Geoffrey Eng Atkinson
Senior Member
- Mar 22, 2017
- 199
- 159
Do you see how a strong leader should react ??
ata kagame anajua whats going on behind these guys:: unadhan ni magufuli tu? Most african countries are already awake my dear brothers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Do you see how a strong leader should react ??
we arent negative mweshimiwa: tatizo lako wewe bado uko kwenye zile colonial minds, izo zilishapiganiwa uhuru toka kitambo, the only colonialism imebaki ni on our minds kwamba hatuwezi kupanga vitu vyetu mpaka wazungu waseme, huo ni ukoloni wa akili, hii inasababisha africa tunashindwa kumake zile neccesary steps to development inaotakiwa: kama wewe ni mtu unaefuatilia hizi sera za hawa waheshimiwa wazungu utaona almost everything ni uongo, tulishaambiwa tuingia sio style gan ya uchumi watu wataishi maisha mazuri ila mpaka leo watu ndo wanateseka na kuteeseka na tunaibiwa,, kwan ni kitu cha kupewa data? documetaries kibao znaelezea how much we loose as africa, you need to wake my bro: they didnt even fight for your independece kitambo leo wanakupa data za uchumi wako:
Swali sahihi la kujiuliza, habari ya Tanzania inafanya nini kwenye jukwaa la Kenya. Hilo Mosi
Ya pili ni nchi gani , I wonder....
Unafiki umemtawala itakuwa. Wana wazimu hawaAlafu kuna yule mjinga anajiita sijui young nini sijui, huwa akiona Mtanzania kaleta mada ya Tz humu huwa anawatag moderator wafute au wautoe humu, hivi huu uzi ajauona [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafiki umemtawala itakuwa. Wana wazimu hawa
Chuki zao na Tz utafikiri sisi ndo tunaleta baa la njaa kwao, au tatizo la ajira kwao au corruption, ukabila
Tanzania ndo nchi iliosaidia nchi nyingi sana africa kupata uhuru, ila naona wanarudi tena kwenye colonialism
Good day, I see we are starting with an emotional high based on falsehoods. I run my own company boss that analyzes consumer insight using Artificial intelligence while helping small shops to manage their business. Now some facts, in Kenya a programmer/software engineer earns a starting salary of kshs 150,000 a month with annual increments(I have 6 programmers in my company, others are marketers and data scientists) .In the UK they earn about 100,00 pounds a year and in America they earn about $200,000 per year. That is why programmers(due to intelligence), form a significant portion of the richest people in the world i.e Bill gates(Programmed windows Os), Larry Page and sergey brin (Programmed google), Mark zuckerberg(Programmed Facebook), Rich Miner (Android). Go back to selling organges you have no idea what you are talking about.Hehe, coders are the bottom of the rung worst paid professionals, Jaribu sana upande cheo uwe systems analyst or designer bahati ikipatikana uwe lead dev
Coding = sweepers work
Kusema kweli tangia nianze kuskia kenya ndo nchi yenye uchumi mkubwa East and centrak africa mpaka leo sjawahi elewa huo uchumi unaongelewa unatokea wap: naona tu wamejazana uku Arusha na magari yao wakiungana na warwanda, wa burundi na watu wa zambia na tunaishi nao wote vizuri wengine wameoana na wana familia, sasa sjajua kwann wanaacha uchumi mkubwa nchini kwao wanakuja kwetu, na cha ajab zaidi tajiri mkubwa east and central Africa anatokea Tanzania na wala sio kwenye hio nchi yenye uchumi mkubwa: nchi zingine unakuta uchumi unaendana na wananchi, USA mabilionea wako wengi sana, china ndo uspime na ndo nchi zenye uchumi mkubwa duniani lakini kwa kenya naona tu video kama izi
tuambieni hio nguvu yenu ya uchumi inatokea wapi: wanaume wa nairobi wanajuana kwann wanaachika na wanawake wao: wenzenu wanajiita uchumi mkubwa ukiangalia wananchi nao wana hela nzito, take a look at USA, CHINA, INDIA bila kusema ripoti zmechakachuliwa unaona kabisa wananchi wana hela ambayo sio ya kwaida: so far the only Billionaire anatokea Tz wa east africa: this is real money sio ela za kupika:
Good day, I see we are starting with an emotional high based on falsehoods. I run my own company boss that analyzes consumer insight using Artificial intelligence while helping small shops to manage their business. Now some facts, in Kenya a programmer earns a starting salary of kshs 150,000 a month .In the UK they earn about 100,00 pounds a year and in America they earn about $200,000 per year. That is why programmers(due to intelligence), form a significant portion of the richest people in the world i.e Bill gates(Programmed windows Os), Larry Page and sergey brin (Programmed google), Mark zuckerberg(Programmed Facebook), Rich Miner (Android). Go back to selling organges you have no idea what you are talking about.
