Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

we arent negative mweshimiwa: tatizo lako wewe bado uko kwenye zile colonial minds, izo zilishapiganiwa uhuru toka kitambo, the only colonialism imebaki ni on our minds kwamba hatuwezi kupanga vitu vyetu mpaka wazungu waseme, huo ni ukoloni wa akili, hii inasababisha africa tunashindwa kumake zile neccesary steps to development inaotakiwa: kama wewe ni mtu unaefuatilia hizi sera za hawa waheshimiwa wazungu utaona almost everything ni uongo, tulishaambiwa tuingia sio style gan ya uchumi watu wataishi maisha mazuri ila mpaka leo watu ndo wanateseka na kuteeseka na tunaibiwa,, kwan ni kitu cha kupewa data? documetaries kibao znaelezea how much we loose as africa, you need to wake my bro: they didnt even fight for your independece kitambo leo wanakupa data za uchumi wako:

Actually, I was in favor of your opinion. Ulichoongea wewe ndiyo nilichokuwa nakipigia debe hapa as opposed to the initiator of the thread. Niliguswa na post yako kwa kiwango cha juu na ndiyo maana nikaamua kutoa indirect support kwenye post hiyo, kiasi imepelekea ukanielewa kama nilikuwa ninakupinga. Nashauri uisome tena post yangu, I'm in favor of your opinion. Uko safi, I very much liked what you posted!
 
Watuache na uchumi wetu.. hayo mambo ya mahesabu wabaki nayo huko kwako sisi uchumi wetu tunapika na kunga na pilipili kabisa.[emoji1787]
 
Alafu kuna yule mjinga anajiita sijui young nini sijui, huwa akiona Mtanzania kaleta mada ya Tz humu huwa anawatag moderator wafute au wautoe humu, hivi huu uzi ajauona [emoji23][emoji23][emoji23]
Swali sahihi la kujiuliza, habari ya Tanzania inafanya nini kwenye jukwaa la Kenya. Hilo Mosi
 
Alafu kuna yule mjinga anajiita sijui young nini sijui, huwa akiona Mtanzania kaleta mada ya Tz humu huwa anawatag moderator wafute au wautoe humu, hivi huu uzi ajauona [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafiki umemtawala itakuwa. Wana wazimu hawa
 
Kabisa mkuu, pia Usisahau kuanzia matunda mpaka vyakula wanavyokula vinatoka Tz [emoji23][emoji23][emoji23]yaani hadi machungwa alafu wanatuita wavivu kama wao ni wachapa kazi kwann hawalimi hata machungwa
Tanzania ndo nchi iliosaidia nchi nyingi sana africa kupata uhuru, ila naona wanarudi tena kwenye colonialism
 
Hehe, coders are the bottom of the rung worst paid professionals, Jaribu sana upande cheo uwe systems analyst or designer bahati ikipatikana uwe lead dev
Coding = sweepers work
Good day, I see we are starting with an emotional high based on falsehoods. I run my own company boss that analyzes consumer insight using Artificial intelligence while helping small shops to manage their business. Now some facts, in Kenya a programmer/software engineer earns a starting salary of kshs 150,000 a month with annual increments(I have 6 programmers in my company, others are marketers and data scientists) .In the UK they earn about 100,00 pounds a year and in America they earn about $200,000 per year. That is why programmers(due to intelligence), form a significant portion of the richest people in the world i.e Bill gates(Programmed windows Os), Larry Page and sergey brin (Programmed google), Mark zuckerberg(Programmed Facebook), Rich Miner (Android). Go back to selling organges you have no idea what you are talking about.

"Last week Glassdoor published its most recent software engineering salary report. Short version: it pays to code. Google and Facebook employees earn a base salary of ~$125K, not counting benefits, 401k matching, stock options/grants, etc., and even Yahoo! developers pull in six figures. Everyone knows why: ask anyone in the Valley, or NYC, or, well, practically anywhere, and they’ll tell you that good engineers are awfully hard to find. Demand has skyrocketed, supply has stagnated, prices have risen. Basic economics. " - TechCrunch
 
Kusema kweli tangia nianze kuskia kenya ndo nchi yenye uchumi mkubwa East and centrak africa mpaka leo sjawahi elewa huo uchumi unaongelewa unatokea wap: naona tu wamejazana uku Arusha na magari yao wakiungana na warwanda, wa burundi na watu wa zambia na tunaishi nao wote vizuri wengine wameoana na wana familia, sasa sjajua kwann wanaacha uchumi mkubwa nchini kwao wanakuja kwetu, na cha ajab zaidi tajiri mkubwa east and central Africa anatokea Tanzania na wala sio kwenye hio nchi yenye uchumi mkubwa: nchi zingine unakuta uchumi unaendana na wananchi, USA mabilionea wako wengi sana, china ndo uspime na ndo nchi zenye uchumi mkubwa duniani lakini kwa kenya naona tu video kama izi



tuambieni hio nguvu yenu ya uchumi inatokea wapi: wanaume wa nairobi wanajuana kwann wanaachika na wanawake wao: wenzenu wanajiita uchumi mkubwa ukiangalia wananchi nao wana hela nzito, take a look at USA, CHINA, INDIA bila kusema ripoti zmechakachuliwa unaona kabisa wananchi wana hela ambayo sio ya kwaida: so far the only Billionaire anatokea Tz wa east africa: this is real money sio ela za kupika:

BY 2018 mwaka jana mlikua na dollar Billionaire mmoja na dollar millionnaires 6,429, Sisi hatuna Billionnair lakini tunao dollar millionaires 9,482 tena tunaongoza afrika kwa ukuaji wa ma millionnairs kwa mwaka.... sasa hapo niambie ni uchumi wa nani unakua kulingana na watu???? Billionnaire mmoja na millionnair kidogo ukilinganisha na millionnair wengi bila billionnaire nani ndo ako pazuri???? Tena ukiangalia makampuni yalioko Kenya ni makubwa kuliko ya Tanzania lakini licha ya hizo kampuni kubwa kubwa bado hatuna billionnaire sababu competition ni kubwa baina ya makampuni! huko kwenu ni jamaa mmoja ndo anamiliki karibu kila kampuni kubwa zote!

