msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Pesa ikitumwa kimakosa na Benki kuwasiliana na aliyetumiwa kimakosa ni jukumu la Benki kurekebisha/ kureverse hilo kosa. Kitendo cha wewe kupigiwa simu na kupewa akaunti sahihi ya kupeleka hizo pesa siyo sahihi, unaweza kuingia mtegoni kwa mchezo mchafu labda unaofanywa na huyo anayekupigia simu. Nenda kauone uongozi wa Tawi na waeleze hilo tatizo.Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).
Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.
Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
In Tanzania, if a bank mistakenly credits a customer's account and the customer withdraws those funds, the legal implications are as follows:
- Bank's Obligation to Protect Consumer Assets: Financial institutions are responsible for safeguarding consumers' assets against fraud, misappropriation, or misuse. If a loss occurs due to such issues, the institution must promptly refund the consumer, unless the consumer's negligence or fraud is proven.
- Customer's Responsibility: If a customer knowingly withdraws funds credited in error, this may be considered fraudulent behavior. The customer could be required to return the funds and may face legal action for misappropriation.
- Dispute Resolution Mechanism: Financial institutions are mandated to have mechanisms for handling consumer complaints and disputes. If a customer disputes the bank's claim regarding the erroneous credit, they should first utilize the bank's internal complaint resolution process. If unresolved, the matter can be escalated to the Bank of Tanzania's Complaints Resolution Desk.
- Regulatory Oversight: The Bank of Tanzania oversees financial institutions to ensure compliance with regulations, including the protection of consumer rights and the integrity of banking operations.
In summary, both the bank and the customer have specific obligations under Tanzanian law. The bank must protect consumer assets and address errors transparently, while the customer is expected to act in good faith and return funds not rightfully theirs. Legal consequences may ensue for customers who knowingly exploit such errors.