Bangi...

Bangi...

Habari ya long weekeend wadau...

Naulisa hiviiii.... Bangi ina madhara gani? I wish siku moja niijaribu walau pafu kadhaa. Pia nasikia haiumizi mapafu kama sigara....

Asante kwa mchango wako....

Bangi hoyeee....... :bange: :bange:

C.C. Karucee, sakapal
evelyn.jpg
 
...masalewa wangu nipe kitu cha arushaa,ili niweze kuwaamsha,acha kaya ya sakumi na mbili asubui afu unaingia job dar raha sana maana unafanya yako tu
 
Aiseee kumbe haina madhara...let me start 2014 with this kitu. May be maisha yataninyookea
 
Ikikutaaa unakua chizii kwa mwanamke unakua na kibesiiiiii achana nayo
 
nilipokula mmea wa babu wa polising'ing'isi kichwa kilitangulia mbele nikawahi kukidaka jombi, kula tu hizi maniaje ila usizidishe.
 
Punguza basi kisha uache kabisa,foolish age ishakutupa mkono. Achana nayo mama mzazi.

Nani alikwambia kuvuta bangi ni foolish age?????
Karucee hebu kuja pande hivi kuna mutu ananitibuwaaaaa!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom