Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,860
Bantu lady jaribu hii kitu kama itakukaa nimenunua kwa pesa nyingi sana Isipokutosha mpe mdogo wako miss neddy nimefurahishwa sana na mikwara ya JWTZ leo!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bantu lady jaribu hii kitu kama itakukaa nimenunua kwa pesa nyingi sana Mnhhh happy muungano day people
sungura1980 mimi na wewe hatuna ugomvi na ni majirani tunaoelewana Bantu lady mwenyewe wakati nilipo safiri kikazi aliniomba nimleteeKibo10 mwanzo na mwisho kutoa zawadi kwa mke ya mutu!!Onyo!!!!!!!Na nitazichoma moto leo!
sungura1980 mimi na wewe hatuna ugomvi na ni majirani tunaoelewana Bantu lady mwenyewe wakati nilipo safiri kikazi aliniomba nimletee
Kwa hiyo mimi sina makosa labda ujaribu kumuliza.
Jirani naona unavuka mipaka!Mbona mi hukuniaga kama unasafiri?Hizo zawadi leo nitazichoma moto ili siku nyingine mawasiliano yote na shemeji yako yapitie kwangu!
Nimeguna kushangaa vibuzi vingi unavyo..kesi ipi?
The Boss alafu tena anajiamini na zawadi analeta!Nasikia mguu wangu wa kuku unanitekenya!Nimeguna kushangaa vibuzi vingi unavyo..kesi ipi?
Kwa kweli mke huna. Manake vibuzi hadi mlangoni
Haiwezekani, unajua ulitakiwa uwe mtu wa mwisho kuongea haya? Sawa bhana nisemeje tena, ila hamna kitu zawadi anapewa mtu yoyote sioni tatizo hapa.Kwa kweli mke huna. Manake vibuzi hadi mlangoni
The Boss alafu tena anajiamini na zawadi analeta!Nasikia mguu wangu wa kuku unanitekenya!
Wow thank you..., hapo kinanitosha kiatu, nitachukua na bag pamoja na sunglasses.
Vingine namuachia my wii miss neddy maana hiyo suruali haitanitosha hata kuingiza mguu. Chocolate color nimeipenda bure. Thanks again!!
Haiwezekani, unajua ulitakiwa uwe mtu wa mwisho kuongea haya? Sawa bhana nisemeje tena, ila hamna kitu zawadi anapewa mtu yoyote sioni tatizo hapa.
The Boss