qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Ushauri wa bure..
Kukopa bank milioni 1-5 ni hasara tu kwako.. tafuta saccos au vicoba ujiunge ukope huko utapata hata riba ya 5%.
Kukopa bank kiasi kidogo hicho ni kujitesa na ukiangalia riba bank zote ni 20 and above then ukatwe miaka mitatu utajikuta umerudisha hata mara tatu ya ulichokopa.
Kukopa bank milioni 1-5 ni hasara tu kwako.. tafuta saccos au vicoba ujiunge ukope huko utapata hata riba ya 5%.
Kukopa bank kiasi kidogo hicho ni kujitesa na ukiangalia riba bank zote ni 20 and above then ukatwe miaka mitatu utajikuta umerudisha hata mara tatu ya ulichokopa.