"Last week Glassdoor published its most recent software engineering salary report. Short version: it pays to code. Google and Facebook employees earn a base salary of ~$125K, not counting benefits, 401k matching, stock options/grants, etc., and even Yahoo! developers pull in six figures. Everyone knows why: ask anyone in the Valley, or NYC, or, well, practically anywhere, and they’ll tell you that good engineers are awfully hard to find. Demand has skyrocketed, supply has stagnated, prices have risen. Basic economics. " - TechCrunch
BY 2018 mwaka jana mlikua na dollar Billionaire mmoja na dollar millionnaires 6,429, Sisi hatuna Billionnair lakini tunao dollar millionaires 9,482 tena tunaongoza afrika kwa ukuaji wa ma millionnairs kwa mwaka....
View attachment 1157152
Hao wakenya unaowaona huko kwenu hawajaenda kuomba omba kama vile wengi wenu mnakuja kufanya huku Kenya, Wameenda huko kusaka hela au kujivinjari na kutumia hela. Wakati wewe unajisifu kwa kuona wakenya wanatiririka huko, utakuta wakenya wanaokuja huko wanaona ni nyinyi ndo mmezubaa kwahivyo wanakuja kuchukua hizo opportunities ambazo mnaziacha zikae tu....
Thank you for displaying the extent of your poverty. Kindly understand that if some us show you our properties and bank accounts you will cry with bitterness.Good day, I see we are starting with an emotional high based on falsehoods. I run my own company boss that analyzes consumer insight using Artificial intelligence while helping small shops to manage their business. Now some facts, in Kenya a programmer/software engineer earns a starting salary of kshs 150,000 a month with annual increments(I have 6 programmers in my company, others are marketers and data scientists) .In the UK they earn about 100,00 pounds a year and in America they earn about $200,000 per year. That is why programmers(due to intelligence), form a significant portion of the richest people in the world i.e Bill gates(Programmed windows Os), Larry Page and sergey brin (Programmed google), Mark zuckerberg(Programmed Facebook), Rich Miner (Android). Go back to selling organges you have no idea what you are talking about.
"Last week Glassdoor published its most recent software engineering salary report. Short version: it pays to code. Google and Facebook employees earn a base salary of ~$125K, not counting benefits, 401k matching, stock options/grants, etc., and even Yahoo! developers pull in six figures. Everyone knows why: ask anyone in the Valley, or NYC, or, well, practically anywhere, and they’ll tell you that good engineers are awfully hard to find. Demand has skyrocketed, supply has stagnated, prices have risen. Basic economics. " - TechCrunch
WaKenya ni wawekezaji. Sio omba omba kama wengi wa waTZ waliomo huku kwetu. Heshima IDUMU
You seem to be quiet read than the average Tanzanian yet still you sound stupid/dumb for generalization and short sightedness. Some one pointed out herd mentality in here and it shows with your likes.we are done discussing this and that , we all known millionaires apo ni wakina chandaria and rich politicians: the life of true kenya ni turkana