TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Twende kwenye mada
Moderator naomba huu uzi umsiiunganishe na uzi ule wamwanzo
Issue iliyomkuta kijana mwenzetu mpambanaji Mr kuku kiukweli alijipanga Sana kuakikisha anafikia malengo yake lkn sheria ambayo haina faida yoyote kwake imemfilisi
Watu walikua wanatoa Pesa in cases baada ya muda anawarudishia na faida juu hii sio' DEC Wala Upatu nimaradi uliokua unafanyika nakila mwana hisa anaingia mkataba na company ya ufugaji ndani ya siku wanakula faida zao.. hapa UHUJUMU UCHUMI UKO WAPI?? mm sio nguli wa sheria lkn jamaa wamem'bania
Bank Bank Bank dah kwanini mnatoa access control za wateja wenu Yani kirahisi tu....sitaki kusema mengi kwenye hili..
TEAM 666
Moderator naomba huu uzi umsiiunganishe na uzi ule wamwanzo
Issue iliyomkuta kijana mwenzetu mpambanaji Mr kuku kiukweli alijipanga Sana kuakikisha anafikia malengo yake lkn sheria ambayo haina faida yoyote kwake imemfilisi
Watu walikua wanatoa Pesa in cases baada ya muda anawarudishia na faida juu hii sio' DEC Wala Upatu nimaradi uliokua unafanyika nakila mwana hisa anaingia mkataba na company ya ufugaji ndani ya siku wanakula faida zao.. hapa UHUJUMU UCHUMI UKO WAPI?? mm sio nguli wa sheria lkn jamaa wamem'bania
Bank Bank Bank dah kwanini mnatoa access control za wateja wenu Yani kirahisi tu....sitaki kusema mengi kwenye hili..
TEAM 666