Bangi ni mbaya sana

Bangi ni mbaya sana

Wale wavutaji wa bangi, Je bangi ilishawahi kukusababishia ufanye kitu gani cha kushangaza/Kuchekesha?

Tunaona wengine huko bangi imewafanya watembee suruari nusu matako,wengine nywele tim tim kama vichaa,bila kusahau wengine wamebaki skeleton kama Daz baba,

Je wewe bangi ilishawahi kukufanya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yupo jamaa flan nlisoma nae.. jamaa alivuta pafu moja.. mshkaji alivorudi nyumbani.. zikamtuma kua afanye usafi wa ndani.. akaanza kutoa kitu kimoja kimoja.. akikuta kijiko anakitoa.. alifanya hivyo mpka na magodoro akaacha vitanda tuu coz hakua na spana.. baada ya kumaliza akaamua alale juu ya zile godo nje aote jua la saa nane.. usingizi ukambeba hadi usiku saa mbili mama yake anarudi kutoka kazini... mpk leo mama yake hajui nini kilimtokea!!
 
Siku ya kwanza bila kushawishiwa na mtu yoyote kwa kutumia akili yangu nilienda kununua bangi nikiwa peke yangu nikachukuwa mbili ambazo wamesha zianda nikaenda chini ya mti na keberiti changu nikawasha nikapiga zote mbili nikahisi tofauti fulani hivi dah nikaenda zangu kusoma vitabu vangu dah nikajiona kama ninasoma ninacho kiona live nilikuwa nina soma kitabu cha MIRADHI YA HATARI DAH SITASAHAU HICHI KITABU STORY YAKE MWENYE KUJUWA NITAKIPATA WAP PLS ANIJUZE NITAMPA ATA KAZAWADI!
 
Miaka ya 90 wazazi wangu walikuwa na mpangaji wao anakaa chumba cha nje, jamaa alikuwa msela sana na tulizoeana kibahati kwani tulikuwa hatuonani mpaka niende kwa wazazi kuwatembelea. Siku ya siku jamaa akaniambia nitoke chumbani kwake kwa sababu anataka kulipuliza, sikumuelewa.....akaniambia kinaga ubaga kuwa anataka kuvuta bangi na hataki nimuone kwani hataki kunitia matatizo na wazee wangu. Nikamwambia isiwe noma, tuvute wote huku nikijipa ujasiri kwamba LAZIMA nimuonyeshe huyu jamaa kuwa mimi ni mvutaji pia wakati nilikuwa sijawahi kuvuta hata siku moja. Tukalipuliza la kwanza, sikusikia kitu....akawasha lingine, tukalipuliza...hapa ndipo nikaona naanza kupaa mle chumbani mwa yule yanki. Nikamuuliza...hivi tuliingia saa ngapi ndani ya hili daladala mbona sikumbuki, naye akaniuliza...daladala gani mbona bado tuko getoni? Ghafla akapita mende, wacha nikimbizane naye mpaka uwani huku nikimtukana matusi ya hajabu....yaani hapa nilikuwa sikumbuki kama niko home kwa wazee. Nikaitiwa chakula, ile tunaanza kula dingi akaniuliza kama nimelewa nikamkatalia. Tunaanza kula tu, nikajikatia tonge langu la ugali nikapamba kwenye maji tuliyonawia, dingi akashindwa kunivumilia. Akanipiga kofi la uso na kuniambia nitoke mara moja huku akiwa kasimama, nikajuwa hapa nakula mkong'oto, nikakimbilia uwani kujificha maana dingi alishajuwa nilikuwa under the influence. Huko uwani sasa, nikajisikia baridi kali inajaa mwilini....katika kumuepuka baba, nikaenda kujifungia ndani ya banda la mbwa usiku kucha. Kuhamka asubuhi mwili wote unanuka mimavi ya mbwa na mengine nilikuwa nimeyalalia kichwani. Jamani bangi si chezo haswa kwa wanaojifunza.
Jamaniiii nmecheka mpk nhc kuumwa ha ha ah aha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 90 wazazi wangu walikuwa na mpangaji wao anakaa chumba cha nje, jamaa alikuwa msela sana na tulizoeana kibahati kwani tulikuwa hatuonani mpaka niende kwa wazazi kuwatembelea. Siku ya siku jamaa akaniambia nitoke chumbani kwake kwa sababu anataka kulipuliza, sikumuelewa.....akaniambia kinaga ubaga kuwa anataka kuvuta bangi na hataki nimuone kwani hataki kunitia matatizo na wazee wangu. Nikamwambia isiwe noma, tuvute wote huku nikijipa ujasiri kwamba LAZIMA nimuonyeshe huyu jamaa kuwa mimi ni mvutaji pia wakati nilikuwa sijawahi kuvuta hata siku moja. Tukalipuliza la kwanza, sikusikia kitu....akawasha lingine, tukalipuliza...hapa ndipo nikaona naanza kupaa mle chumbani mwa yule yanki. Nikamuuliza...hivi tuliingia saa ngapi ndani ya hili daladala mbona sikumbuki, naye akaniuliza...daladala gani mbona bado tuko getoni? Ghafla akapita mende, wacha nikimbizane naye mpaka uwani huku nikimtukana matusi ya hajabu....yaani hapa nilikuwa sikumbuki kama niko home kwa wazee. Nikaitiwa chakula, ile tunaanza kula dingi akaniuliza kama nimelewa nikamkatalia. Tunaanza kula tu, nikajikatia tonge langu la ugali nikapamba kwenye maji tuliyonawia, dingi akashindwa kunivumilia. Akanipiga kofi la uso na kuniambia nitoke mara moja huku akiwa kasimama, nikajuwa hapa nakula mkong'oto, nikakimbilia uwani kujificha maana dingi alishajuwa nilikuwa under the influence. Huko uwani sasa, nikajisikia baridi kali inajaa mwilini....katika kumuepuka baba, nikaenda kujifungia ndani ya banda la mbwa usiku kucha. Kuhamka asubuhi mwili wote unanuka mimavi ya mbwa na mengine nilikuwa nimeyalalia kichwani. Jamani bangi si chezo haswa kwa wanaojifunza.
Hahahaha aisee,,bangi sio majani ya mpapai yale,kila mtu avute tu
 
