitu chochote kile cha kula kula unakuwa huna haya,nika anza kufakamia ile keki mwisho wa siku mungu anajuwa kilicho tokea

Nilikuja kuamka siku inayo fuata na kumbukumbu zote alikuwa nazo mpiga picha siwezi sahau.
 
Zenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mzee wa misosi yani wewe akili yako imejaa msosi, hebu rudi kule kwenye jukwaa lako la misosi
 
Hakika mkuu hapo ndio utafaidi kazi za brain yako ila pindi ukiivuta ue unaongea maneno haya,,,,bangi nakuvuta nifungue fikra na fahaumu na unipe uwezo wa kuona mbali na unipande kichwani na sio kwingine hakika utaona kilicho fichwa ambacho kwa macho ya kawaida huwezi yaona
Uwiii Ngoja nivute
 
hahahah ulidanganyanywe? dah pole !mie bangi au masigara sijawah gusa wala kufikiria aisee ! kwanza kichwa changu ni gas alafu niongezee tena gas uwiii !
Nilikutana na rafiki angu club kabeba kama 6 hivi. Akaniambia chukua moja. Na mie kwa uroho nikachukua. Yaliyonikuta sasa. Nikasema ntavuta bangi yenyewe nione ikoje. Nikavuta nikaipenda kiukweli ila sigara sijawahi
 
Mkuu ume nikumbusha kunasehemu nilienda kuliwa na party full shangwe tukala kilaji mwisho wa siku mwenye nyumba akaleta keki

Ebwana siunajuwa ukiwa umesha pata moja moto nyengine baridi kikija kitu chochote kile cha kula kula unakuwa huna haya,nika anza kufakamia ile keki mwisho wa siku mungu anajuwa kilicho tokea

Nilikuja kuamka siku inayo fuata na kumbukumbu zote alikuwa nazo mpiga picha siwezi sahau.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuu
[emoji116] [emoji116] [emoji116]Wahindi wanasaga bangi na kutengeza Juice
e29d046a9c64058efc1f936d84a9500a.jpg
Sipati picha hii juice jinsi ilivyo na Stimu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Ni kweli kabisa kwamba Uvutaji wa Bangi / Bange huwa ' unawadatisha ' Wavutaji hadi wanafanya mambo ya ajabu kabisa na ya Kustaajabisha ila sijawahi kuona mvutaji yoyote wa hiyo Kitu ' anadata ' halafu anaenda Kunya ( Wazaramo wanasema Kuukweka ) pale Getini Ikulu au Geti la Kuingia Lugalo au katika ngazi za Jengo la Central Police pale Stesheni. Nitashukuru nikijibiwa ni kwanini hao Wavutaji wote pamoja na ' Kudata ' Kwao kote kwa huo Ulaibu / Kilevi huwa wanakuwa na nidhamu na umakini wa hali ya juu katika hayo maeneo nyeti na muhimu niliyoyataja.
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nilikutana na rafiki angu club kabeba kama 6 hivi. Akaniambia chukua moja. Na mie kwa uroho nikachukua. Yaliyonikuta sasa. Nikasema ntavuta bangi yenyewe nione ikoje. Nikavuta nikaipenda kiukweli ila sigara sijawahi

hahha kum,be ukaipenda !duh hatarious !ila niraha sana kupitia haya ujanani !ukiolewa unatulia zako tuliii !yan hakikisha hakuna starehe ambayo hujaifanya ! except mambo ya sodoma !
 
Mzee wa misosi yani wewe akili yako imejaa msosi, hebu rudi kule kwenye jukwaa lako la misosi
[emoji1] [emoji1] bangi haivutwi na njaa[emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
hahha kum,be ukaipenda !duh hatarious !ila niraha sana kupitia haya ujanani !ukiolewa unatulia zako tuliii !yan hakikisha hakuna starehe ambayo hujaifanya ! except mambo ya sodoma !
Sodoma sio starehe ile. Ila weed mama hata nikiolewa ntakua napiga mara moja moja. Sasa hivi muda tu na mazingira vinanifanya nisiitumie ila naielewa sana
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana[emoji38] [emoji38] kipindi bado nipo kijana unaambiwa siku moja tulipika bangi ya nazi tukala na ugali, unaambiwa kilichofatia hapo[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] tulilala tangu tumalize kula kwenye saa 9 mchana hadi siku ya pili asubuhi ndio tunashtuka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu ume nikumbusha kunasehemu nilienda kuliwa na party full shangwe tukala kilaji mwisho wa siku mwenye nyumba akaleta keki

Ebwana siunajuwa ukiwa umesha pata moja moto nyengine baridi kikija kitu chochote kile cha kula kula unakuwa huna haya,nika anza kufakamia ile keki mwisho wa siku mungu anajuwa kilicho tokea

Nilikuja kuamka siku inayo fuata na kumbukumbu zote alikuwa nazo mpiga picha siwezi sahau.


duh alafu mbn kama mnakishangilia hiki kilevi sasa
 
Back
Top Bottom