Captain-Sparta
Senior Member
- Sep 9, 2016
- 175
- 172
Ndan ya kitu cha arachuga The good blessed weed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeeeeeeee [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nilivuta bangi na nikaondoka kwenda kazini asubuhi, ile nafika stendi nikaanza kupiga debe hadi jioni.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Kweli wew viatu vya samakiNilivuta bangi na nikaondoka kwenda kazini asubuhi, ile nafika stendi nikaanza kupiga debe hadi jioni.
😆😆😆😆😆mkuu umetishaNilivuta bangi na nikaondoka kwenda kazini asubuhi, ile nafika stendi nikaanza kupiga debe hadi jioni.
Jamaniiii nmecheka mpk nhc kuumwa ha ha ah ahaMiaka ya 90 wazazi wangu walikuwa na mpangaji wao anakaa chumba cha nje, jamaa alikuwa msela sana na tulizoeana kibahati kwani tulikuwa hatuonani mpaka niende kwa wazazi kuwatembelea. Siku ya siku jamaa akaniambia nitoke chumbani kwake kwa sababu anataka kulipuliza, sikumuelewa.....akaniambia kinaga ubaga kuwa anataka kuvuta bangi na hataki nimuone kwani hataki kunitia matatizo na wazee wangu. Nikamwambia isiwe noma, tuvute wote huku nikijipa ujasiri kwamba LAZIMA nimuonyeshe huyu jamaa kuwa mimi ni mvutaji pia wakati nilikuwa sijawahi kuvuta hata siku moja. Tukalipuliza la kwanza, sikusikia kitu....akawasha lingine, tukalipuliza...hapa ndipo nikaona naanza kupaa mle chumbani mwa yule yanki. Nikamuuliza...hivi tuliingia saa ngapi ndani ya hili daladala mbona sikumbuki, naye akaniuliza...daladala gani mbona bado tuko getoni? Ghafla akapita mende, wacha nikimbizane naye mpaka uwani huku nikimtukana matusi ya hajabu....yaani hapa nilikuwa sikumbuki kama niko home kwa wazee. Nikaitiwa chakula, ile tunaanza kula dingi akaniuliza kama nimelewa nikamkatalia. Tunaanza kula tu, nikajikatia tonge langu la ugali nikapamba kwenye maji tuliyonawia, dingi akashindwa kunivumilia. Akanipiga kofi la uso na kuniambia nitoke mara moja huku akiwa kasimama, nikajuwa hapa nakula mkong'oto, nikakimbilia uwani kujificha maana dingi alishajuwa nilikuwa under the influence. Huko uwani sasa, nikajisikia baridi kali inajaa mwilini....katika kumuepuka baba, nikaenda kujifungia ndani ya banda la mbwa usiku kucha. Kuhamka asubuhi mwili wote unanuka mimavi ya mbwa na mengine nilikuwa nimeyalalia kichwani. Jamani bangi si chezo haswa kwa wanaojifunza.
Hahahaha aisee,,bangi sio majani ya mpapai yale,kila mtu avute tuMiaka ya 90 wazazi wangu walikuwa na mpangaji wao anakaa chumba cha nje, jamaa alikuwa msela sana na tulizoeana kibahati kwani tulikuwa hatuonani mpaka niende kwa wazazi kuwatembelea. Siku ya siku jamaa akaniambia nitoke chumbani kwake kwa sababu anataka kulipuliza, sikumuelewa.....akaniambia kinaga ubaga kuwa anataka kuvuta bangi na hataki nimuone kwani hataki kunitia matatizo na wazee wangu. Nikamwambia isiwe noma, tuvute wote huku nikijipa ujasiri kwamba LAZIMA nimuonyeshe huyu jamaa kuwa mimi ni mvutaji pia wakati nilikuwa sijawahi kuvuta hata siku moja. Tukalipuliza la kwanza, sikusikia kitu....akawasha lingine, tukalipuliza...hapa ndipo nikaona naanza kupaa mle chumbani mwa yule yanki. Nikamuuliza...hivi tuliingia saa ngapi ndani ya hili daladala mbona sikumbuki, naye akaniuliza...daladala gani mbona bado tuko getoni? Ghafla akapita mende, wacha nikimbizane naye mpaka uwani huku nikimtukana matusi ya hajabu....yaani hapa nilikuwa sikumbuki kama niko home kwa wazee. Nikaitiwa chakula, ile tunaanza kula dingi akaniuliza kama nimelewa nikamkatalia. Tunaanza kula tu, nikajikatia tonge langu la ugali nikapamba kwenye maji tuliyonawia, dingi akashindwa kunivumilia. Akanipiga kofi la uso na kuniambia nitoke mara moja huku akiwa kasimama, nikajuwa hapa nakula mkong'oto, nikakimbilia uwani kujificha maana dingi alishajuwa nilikuwa under the influence. Huko uwani sasa, nikajisikia baridi kali inajaa mwilini....katika kumuepuka baba, nikaenda kujifungia ndani ya banda la mbwa usiku kucha. Kuhamka asubuhi mwili wote unanuka mimavi ya mbwa na mengine nilikuwa nimeyalalia kichwani. Jamani bangi si chezo haswa kwa wanaojifunza.
