Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpana mkuu ni pesa ambayo nlikua najiwekea kwa lengo kuja kufikia milion 2 na nusu mwakan so sitaki kuitumia ovyo nisije harib malengoUngeomba msaada basi juu ya wazo la kibiashara,.au pesa imekuja ghafla mzeiyaa[emoji4][emoji4](kidding)
Labda wanataka twende kwenye page zaoKwanini wadau wa mabenk awajagi kujibu haya maswali jf na kutumia nafasi hii kujinadi pumbavuu zao
Kwenye hisa itakuaje kama kampuni itapata mgogoro na mm nitakua nmenunua hisa japo sina mtaji mkubwa si naweza kuishiwa kabisaKanunue hisa
share rates zaoExim bank is one of the best kwa ufahamu wangu.... They are better kuliko Crdb, nmb na wengineo.
Sijajua kuhusu other international banks za hapa nchini
basi tuseme iwekwe sehemu ama benki ambayo ukiweka hela inakua safe na unakua huna wasiwasi hata kama utaikuta kama ilivyo bila kariba flani mana tunasikia benk nyingine unahifadhi unakuta hazipoHizi kauli za "tunatoa hadi % flani" ni usanii mtupu. KCB bank wana fixed account flani hivi inaitwa SIMBA savings account na hujinadi kutoa hadi 7% ila nimegundua haifiki huko.
Pia watu waelewe hii kitu vizuri. Wanaposema say 12% kwa mwaka maana yake ni 1% kwa mwezi. Kwa hiyo laki 8 wala hutaona faida ya maana unless labda lengo kuu ni kuziweka mbali ili ushishawishike kuzitumia hovyo.
"Kibubu" ni sehemu salama kabisa ambapo ukiweka hela yako unaikuta na unaweza kuichukua any time 24/7😀.basi tuseme iwekwe sehemu ama benki ambayo ukiweka hela inakua safe na unakua huna wasiwasi hata kama utaikuta kama ilivyo bila kariba flani mana tunasikia benk nyingine unahifadhi unakuta hazipo
Yes ishu ni kwamba sitaki kuitoa toa, ila akaunti ya dollar bado sijaijua vizuri zaidi
👍Yaani una maana nikiwapa milioni 5 yangu wanakaa nayo kwa miaka 2 kisha wananopa milioni 6.2?