Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

Kma ishu ni usiitumie tumie ovyo, nikushauri ufungue akaunti ya dollar. Kwenda bureau de change utaona usumbufu.
 
Exim bank is one of the best kwa ufahamu wangu.... They are better kuliko Crdb, nmb na wengineo.

Sijajua kuhusu other international banks za hapa nchini
 
Hiyo asilimia watakayokulipa toa 'inflation rate' ya wakati huo ambao umeweka ndo utapata net amount halali.
 
Habarini wanajamvi, nataka kufungua account kwa ajili ya kuhifadhi pesa, (fixed account) naomba kuuliza ni bank gani wako vizuri kwa huduma hii, asante

ni kiasi gani ulichonacho ? Je una akaunti nyingine bank yoyote kwa sasa ?
 
Ukiizungusha utaweza kupata faida zaid ndani ya mwaka kuliko kuiweka benki. more risk more profit.
 
AMANA BANK...hiyo iko vizuri.. wanapay hadi 12% kwa mwaka...
Hizi kauli za "tunatoa hadi % flani" ni usanii mtupu. KCB bank wana fixed account flani hivi inaitwa SIMBA savings account na hujinadi kutoa hadi 7% ila nimegundua haifiki huko.

Pia watu waelewe hii kitu vizuri. Wanaposema say 12% kwa mwaka maana yake ni 1% kwa mwezi. Kwa hiyo laki 8 wala hutaona faida ya maana unless labda lengo kuu ni kuziweka mbali ili ushishawishike kuzitumia hovyo.
 
NAMI NATAKA KUHIFADHI HELA KWENYE FIXED ACCOUNT ILA SIJAJAUA UTARATIBU WAKE TUSAIDIENIWENGI
Ni kama kufungua account nyingine yoyote sema hii haitakuwa na "service charge" za kila mwezi. Baadhi ya bank wanakupa option ya kuwithdrawl mara nne kwa mwaka. Wengine unaweza kuweka condition usitoe hata mia hadi mwaka upite
 
Back
Top Bottom