Uchaguzi 2020 Bango la Magufuli limenishangaza sana

Eee safi sana Lisu anapinga ununuzi wa ndege pia za Tanzania halafu kampeni anapanda ndege ya kukodi toka Kenya ya Jambo Air hataki nchi yake iwe na ndege Ila majirani zetu wawe nazo tuwe tunaenda kukodi kwao hapandi ATCL hela hataki ibaki nchini wakala wa mabeberu Lisu

Tanzania ndege ndogo za kukodi ziko kibao lakini hakodi anaenda kenya
 
Sijaribiwi
 
Post ni nzuri lkn ipo bias unge
Ongea na mazuri japo hata kidogo
 
Dahhhh mim ni Green ila kwa hapa sina la kuzungumza.. Itafahamikaga
 
😳 hata wewe! Siku hizi umebadilika?
 
Kama hapa msanii wa Bingo fleva Linex anavyomsujudia
 
Ndio sera za chadema hizo??
 
Hawa waliotengeneza hilo bango wapewe kesi ya uhujumu uchumi tu.

Yeye mzee baba alishasema yeye ni Jiwe tena jiwe kweli kweli halafu hawa wanakuja sifa za mambo ya unyenyekevu.

Jiwe vs Unyenyekevu wapi na wapi.
 
Nimechelewa kidogo kuliona bandiko. Lakini hii ni real . Hakuna cha kuongeza hapo
 


nimeiliona Jana nikatamani kulipiga picha nikaishia kucheka...mwenyewe kafumbata mikono kabisa! Uchawi kabisa yaani
 
Wanaojipendekeza ili kutafuta vyeo
 
Nime kusalimia kiongozi SHIKAMOO hakika wewe ni MTU unaejua hongera zako zikufikie popote ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…