Nimecheka sana kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Miaka ya 90 wazazi wangu walikuwa na mpangaji wao anakaa chumba cha nje, jamaa alikuwa msela sana na tulizoeana kibahati kwani tulikuwa hatuonani mpaka niende kwa wazazi kuwatembelea. Siku ya siku jamaa akaniambia nitoke chumbani kwake kwa sababu anataka kulipuliza, sikumuelewa.....akaniambia kinaga ubaga kuwa anataka kuvuta bangi na hataki nimuone kwani hataki kunitia matatizo na wazee wangu. Nikamwambia isiwe noma, tuvute wote huku nikijipa ujasiri kwamba LAZIMA nimuonyeshe huyu jamaa kuwa mimi ni mvutaji pia wakati nilikuwa sijawahi kuvuta hata siku moja. Tukalipuliza la kwanza, sikusikia kitu....akawasha lingine, tukalipuliza...hapa ndipo nikaona naanza kupaa mle chumbani mwa yule yanki. Nikamuuliza...hivi tuliingia saa ngapi ndani ya hili daladala mbona sikumbuki, naye akaniuliza...daladala gani mbona bado tuko getoni? Ghafla akapita mende, wacha nikimbizane naye mpaka uwani huku nikimtukana matusi ya hajabu....yaani hapa nilikuwa sikumbuki kama niko home kwa wazee. Nikaitiwa chakula, ile tunaanza kula dingi akaniuliza kama nimelewa nikamkatalia. Tunaanza kula tu, nikajikatia tonge langu la ugali nikapamba kwenye maji tuliyonawia, dingi akashindwa kunivumilia. Akanipiga kofi la uso na kuniambia nitoke mara moja huku akiwa kasimama, nikajuwa hapa nakula mkong'oto, nikakimbilia uwani kujificha maana dingi alishajuwa nilikuwa under the influence. Huko uwani sasa, nikajisikia baridi kali inajaa mwilini....katika kumuepuka baba, nikaenda kujifungia ndani ya banda la mbwa usiku kucha. Kuhamka asubuhi mwili wote unanuka mimavi ya mbwa na mengine nilikuwa nimeyalalia kichwani. Jamani bangi si chezo haswa kwa wanaojifunza.
Hiyo kitu baba iko vizuri ni noumahZenji siku hizi kuna kashata za bangi, yaani hadi raha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Babu uko zenji? dah yaani hadi nimezitamani. Kama utapata nafasi au kuzipata tushtuane ndugu.
Umeandika na kingeleza kabisa, bangi mbaya sanaMarijuana is spiritual for me. It's all about connecting to the plant. When I use herbs I use my hands to break it down. When I spliff some I set intentions.....and it's all good.
For those who don't know marijuana has been used in India, Africa and America for centuries.
Don't let the system fool you.
Good for tuberculosis
Good for asthma
Good for the flu
Good for healing the depression.
I think the society should be educated about the many benefits of this plant.
And yes herbs is not for everyone.
For example children, people with history of mental illness, pregnant mothers
Don't use it because the next person use it.
Herbs only for the wise
Big ups all cities and countries that have legalized the plant for medical use and recreational use.