Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

SGD pekee inamalizana na huo umeme mliofua tangu Kenya ipate uhuru
Lakini umeme huo wote mtaupeleka wapi? Hata kama SGR itatumia umeme Bado ukijumuisha na demand yenu mtabaki na surplus kubwa. Mtabakia na losses tu kwa sababu ya SGD kuwa idle. Your demand is <1500MW
 
Unamletea nani page iliyoko unavailable, unalazimisha sana Tz kuna njaa utafikiri umeileta, ww ni wa kupuuzwa
Kula hyo kwanza..

Manake na wewe pia uko kw denial...hyo inakutosha tu kw sasa
 
Sasa inafaida gani mchague wabunge na madiaani...kuzunguka vijijini haimaanishi km wewe ni rais bora...rais bora ni yule ambaye ana mikakati wala haamki na kufanya maamuzi ya kiwehu...hujajiuliza ya kwamba govt funds anazitumiaje..je anakurupuka au la...

Halafu kwenda hko vijijini ni km ku waste time..naona jamaa wanalazimishwa kuchangia shule...hku wengine wakipewa mic waeleze shida zinazowakumba, unakuta li mtu linashika mic na kuanza kumsifu...kwel vilaza ni wengi tanzania...eti "mheshimiwa magufuli,wakati wa compaign usije, we leta picha yako tu kura umeshapata" eti hzo ndio shida ameeleza
Seems huna pointi bro, kua kimya tu, prezida wa tz anazunguka kijiji na kijiji wengine wanakaa ofisini mwaka wa kwanza mpaka wa kumi, unategemea nn? Ndo mambo kama haya strongest economy, on the same time citizens are dying of hunger: Take some lessons from the prezida wa tz: my whole point on this thread was that, we are tired of these reports and we have always disapproved them, sasa other presidents ata kutembelea citizens wao wa vijijini hawafanyi ivo unategemea nn? You end up kuona tu msafara umepita and that's it, umekula hujala just know that your living in a strong economical country, thats it: magufuli anatembelea villages alot of times and he has all the power to say this report is wrong and this is right, by the way bro: most Kenyans love magufuli deep down and we know that, one evidence on this angalia video za magufuli YouTube pitia comments: most Kenyans love wcb and sio LA kuuliza, we are showing you how things are done, so kama huna evidentical point to clarify your ideas better just shut it up, watch from your neighbours and learn skills
 
Unajua unachokiongea...heheee...naona umekwepa famous site...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kingereza kingi hku ukitapa tapa..mara kq mara port...nilikwambia kitambo wacha story za vijiweni
Have you noticed most Tanzanians are tired of explaining things over and over to Kenyans?? The most important thing here, youths of Kenya are the next leaders, take back the ownership of your beloved country to your beloved citizens, take ownerships of anything that belongs to the nation so far I only have heard of Kenya airways and Kenya port authority isn't fully to the citizens, unlike tz its 100% to the country: mtaendelea na reports mpaka lini? Till when will aljazeera report hunger in kenya?, yaani kwel na kua strong economy mmeshindwa kabisa kuonyesha ubabe wenu kuongoza pride of Africa (KQ) come.on man, even the port bro?? Basi ata mmngewapa wazawa wafaidike, mmewapa IMF... guys this is a joke
 
Unajua unachokiongea...heheee...naona umekwepa famous site...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kingereza kingi hku ukitapa tapa..mara kq mara port...nilikwambia kitambo wacha story za vijiweni
Have you noticed most Tanzanians are tired of explaining things over and over to Kenyans?? The most important thing here, youths of Kenya are the next leaders, take back the ownership of your beloved country to your beloved citizens, take ownerships of anything that belongs to the nation so far I only have heard of Kenya airways and Kenya port authority isn't fully to the citizens, unlike tz its 100% to the country: mtaendelea na reports mpaka lini? Till when will aljazeera report hunger in kenya?, yaani kwel na kua strong economy mmeshindwa kabisa kuonyesha ubabe wenu kuongoza pride of Africa (KQ) come.on man, even the port bro?? Basi ata mmngewapa wazawa wafaidike, mmewapa IMF... guys this is a joke
 
Sasa inafaida gani mchague wabunge na madiaani...kuzunguka vijijini haimaanishi km wewe ni rais bora...rais bora ni yule ambaye ana mikakati wala haamki na kufanya maamuzi ya kiwehu...hujajiuliza ya kwamba govt funds anazitumiaje..je anakurupuka au la...

Halafu kwenda hko vijijini ni km ku waste time..naona jamaa wanalazimishwa kuchangia shule...hku wengine wakipewa mic waeleze shida zinazowakumba, unakuta li mtu linashika mic na kuanza kumsifu...kwel vilaza ni wengi tanzania...eti "mheshimiwa magufuli,wakati wa compaign usije, we leta picha yako tu kura umeshapata" eti hzo ndio shida ameeleza

tatizo lako unatoa majibu kishabiki: so hauoni umuhimu wa raisi kwenda kutembelea wananchi wake na kuskiliza kero zao haswa? we unaona ni vema kukaa ofisini wakati wananchi wako wanakufa kisa kuna mbunge? uko sawa upstairs?
 
