Bantu lady zawadi yako ya muungano naomba ipokee!

Bantu lady zawadi yako ya muungano naomba ipokee!

hahahaha mi pia nataka sunglasses tu vingine mmghhh nitashindwa kutoa maelezo kwa Excel

Hahahaaa my wii kumbe muoga hivyo pia? mwenzako vinachomwa moto. Nakupenda so ichukue tu hiyo sunglasses luv. Msalimu my kaka Excel
 
Last edited by a moderator:
Halafu hata huyu sungura hajui mimi nilitoa baraka zangu zote akuoe kama kaka...ulimwambia?

Hilo analitambua wazi kuwa niwewe ndio, ulitoa baraka za ndoa. Sema mnapishana tu kipindi upo likizo ndio tulipofunga ndoa The Boss
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa my wii kumbe muoga hivyo pia? mwenzako vinachomwa moto. Nakupenda so ichukue tu hiyo sunglasses luv. Msalimu my kaka Excel

hahahaha ndoa tamu wiiiiii na mimi nimegairi lol
 
Last edited by a moderator:
Sasa acha kupokea zawadi za vibuzi..mheshimu mumeo

Mwanzo mume wangu hakuwa na hasira sana, mpaka ulipokuja kutibua mambo loh kaka gani mkuda hivyo?
Sasa dada yako nikiachika utanitafutia mume mwingine ama haahaaaaa.
Kibo10 siyo buzi bhana, he's friend of mine sawa The Boss?
 
Last edited by a moderator:
Mwanzo mume wangu hakuwa na hasira sana, mpaka ulipokuja kutibua mambo loh kaka gani mkuda hivyo?
Sasa dada yako nikiachika utanitafutia mume mwingine ama haahaaaaa.
Kibo10 siyo buzi bhana, he's friend of mine sawa The Boss?

Mke wangu ebu tukalale please,namuheshimu sana The Boss ujue!Leo ndio iwe mwanzo na mwisho wa kupokea zawadi!Rafikiii,,mi nilijua ni jirani tu!!
 
Last edited by a moderator:
Mke wangu ebu tukalale please,namuheshimu sana The Boss ujue!Leo ndio iwe mwanzo na mwisho wa kupokea zawadi!Rafikiii,,mi nilijua ni jirani tu!!

Si ndio jirani yetu mume wangu, pia ni rafiki yangu sana tu. Mbona nilishakwambia mara nyingi?
Haya tukalale basi yaishe honey sungura1980
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyo mke wa vazi hili siyo mke ni kujitafutia balaa kubwa sana na huyu ni hasara tupu na mdomoni huwa hunena na kupenda sana na hata usingizi sipati kama sijakuwona siku mmoja lakini ole wako uwe aapecha alolo hapo ndipo utakapo juwa dunia iko vipi ni duara au kashata
 
Back
Top Bottom