and its his right kupinga cause hajawahi come across cases kama izo, infact the country is full of food to an extent its selling to its neighbours and donating too, so he has the right to say that: you dont have the right to say anything cause aljazeera have been alerting you guys for 5 years sraight on these dangers and hamkuskia, na leo tunawalert tena fix your country: future isnt promising
Niletee hyo mmiliki mwengine wa port kenya..namsubiria
i think your hungry
Hyo ya denial inakutosha mzee baba...wacha kutema povu...huoni ya kwamba tayari unapinga..sasa hvyo ndivyo serikali yenu ilivyo aisee
Ukwel wauma siku zote
Kenya Ports Authority is an investor in Kenya National Shipping Line, a state corporation of Kenya formed in 1989, currently owned by KPA and three non-Kenyan corporate investos.[5]
https://en.wikipedia.org/wiki/Kenya_Ports_Authority
non kenyan:::: come on guys, mnashindwa nn kushikilia land yenu
Umeelewa lkn nilichoandika, embu fungua hiyo link yako sijui umeiokota wapi, huna ata aibu kusema Tz kuna njaa, au kila kitu unafanya mashindano
si kwel kwan uongo: ukwel unauma, ukwel si unajua life ilivo kwenu, (go help your fellow kenyans), we dont need starving cases in such a strong economy, we arent happy to hear kua kumbe ela yenu ni over 30% excess:we need to have role models ukiskia a strong economy unakua inspired, am done explaining over and over: and no one should reply to this creature hajui anaongea nn
Bro unapingana na uhalisia?
View attachment 1157280
Mungu anakuona boss
Umeelewa lkn nilichoandika, embu fungua hiyo link yako sijui umeiokota wapi, huna ata aibu kusema Tz kuna njaa, au kila kitu unafanya mashindano
Hao wameshapata usaidizi mzee baba.Jameni hii video huuma...hadi huruma.
Lakini umeme huo wote mtaupeleka wapi? Hata kama SGR itatumia umeme Bado ukijumuisha na demand yenu mtabaki na surplus kubwa. Mtabakia na losses tu kwa sababu ya SGD kuwa idle. Your demand is QUOTE]Tubachuma mbeya na madini mengi tu,umeme unahitajika sana kwa ajili ya viwanda na kumbuka SGR ni mtandao mpana...Dar hadi mwanza kwenda kigoma Apo katikaki uwekezaji lazima utafanyika...
Hata investors hupenda kuwekeza mahali kuna umeme wa uhakika
Lakini umeme huo wote mtaupeleka wapi? Hata kama SGR itatumia umeme Bado ukijumuisha na demand yenu mtabaki na surplus kubwa. Mtabakia na losses tu kwa sababu ya SGD kuwa idle. Your demand is QUOTE]Mahitaji yanaongezeka ,ndio maana kinyerezi power plant wanaongeza capacity kila mara...ukibaki tunauza kwa majirani hasara haiwez kua kubwa
Hao wameshapata usaidizi mzee baba.
Je vp wa Turkana kule
Hao wameshapata usaidizi mzee baba.
Je vp wa Turkana kule
Walipata usaidizi maana ilianikwa, lakini visa ambavyo vimefichwa ni vingi, media zenu huwa zimeganda, hawahoji chochote wapo wapo tu, kazi yao kung'ang'ania vipesa vya kutupiwa na Irene Uwoya. Mambo ya Turkana huwa yanafahamika maana media zetu ni moto moto, hawafichi chochote.
Tanzania albino wanaliwa na kunyofolewa viungo, wwatoto wanachnjwa kwa ajili ya ushirikina wa kijinga, lakini haisemwi, hadi pale media za kimataifa zitatangaza ndio itasikika.
Halafu huyo jamaa bro mgonjwa wa akili kweli.Woyeee