Wacha weee.... Ntamuona Obama na mkewe eeeh???
Mkuu... ndo bangi zimeanza nini???
Huyo atakuwa alipiga na kiroba, havipatani.
Aiseee kumbe haina madhara...let me start 2014 with this kitu. May be maisha yataninyookea
Walioonyookewa wote wanapuliza?
Mawazo yangu tu. ..There's nothing wrong with that
charminglady kale kanchi kaliona thread yako nini kitu kimehalalishwa
Ikikutaaa unakua chizii kwa mwanamke unakua na kibesiiiiii achana nayo
Nshaizoea aisee.... Iko poaaaa!!!
Watu tupo kwenye ndoa zetu na tunavuta bange.
Hujui acha.
Usitutukanie makitu yetu.