Miaka ya 90 wazazi wangu walikuwa na mpangaji wao anakaa chumba cha nje, jamaa alikuwa msela sana na tulizoeana kibahati kwani tulikuwa hatuonani mpaka niende kwa wazazi kuwatembelea. Siku ya siku jamaa akaniambia nitoke chumbani kwake kwa sababu anataka kulipuliza, sikumuelewa.....akaniambia kinaga ubaga kuwa anataka kuvuta bangi na hataki nimuone kwani hataki kunitia matatizo na wazee wangu. Nikamwambia isiwe noma, tuvute wote huku nikijipa ujasiri kwamba LAZIMA nimuonyeshe huyu jamaa kuwa mimi ni mvutaji pia wakati nilikuwa sijawahi kuvuta hata siku moja. Tukalipuliza la kwanza, sikusikia kitu....akawasha lingine, tukalipuliza...hapa ndipo nikaona naanza kupaa mle chumbani mwa yule yanki. Nikamuuliza...hivi tuliingia saa ngapi ndani ya hili daladala mbona sikumbuki, naye akaniuliza...daladala gani mbona bado tuko getoni? Ghafla akapita mende, wacha nikimbizane naye mpaka uwani huku nikimtukana matusi ya hajabu....yaani hapa nilikuwa sikumbuki kama niko home kwa wazee. Nikaitiwa chakula, ile tunaanza kula dingi akaniuliza kama nimelewa nikamkatalia. Tunaanza kula tu, nikajikatia tonge langu la ugali nikapamba kwenye maji tuliyonawia, dingi akashindwa kunivumilia. Akanipiga kofi la uso na kuniambia nitoke mara moja huku akiwa kasimama, nikajuwa hapa nakula mkong'oto, nikakimbilia uwani kujificha maana dingi alishajuwa nilikuwa under the influence. Huko uwani sasa, nikajisikia baridi kali inajaa mwilini....katika kumuepuka baba, nikaenda kujifungia ndani ya banda la mbwa usiku kucha. Kuhamka asubuhi mwili wote unanuka mimavi ya mbwa na mengine nilikuwa nimeyalalia kichwani. Jamani bangi si chezo haswa kwa wanaojifunza.
Nimecheka sana kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo siku nasema ipo siku tu mmea utaruhusiwa tuachane na ukiritimba wa kiBabylon.
 
Marijuana is spiritual for me. It's all about connecting to the plant. When I use herbs I use my hands to break it down. When I spliff some I set intentions.....and it's all good.

For those who don't know marijuana has been used in India, Africa and America for centuries.

Don't let the system fool you.

Good for tuberculosis

Good for asthma

Good for the flu

Good for healing the depression.

I think the society should be educated about the many benefits of this plant.

And yes herbs is not for everyone.

For example children, people with history of mental illness, pregnant mothers

Don't use it because the next person use it.

Herbs only for the wise

Big ups all cities and countries that have legalized the plant for medical use and recreational use.
Umeandika na kingeleza kabisa, bangi mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom