chief kamchicha
Member
- Jan 22, 2014
- 33
- 83
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).
Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.
Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.
Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.