grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Sanaa ya bongo nzito,ukitaka kuwa maskini maarufu basi fanya sanaa Tz,huyu jamaa tangu atangaze kuwa siku zake za kuishi si nyingi sikumsikia tena ila Dunia ni mapito ipo siku...
Mkuu una maanisha sanaa gani au ni hii hii anayofanya Diamond, AY, Ally kiba, Mzee Yusuph, Ally choki?