Bangi ni mbaya sana

Bangi ni mbaya sana

Mpulizo mmoja unakaa miaka saba kichwani.. Kwahyo ukipuliza siku moja hyo bangi itakaa kichwan kuanzia miaka saba nakuendelea.. Sasa ukiwa mpulizaji maana yake wewe ni kichwa bangi unafikili Kwa kutumia bangi n.k
Acha uwongo ww kuwaongopea watu inakaa miaka yote hiyo inafanya nini kichwani kwan haina mambo mengine ya kufanya.
 
hahahaha we jamaa hatari sana
Bro asikwambie mtu, magari ya Polisi kule yanazunguka tu, wakitimba maskani wanakuta wana wanakula kashata wanaishia zao. Sasa hapo watamkamata nani na kidhibiti nini?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Zenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hiyo mbona ipo mpaka bara
 
Bangi jaman mmea wa ajabu sana nilijalibu kuivuta kiukweli kunavitu nimevigundua kumbe kwa akili ya kawaida huwezi kuvijua kunavitu kabisa inakuonesha ambavyo ukiwa ktk hali ya kawaida huwezi kuvijua kwa uelewa wetu wa kawaida huwezi jua sema inakufanya kujitenga na nimegundua kumbe ndio maana inazuiliwa kutumiwa coz unakua muelewa automatically afu inakuletea fikra + sema inahitaji brain ya kustahimili mikikimikiki yake
Umevuta mara ngapi?
 
Magufuli weka grease kidogo, vijana wanaongelea bangi kama vile ni sawa na kutafuna chewing gum.
Tena aanze mafuta ya breki ili kutoa kutu, halafu ndo grisi ifuate.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ok, siku nikienda nitakuchukulia. Shem wangu mmoja hivi kuna siku alikatisha pande flani, akakuta kashata bila kujua kuwa ndio za bangi akanunua na kuzila akiwa na mwenziwe, [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] umaambiwa walilazwa hospitali siku3 wakiwa hawana fahamu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
sio bhangi. ni kungu kwa ajili ya wanawake kurembua
 
Ulipovuta umegundua kitu gani kipya mkuu?
 
sio bhangi. ni kungu kwa ajili ya wanawake kurembua
Mkuu kwenye anga hizi mimi sio mshamba kivile. Nimesema kashata za bangi. Hayo ya kungu yametokea wapi? kuna uji wa kungu tena sio kungu tu bali inaitwa kungu manga. Huo uji wa kungu manga ndio huutumia wanawake kwa ajili ya muonekano sexy wa macho yao.
Una maoni?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Mkuu kwenye anga hizi mimi sio mshamba kivile. Nimesema kashata za bangi. Hayo ya kungu yametokea wapi? kuna uji wa kungu tena sio kungu tu bali inaitwa kungu manga. Huo uji wa kungu manga ndio huutumia wanawake kwa ajili ya muonekano sexy wa macho yao.
Una maoni?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ndio izo sasa wanatengenezea kashata ila wengi wanasema ni bhqngi. Anyway sio Ishu sana tunanadilishana uzoefu tuu
 
Zenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hata bongo zipo. Tena huku wana mpaka queen cake za weed.
 
Back
Top Bottom