Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Huwez kuwa kichaa. Utaenjoy na kesho utatamani tena.Dah itabidi Nimwambie hubby asitoke Siku hiyo ili nikianza kuwa kichaa anidhibiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwez kuwa kichaa. Utaenjoy na kesho utatamani tena.Dah itabidi Nimwambie hubby asitoke Siku hiyo ili nikianza kuwa kichaa anidhibiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nlivuta nikiwa o level huko kwetu Arusha shule ya boarding , nlivutia nyuma ya bweni majira ya jioni. Kengele ya parade ya saa kumi na mbili jioni ikagongwa mm nikaingia Dom nkachukua bible nkaenda nayo assemble. Kufika nikapanda pale mbele nikaanza hubiri.
Nashukuru Mungu mwalimu wa zamu alikua siyo mnoko,walinipeleka wakanifungia Dom ,asbh nkachezea stick kadhaa yakaisha. Sikuwahi vuta hadi leo
jamn nachekaga na hyo avatar yako !Aisee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi nilipewa cake moja tu. Nilikula nikaumwa siwezi sahau. Watu walijua malaria imepanda kichwani ndo maana nalia na kutikisika kichwa kama nina mapepo. Halafu kwenda kupimwa nikakutwa na malaria mbili kweli bila kujua ni weed nililishwa.Ok, siku nikienda nitakuchukulia. Shem wangu mmoja hivi kuna siku alikatisha pande flani, akakuta kashata bila kujua kuwa ndio za bangi akanunua na kuzila akiwa na mwenziwe, [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] umaambiwa walilazwa hospitali siku3 wakiwa hawana fahamu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Dah! Umenitamanisha kweli, cake![emoji39] [emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi nilipewa cake moja tu. Nilikula nikaumwa siwezi sahau. Watu walijua malaria imepanda kichwani ndo maana nalia na kutikisika kichwa kama nina mapepo. Halafu kwenda kupimwa nikakutwa na malaria mbili kweli bila kujua ni weed nililishwa.
HahahahahahahahaKibiti hapana, ngoja niendelee kuvuta mwenyewe!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mimi nilipewa cake moja tu. Nilikula nikaumwa siwezi sahau. Watu walijua malaria imepanda kichwani ndo maana nalia na kutikisika kichwa kama nina mapepo. Halafu kwenda kupimwa nikakutwa na malaria mbili kweli bila kujua ni weed nililishwa.
Mkuu ume nikumbusha kunasehemu nilienda kuliwa na party full shangwe tukala kilaji mwisho wa siku mwenye nyumba akaleta kekiZenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mzee wa misosi yani wewe akili yako imejaa msosi, hebu rudi kule kwenye jukwaa lako la misosiZenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Uwiii Ngoja nivuteHakika mkuu hapo ndio utafaidi kazi za brain yako ila pindi ukiivuta ue unaongea maneno haya,,,,bangi nakuvuta nifungue fikra na fahaumu na unipe uwezo wa kuona mbali na unipande kichwani na sio kwingine hakika utaona kilicho fichwa ambacho kwa macho ya kawaida huwezi yaona
Nilikutana na rafiki angu club kabeba kama 6 hivi. Akaniambia chukua moja. Na mie kwa uroho nikachukua. Yaliyonikuta sasa. Nikasema ntavuta bangi yenyewe nione ikoje. Nikavuta nikaipenda kiukweli ila sigara sijawahihahahah ulidanganyanywe? dah pole !mie bangi au masigara sijawah gusa wala kufikiria aisee ! kwanza kichwa changu ni gas alafu niongezee tena gas uwiii !
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole mkuuMkuu ume nikumbusha kunasehemu nilienda kuliwa na party full shangwe tukala kilaji mwisho wa siku mwenye nyumba akaleta keki
Ebwana siunajuwa ukiwa umesha pata moja moto nyengine baridi kikija kitu chochote kile cha kula kula unakuwa huna haya,nika anza kufakamia ile keki mwisho wa siku mungu anajuwa kilicho tokea
Nilikuja kuamka siku inayo fuata na kumbukumbu zote alikuwa nazo mpiga picha siwezi sahau.
[emoji2][emoji2][emoji2]Ni kweli kabisa kwamba Uvutaji wa Bangi / Bange huwa ' unawadatisha ' Wavutaji hadi wanafanya mambo ya ajabu kabisa na ya Kustaajabisha ila sijawahi kuona mvutaji yoyote wa hiyo Kitu ' anadata ' halafu anaenda Kunya ( Wazaramo wanasema Kuukweka ) pale Getini Ikulu au Geti la Kuingia Lugalo au katika ngazi za Jengo la Central Police pale Stesheni. Nitashukuru nikijibiwa ni kwanini hao Wavutaji wote pamoja na ' Kudata ' Kwao kote kwa huo Ulaibu / Kilevi huwa wanakuwa na nidhamu na umakini wa hali ya juu katika hayo maeneo nyeti na muhimu niliyoyataja.
Nilikutana na rafiki angu club kabeba kama 6 hivi. Akaniambia chukua moja. Na mie kwa uroho nikachukua. Yaliyonikuta sasa. Nikasema ntavuta bangi yenyewe nione ikoje. Nikavuta nikaipenda kiukweli ila sigara sijawahi
[emoji1] [emoji1] bangi haivutwi na njaa[emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Mzee wa misosi yani wewe akili yako imejaa msosi, hebu rudi kule kwenye jukwaa lako la misosi
Sodoma sio starehe ile. Ila weed mama hata nikiolewa ntakua napiga mara moja moja. Sasa hivi muda tu na mazingira vinanifanya nisiitumie ila naielewa sanahahha kum,be ukaipenda !duh hatarious !ila niraha sana kupitia haya ujanani !ukiolewa unatulia zako tuliii !yan hakikisha hakuna starehe ambayo hujaifanya ! except mambo ya sodoma !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umenikumbusha mbali sana[emoji38] [emoji38] kipindi bado nipo kijana unaambiwa siku moja tulipika bangi ya nazi tukala na ugali, unaambiwa kilichofatia hapo[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] tulilala tangu tumalize kula kwenye saa 9 mchana hadi siku ya pili asubuhi ndio tunashtuka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mkuu ume nikumbusha kunasehemu nilienda kuliwa na party full shangwe tukala kilaji mwisho wa siku mwenye nyumba akaleta keki
Ebwana siunajuwa ukiwa umesha pata moja moto nyengine baridi kikija kitu chochote kile cha kula kula unakuwa huna haya,nika anza kufakamia ile keki mwisho wa siku mungu anajuwa kilicho tokea
Nilikuja kuamka siku inayo fuata na kumbukumbu zote alikuwa nazo mpiga picha siwezi sahau.
HahahahahahaaWe jamaa unaonekana mtoto sana.
Na bangi hauijui unaisikia tu tena si ajabu hata kuishika hujawahi.
Na kama umeshawahi basi walikuwa wanakuvutisha kinyesi na majani ya mpapai we ukidhani unavuta bangi