Nadhani ni kwasabu walikula bila kujua, walizidisha dose labdaOk, siku nikienda nitakuchukulia. Shem wangu mmoja hivi kuna siku alikatisha pande flani, akakuta kashata bila kujua kuwa ndio za bangi akanunua na kuzila akiwa na mwenziwe, [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] umaambiwa walilazwa hospitali siku3 wakiwa hawana fahamu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Yaani unaambiwa zile kashata kiboko, yaani hakuna kinachotupwa kwenye mmea, vyote vinasagwa na kuchanganywa, ukipata 2 tu zinatosha kwa siku, sasa wao sijui walikula ngapi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Nadhani ni kwasabu walikula bila kujua, walizidisha dose labda
Kweli kabisa hii mbona ukiwa na brain ya kitoto inakutikisa mbayaKuna jamaa alivuta akaenda duka la simu kuulizia toilet paper.
Mkuu hii haina cha vyuma kukaza wala nn huu ni ukweli usio pingika bangi inafungua brain naomba amin nacho kwambia na ndio maana inazuiliwaMagufuli weka grease kidogo, vijana wanaongelea bangi kama vile ni sawa na kutafuta chewing gum.
Hizo hazi fungui brain kama ya kuvuta naima ya kuvuta inanguvu zaidiZenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Sina uhakika kama za kashata zinauwezo wa kufungua brain kama ilivyo kwenye zile za kuvutaNataka hizo..seriously
Hakika mkuu hapo ndio utafaidi kazi za brain yako ila pindi ukiivuta ue unaongea maneno haya,,,,bangi nakuvuta nifungue fikra na fahaumu na unipe uwezo wa kuona mbali na unipande kichwani na sio kwingine hakika utaona kilicho fichwa ambacho kwa macho ya kawaida huwezi yaonaMe natamani Siku moja Nijaribu kuvuta hii kitu nijue inafananaje....
Kweli bangi inahitaji brain ambayo haiteteleki ndio utaona maajabu yakeYou won't regret..trust me, ila kichwa chako kiwe kizuri.
Na ukiivuta usiwaze hizo fikra we ivute tu kama unavuta sigara alafu kama ukiona inakufungua kichwa saana kunywa maji ya baridi au kula muwa utaipunguza uwezo wake wa kufungua brainDah itabidi Nimwambie hubby asitoke Siku hiyo ili nikianza kuwa kichaa anidhibiti
Na usiivute tena ukiona hivo jua brain yako haiwezi kishindo cha bange bange ikikubali utaona ukishamaliza tu kuivuta bas unakaa kimya utatulia sana na kama ukiwa na bando ingia mtandaon labda insta utaona inavyo kufungua brainNlivuta nikiwa o level huko kwetu Arusha shule ya boarding , nlivutia nyuma ya bweni majira ya jioni. Kengele ya parade ya saa kumi na mbili jioni ikagongwa mm nikaingia Dom nkachukua bible nkaenda nayo assemble. Kufika nikapanda pale mbele nikaanza hubiri.
Nashukuru Mungu mwalimu wa zamu alikua siyo mnoko,walinipeleka wakanifungia Dom ,asbh nkachezea stick kadhaa yakaisha. Sikuwahi vuta hadi leo
Nakataa mkuu bange haitaji uivute ngingi yenyewe ukipiga kisokoto kimoja baas inatoshaBangi ni kitu Cha kawaida tu.. stimu yake ni kama sigara.. sema ukivuta kete nyingi afu ni siku yako ya Kwanza .. lazima ujione upo juu juu.
Selikali hawataki watu wajue mambo ya kidunia na bangi inauwezo wa kukuonesha mambo mengi sana yanayoendelea na yanayokuja hakika bangi naielewa saana sema kuna watu waitumia vibaya wakichanganya na vitu vingineMarijuana is spiritual for me. It's all about connecting to the plant. When I use herbs I use my hands to break it down. When I spliff some I set intentions.....and it's all good.
For those who don't know marijuana has been used in India, Africa and America for centuries.
Don't let the system fool you.
Good for tuberculosis
Good for asthma
Good for the flu
Good for healing the depression.
I think the society should be educate about the many benefits of this plant.
And yes herbs is not for everyone.
For example children, people with history of mental illness, pregnant mothers
Don't use it because the next person use it.
Herbs only for the wise
Big ups all cities and countries that have legalized the plant for medical use and recreational use.
Hapana mkuu sema hii kitu inaitaji brain ambayo ipo active sana kuna watu wenye brain nzito ndio inawafanya kufikilia hivoTayari imesha kuteka mzee, sasa tegemea kuwa na ndoto zisizo tekelezeka maisha yako yote,
Kama kuwaza kwenda america kwa mguu
Nadhani ni kwasabu walikula bila kujua, walizidisha dose labda
Marijuana inaweza vipi kukuonesha mambo ya kidunia?Selikali hawataki watu wajue mambo ya kidunia na bangi inauwezo wa kukuonesha mambo mengi sana yanayoendelea na yanayokuja hakika bangi naielewa saana sema kuna watu waitumia vibaya wakichanganya na vitu vingine
Kwahiyo wewe brain yako iko suitable na ganja mkuuHapana mkuu sema hii kitu inaitaji brain ambayo ipo active sana kuna watu wenye brain nzito ndio inawafanya kufikilia hivo