Unajua unachokiongea...heheee...naona umekwepa famous site...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kingereza kingi hku ukitapa tapa..mara kq mara port...nilikwambia kitambo wacha story za vijiweni
Have you noticed most Tanzanians are tired of explaining things over and over to Kenyans?? The most important thing here, youths of Kenya are the next leaders, take back the ownership of your beloved country to your beloved citizens, take ownerships of anything that belongs to the nation so far I only have heard of Kenya airways and Kenya port authority isn't fully to the citizens, unlike tz its 100% to the country: mtaendelea na reports mpaka lini? Till when will aljazeera report hunger in kenya?, yaani kwel na kua strong economy mmeshindwa kabisa kuonyesha ubabe wenu kuongoza pride of Africa (KQ) come.on man, even the port bro?? Basi ata mmngewapa wazawa wafaidike, mmewapa IMF... guys this is a joke
 
Hv ni kuulize...unaiponda kq na wakati wana share precious air...halafu nataka uje unieleze port ya kenya inamilikiwa na nani mwngine km si 100% kw GOK
Have you noticed most Tanzanians are tired of explaining things over and over to Kenyans?? The most important thing here, youths of Kenya are the next leaders, take back the ownership of your beloved country to your beloved citizens, take ownerships of anything that belongs to the nation so far I only have heard of Kenya airways and Kenya port authority isn't fully to the citizens, unlike tz its 100% to the country: mtaendelea na reports mpaka lini? Till when will aljazeera report hunger in kenya?, yaani kwel na kua strong economy mmeshindwa kabisa kuonyesha ubabe wenu kuongoza pride of Africa (KQ) come.on man, even the port bro?? Basi ata mmngewapa wazawa wafaidike, mmewapa IMF... guys this is a joke
 
Unajua unachokiongea...heheee...naona umekwepa famous site...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kingereza kingi hku ukitapa tapa..mara kq mara port...nilikwambia kitambo wacha story za vijiweni

huna point bro: the last time we are telling you we dont need reports zenu, fanya mpango ugombee ubunge usaidie wananchi wako
 
Bro unapingana na uhalisia?
Unajua unachokiongea...heheee...naona umekwepa famous site...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kingereza kingi hku ukitapa tapa..mara kq mara port...nilikwambia kitambo wacha story za vijiweni
 
Hv ni kuulize...unaiponda kq na wakati wana share precious air...halafu nataka uje unieleze port ya kenya inamilikiwa na nani mwngine km si 100% kw GOK

kwan precion air ni government owned?? thats a private insitution ata wakimiliki watu laki moja ni bussiness model yao, ila kwenye shirika ambalo linatakiwa kufaidisha wananchi lazma lishikiliwe na serikali ni sawa sawa nchi yenu alafu washikilie watu wengine, what type of ignorance is that
 
Hyo ya denial inakutosha mzee baba...wacha kutema povu...huoni ya kwamba tayari unapinga..sasa hvyo ndivyo serikali yenu ilivyo aisee
Unamletea nani page iliyoko unavailable, unalazimisha sana Tz kuna njaa utafikiri umeileta, ww ni wa kupuuzwa
 
Sasa anaenda kuskiliza kero au sifa..kila anayepewa mic..ana mwaga sifa...kwn wanamuogopa nn..halafu ukimvheki anayempamba kacharara kishenzi..lkn bado ywajiona hana matatizo bora asifu tu
tatizo lako unatoa majibu kishabiki: so hauoni umuhimu wa raisi kwenda kutembelea wananchi wake na kuskiliza kero zao haswa? we unaona ni vema kukaa ofisini wakati wananchi wako wanakufa kisa kuna mbunge? uko sawa upstairs?
 
Hyo ya denial inakutosha mzee baba...wacha kutema povu...huoni ya kwamba tayari unapinga..sasa hvyo ndivyo serikali yenu ilivyo aisee

and its his right kupinga cause hajawahi come across cases kama izo, infact the country is full of food to an extent its selling to its neighbours and donating too, so he has the right to say that: you dont have the right to say anything cause aljazeera have been alerting you guys for 5 years sraight on these dangers and hamkuskia, na leo tunawalert tena fix your country: future isnt promising
 
Niletee hyo mmiliki mwengine wa port kenya..namsubiria
kwan precion air ni government owned?? thats a private insitution ata wakimiliki watu laki moja ni bussiness model yao, ila kwenye shirika ambalo linatakiwa kufaidisha wananchi lazma lishikiliwe na serikali ni sawa sawa nchi yenu alafu washikilie watu wengine, what type of ignorance is that
 
Back
Top Bottom