Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
- Thread starter
-
- #101
Unasema iliyo Kwelimm mtu mwenye busara namheshimu sana,
ku handle pressure ya member wa jf waliobeba mbegu za mapapai na maganda ya karanga kichwani bila ku fume inahitaj mtu mwenye courage sana.
M nakupongeza tuu kwa hilo,
Cc sponsor
Marekani matajiri Wana nyodo Tena za kuua mtu ukitaka pesa waweza kukuambia kubali ushoga na usagaji tuku shoge na kukusaga ndio tukupe pesa.mwenye pesa ana nyodo asikudanganye mtu .Lofa Ndie hujifanya mtu wa watu kila msiba yupo kujionyesha mtu wa watu tajiri walaWatu ambao wana type nyuma ya keyboard kutuaminisha wana pesa kumbe hamna kitu ...na by the way hakuna tajiri aliyeishi miaka mingi mwenye majivuno na dharau na kejeli kwa watu
Wewe una umimi Sana ohh najua itanilipa biashara ya kukopeshana anatakiwa na anayekukopesha aridhike kuwa pesa yake itarudi.Sio ohhh mimi.ninayekopa najua najua pesa nitapata nyingi nk.kaa na ujuaji wako na umimi wako.wewe tapeli full stop sichangii Tena hi mada yako .To hell with youHaiwezi fika huko sababu nitachoifanyia hio ela najua kitajiuza chenyewe
Akipita hapa akaonaa,utajutaHahahahahaha acha ujinga ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fedha inarudi tena yote hata kabla ya huo muda ambao umepangwa katika mikataba.Wewe una umimi Sana ohh najua itanilipa biashara ya kukopeshana anatakiwa na anayekukopesha aridhike kuwa pesa yake itarudi.Sio ohhh mimi.ninayekopa najua najua pesa nitapata nyingi nk.kaa na ujuaji wako na umimi wako.wewe tapeli full stop sichangii Tena hi mada yako .To hell with you
Unaota dogoFedha inarudi tena yote hata kabla ya huo muda ambao umepangwa katika mikataba.
Sioti! nasema jambo ninalolijuaUnaota dogo
Akipita hapa akaonaa,utajuta
Asante,asante,asante sana.TIMIZA
Hapo ndio mahali sijawai kuona nyumba inauzwa na bank halafu haiuziki.Usipolipa mkopo Huo wewe mkopaji mwenye hiyo dhamana ya nyumba mkopeshaji pesa yake itarudije wakati nyumba haiuziki?
Asante Kiongozi kwa maelekezo mazuriJaribu ku-google bank kadhaa kwenye mtandao uone ipi inaweza kukupatia mkopo kutokana na Asset uliyonayo;baada ya hapo fika ofisini kwao idara ya mikopo kwa maelezo. Au kama wazo lako unaliamini lina faida.....uza nyumba yako utekeleze ndoto yako;kidogo ulichonacho kitakupa fursa kwenda hatua nyingine.
Wazo langu kutokana na lilivyo wazo linalokwenda kuzaliana kwa kasi "Sitaweza Kuliweka Hadharani" Sababu Usimamizi wake ni rafiki kwa mtu yeyote.Ikiwa una Fedha karibu tufanye kazi.Ndio hivyo mkuu,kukopeshwa 50M kwa mtu asiyekuwa na 'cashflow' inayoeleweka ni ngumu...ndio maana tunashauriwa tuanze kidogokidogo baadaye ndio tuikuze biashara. Wazo lingine ambalo ni gumu pia,ungeweza kuweka mchanganuo wa biashara unayotaka kufanya...ili wadau waupime ikiwezekana wachangie kwa mfumo wa hisa.
Wanapatikana wapi hawa? Je wana matawi Mikoani ?Nenda EFTA . mikopo bila dhamana ,lakini uwe na 5% ya hiyo pesa
.
Kwa vile una nyumba utaiombea mkopo wa 2,500,000/= , kisha utapata hiyo 50,000,000/=.
OK,
naona unataka kuiba wazo lake. huna lolote. kwanza kumbuka mtoa uzi hajaomba akopeshwe na members humu.Wewe una umimi Sana ohh najua itanilipa biashara ya kukopeshana anatakiwa na anayekukopesha aridhike kuwa pesa yake itarudi.Sio ohhh mimi.ninayekopa najua najua pesa nitapata nyingi nk.kaa na ujuaji wako na umimi wako.wewe tapeli full stop sichangii Tena hi mada yako .To hell with you
[emoji847][emoji847][emoji847]Unajua acha ujinga hahahahhahahahaha ha dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unanitafutia balaa mchana kweupe[emoji847][emoji847][emoji847]