Bank kutuma pesa kimakosa

Bank kutuma pesa kimakosa

Joined
Jan 22, 2014
Posts
33
Reaction score
83
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).

Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.

Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
 
Penye miti hakuna wajenzi 😔

Bora tu ungeipiga sababu walivyokupa account uwawekee haina tofauti na wewe kuipiga.
Ilitakiwa waihamishe wenyewe kama walivyotuma... Umewasaidia kupoteza ushahidi wa wizi kwa upande wao
 
Wewe warudishie tu mkuu. No matter what usiingie kwenye mtego. Haiku cost kitu kuwarudishia. Ila itaku cost usipowarudishia.

Kingine mkuu usibadili r na l. Una r kali sana!
Thanks, na kwanini wanipe account nyingine ndio niitumie kurudisha pesa yao..? Kwanini wao wenyewe wasitoe iyo pesa wakatuma wanakotaka kutuma?
 
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).

Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.

Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Jiongeze wewe hiyo michezo ipo sana ni utakatishaji huo unafanyika na wewe na akaunti yako ndio wahusika ,hakuna bahati mbaya ya hivyo kwa Bank
 
Wewe warudishie tu mkuu. No matter what usiingie kwenye mtego. Haiku cost kitu kuwarudishia. Ila itaku cost usipowarudishia.

Kingine mkuu usibadili r na l. Una r kali sana!
Tatizo ni njia anayotumia kurudisha, kama utakatishaji fedha huyu anatiwa hatiani.
Kama wamekosea ndiyo wanatakiwa warudishe au atoe ripoti kwa taasisi husika.
 
Nenda kwa branch manager, keep records za barua kuomba kufanywa marekebisho kuzuia tatizo.
Andika barua hardcopy au email kisha tunza sehemu salama.
Kuna siku unaweza kujikuta upo mikononi mwa vyombo vya sheria mfanyakazi hewa unaibia pesa taasisi fulani, au umepokea fedha ya ufisadi ukatakiwa urudishe au ukapewa kesi ya uhujumu uchumi.

Unaweza pia kupewa kesi ya kutakatisha fedha.
Kuna mtu anafanya makusudi.

TATIZO JF UONGO MWINGI, unaweza kukuta hii habari siyo ya kweli unapoteza muda kutoa ushauri.
 
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).

Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.

Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Utakuja shirikishwa jambo lisilokuhusu bila kujua. Fanya hivi, kama kuna makosa wamefanya wakaweka kwenye akaunti yako, wewe zirudishe kwenye akaunti yako wazichukue wenyewe huko. Kitendo cha kuzitoa na kuziweka kwenye akaunti nyingine, utaonekana wewe umehusika kuzitoa na kumuwekea mtu unayemjua.
 
Back
Top Bottom