1563532144131.png




Hao wakenya unaowaona huko kwenu hawajaenda kuomba omba kama vile wengi wenu mnakuja kufanya huku Kenya, Wameenda huko kusaka hela au kujivinjari na kutumia hela. Wakati wewe unajisifu kwa kuona wakenya wanatiririka huko, utakuta wakenya wanaokuja huko wanaona ni nyinyi ndo mmezubaa kwahivyo wanakuja kuchukua hizo opportunities ambazo mnaziacha zikae tu....
 
Good day, I see we are starting with an emotional high based on falsehoods. I run my own company boss that analyzes consumer insight using Artificial intelligence while helping small shops to manage their business. Now some facts, in Kenya a programmer earns a starting salary of kshs 150,000 a month .In the UK they earn about 100,00 pounds a year and in America they earn about $200,000 per year. That is why programmers(due to intelligence), form a significant portion of the richest people in the world i.e Bill gates(Programmed windows Os), Larry Page and sergey brin (Programmed google), Mark zuckerberg(Programmed Facebook), Rich Miner (Android). Go back to selling organges you have no idea what you are talking about.

"Last week Glassdoor published its most recent software engineering salary report. Short version: it pays to code. Google and Facebook employees earn a base salary of ~$125K, not counting benefits, 401k matching, stock options/grants, etc., and even Yahoo! developers pull in six figures. Everyone knows why: ask anyone in the Valley, or NYC, or, well, practically anywhere, and they’ll tell you that good engineers are awfully hard to find. Demand has skyrocketed, supply has stagnated, prices have risen. Basic economics. " - TechCrunch

Some how you are correct but to correct you: not every coder earns that amount, there are languages that are most preffered alot more to earn even more than that, and there is a difference between a programmer and a coder: some people dont even earn $500 a month because of the field they choose, lets say you are onto design (the front end) its less likely you will even have that much but everything else you said its true, some people go even beyond the amount you mentioned: about mark, sergery , bilgates, these people arent employees after all there salary is just $1 a year
 
BY 2018 mwaka jana mlikua na dollar Billionaire mmoja na dollar millionnaires 6,429, Sisi hatuna Billionnair lakini tunao dollar millionaires 9,482 tena tunaongoza afrika kwa ukuaji wa ma millionnairs kwa mwaka....

View attachment 1157152



Hao wakenya unaowaona huko kwenu hawajaenda kuomba omba kama vile wengi wenu mnakuja kufanya huku Kenya, Wameenda huko kusaka hela au kujivinjari na kutumia hela. Wakati wewe unajisifu kwa kuona wakenya wanatiririka huko, utakuta wakenya wanaokuja huko wanaona ni nyinyi ndo mmezubaa kwahivyo wanakuja kuchukua hizo opportunities ambazo mnaziacha zikae tu....

we are done discussing this and that , we all known millionaires apo ni wakina chandaria and rich politicians: the life of true kenya ni turkana
 
WaKenya ni wawekezaji. Sio omba omba kama wengi wa waTZ waliomo huku kwetu. Heshima IDUMU

 
Good day, I see we are starting with an emotional high based on falsehoods. I run my own company boss that analyzes consumer insight using Artificial intelligence while helping small shops to manage their business. Now some facts, in Kenya a programmer/software engineer earns a starting salary of kshs 150,000 a month with annual increments(I have 6 programmers in my company, others are marketers and data scientists) .In the UK they earn about 100,00 pounds a year and in America they earn about $200,000 per year. That is why programmers(due to intelligence), form a significant portion of the richest people in the world i.e Bill gates(Programmed windows Os), Larry Page and sergey brin (Programmed google), Mark zuckerberg(Programmed Facebook), Rich Miner (Android). Go back to selling organges you have no idea what you are talking about.

"Last week Glassdoor published its most recent software engineering salary report. Short version: it pays to code. Google and Facebook employees earn a base salary of ~$125K, not counting benefits, 401k matching, stock options/grants, etc., and even Yahoo! developers pull in six figures. Everyone knows why: ask anyone in the Valley, or NYC, or, well, practically anywhere, and they’ll tell you that good engineers are awfully hard to find. Demand has skyrocketed, supply has stagnated, prices have risen. Basic economics. " - TechCrunch
Thank you for displaying the extent of your poverty. Kindly understand that if some us show you our properties and bank accounts you will cry with bitterness.
We let our money work for us, I exited the rat race longtime ago as you continue to spend sleepless nights working for some pesa nane pittance and dreading the day your clients will gorge out your balls.
Meanwhile, that was just a distraction from the issue at hand which you have run away from
 
Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa wakenya wote wanaokuja Tz wanakuja kuwekeza na watanzania wote wanakuja kenya kuwa omba omba?
WaKenya ni wawekezaji. Sio omba omba kama wengi wa waTZ waliomo huku kwetu. Heshima IDUMU

 
we are done discussing this and that , we all known millionaires apo ni wakina chandaria and rich politicians: the life of true kenya ni turkana
You seem to be quiet read than the average Tanzanian yet still you sound stupid/dumb for generalization and short sightedness. Some one pointed out herd mentality in here and it shows with your likes.
 
Back
Top Bottom